Mustaphagentleman
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 3,953
- 3,022
In Mali "asset" kama ilijengwa kwa kulinganisha fursa mbalimbali za uwekezaji/uzalishaji mali na ikaonekana nyumba ni kipaumbele. Kama ilijengwa kwa ajili ya kuweka viti, Mesa, vitanda na kabati la vyombo tunavyopata kwenye harusi halafu familia ikalala na kuanza kuwaze kesho itakuwaje hiyo si asset.
Watanzania Wengi hatulipagi BIMA za Nyumba hasa nyumba binafsi na guest lodge tunadhan mpaka uwe na Gorofa ndo ulipe bima
Oa, zaa watoto, malizia pesa yako kwenye nyumba ya kuishi, hamia halafu utumbuliwe. Watoto wakianza kuuliza mbona huendi kazini/mbona hujanunua luku/ mbona maji yamekatika n.k utajua kwamba nyumba sio asset in liabilitywatu wengi walioshindwa kujenga huishia kusema nyumba si lolote ....nimegundua hili ..ukweli unabaki pale pale
1.huwezi kutumia tetemeko la ardhi ambalo linatokea mara moja ndani ya miaka hata 30 ..kuamua kua nyumba sio kitu.
2. oa..zaa watoto..alafu endelea kupanga..halafu itokee mwenye nyumba ajue kuna huna hata msingi wa nyumba, atakupandishia kodi hadi ukome...utahama hama na canter hapa mjini hadi ukome.
hadi ndege wanajenga viota..ndo sembuse mwanadamu...nyumba ni kila kitu..ukishalala kwako utaelewa
watu wengi walioshindwa kujenga huishia kusema nyumba si lolote ....nimegundua hili ..ukweli unabaki pale pale
1.huwezi kutumia tetemeko la ardhi ambalo linatokea mara moja ndani ya miaka hata 30 ..kuamua kua nyumba sio kitu.
2. oa..zaa watoto..alafu endelea kupanga..halafu itokee mwenye nyumba ajue kuna huna hata msingi wa nyumba, atakupandishia kodi hadi ukome...utahama hama na canter hapa mjini hadi ukome.
hadi ndege wanajenga viota..ndo sembuse mwanadamu...nyumba ni kila kitu..ukishalala kwako utaelewa
Labda huko kwenu ISELAMAGAZI au Kasulu ndo mwenye nyumba anamuita mpangaji mh. Huku mjini hatuishi hivo.Hahaa! Huwa nacheka kimoyomoyo nikiona mfanyakazi aliyejenga nyumba za kupanga halafu akastaf akimwita mpangaji "mheshimiwa" kisa mpangaji katishia kuhama.
Kwa logic hio natafuta hela usiku na mchana ili iweje? Niwe na hela afu nilalie double deka, nikaenda vacation nifikie kwa ndugu? Hio kwangu haipo, siwezi kua mtumwa wa hela kiasi hicho.Nawaheshimu sana wale wahindi wanaopunga upepeo posta ya zamani siku za jumapili, ni mtajiri balaa.
Na wanavaa kawaida tu na kuchomekea shati na kandambili.
Vekesheni kubwa Canada, UK, Dubai, New York (tena kwa ndugu zao na wanasave pesa ya hoteli) etc.
Wengine wanaopanga nyumba za NHC wanazitumia kama nyumba za kupangisha na wenzao wa mikoani ama Tabora au Singida wakija Dar wanapanga kwa muda na mzee anaingiza pesa.
Kwenye zile nyumba vyumbani wanaweka vitanda double decker na maisha yanakwenda, kusave pesa.
Nawaheshimu sana wahindi.
Kama kawaida watu wa nje ya topics ni muhimuAsset kubwa ya binadamu ni akili yake.
Hapa Bongo nani ana-rebuild?Waameambiwa wafanye kazi sasa hapo unatarajia nini?Bado ni asset....zikikumbwa na majanga makubwa kama hayo...jamii kwa ujumla inasaidia kurebuld....lakin pia jiulize haya majanga yanatokea mara ngap katika kipindi cha uhai wako?!
Kila zama na kitabu chake....!Hapa Bongo nani ana-rebuild?Waameambiwa wafanye kazi sasa hapo unatarajia nini?
Itakuwa bado ni asset kwa sababu haangaiki na kodi ya kila mwezi. ..In Mali "asset" kama ilijengwa kwa kulinganisha fursa mbalimbali za uwekezaji/uzalishaji mali na ikaonekana nyumba ni kipaumbele. Kama ilijengwa kwa ajili ya kuweka viti, Mesa, vitanda na kabati la vyombo tunavyopata kwenye harusi halafu familia ikalala na kuanza kuwaze kesho itakuwaje hiyo si asset.
Hapo tunaweza kubishana bure tu kama nyumba haiingizii hela hio inakua ni liability asset ni kitu chochote kile kinachoweza kukuingizia hela duniani kuna vitu viwili asset na liability tu huwezi kuweka mfano wa huyo mmama sababu ni binadamu...Hiyo ni sawasawa na kusema mama wa nyumbani hazalishi economically au hana mchango kwy pato la familia!kitu ambacho sio. Imagine ungekua unalipa kodi mf 300K iyo hela unayoikwepa hapo ndio economic benefit ya kuwa na nyumba.Kwa hiyo nyumba ni asset na inameet definition ya asset hata km hujapangisha au huitumii kwa biashara.
Bado sio asset, asset ni kitu chchote kile kinachokuingizia hela naona watu wanashindwa kuelewa kitu kidogo sanaFine nimejenga nyumba ya kuishi vp hz pesa nilizokuwa natakiwa kulipia kodi wakati napanga unafikiri nazinywea bia kisa silipi kodi tena? Jibu ni hapana ninaweza kuinvest hzo elsewhere huku sina headache na kama muajiriwa bado mshahara unaingia unaona raha yake?
Haya endelea kupanga bwana Kiyosaki halafu unapiga bness ya nyanya ndoo buku mojaBado sio asset, asset ni kitu chchote kile kinachokuingizia hela naona watu wanashindwa kuelewa kitu kidogo sana
Sawa ila unatakiwa kufahamu life sio constant lina dynamics zake za kutosha leo ni buku moja kesho inaweza panda kama haipandi una diversify kwa kitu kingine kama vile kusave hela ya mshahara mwezi huu waweza sav 200,000 mwezi ujao 100,000 mwezi unaofatia ukazitumia zote ukabaki unausubiria wa mwisho wa mwezi mwingine tena...Haya endelea kupanga bwana Kiyosaki halafu unapiga bness ya nyanya ndoo buku moja