Baada ya serikali kuhamia Dodoma ni wazi kuwa mawaziri wote sasa wanatakiwa kuishi Dodoma jirani na ofisi zao.
Je, hizi nyumba zao za mikocheni kwa sasa hivi nani anaishi humo?
Nashauri tupewe watumishi wa DSM au serikali izipangishe kwa wanachi kwa kodi ndogo ili kila mwananchi afaidi matunda ya nchi yake.
"HESLB 6% kila mwaka ni wizi"
Je, hizi nyumba zao za mikocheni kwa sasa hivi nani anaishi humo?
Nashauri tupewe watumishi wa DSM au serikali izipangishe kwa wanachi kwa kodi ndogo ili kila mwananchi afaidi matunda ya nchi yake.
"HESLB 6% kila mwaka ni wizi"