Je, Ofisi ya Taifa ya Takwimu ina wajibu wa Kutoa Tamko kuhusu Usambazaji wa Takwimu zilizo bandikwa mitandaoni?

Je, Ofisi ya Taifa ya Takwimu ina wajibu wa Kutoa Tamko kuhusu Usambazaji wa Takwimu zilizo bandikwa mitandaoni?

Leo tena kuna Uzi huu hapa.

Tanzania ni Shamba la Bibi , Kampuni za China zavuna Trilioni 11 huku Wazawa Wakiambulia Bilioni 600 za Miradi ya Ujenzi


Wakuu/Wahusika,
Sheria ya Takwimu inatoa na kuwapa Wajibu Ofisi ya Taifa ya Takwimu Licha kuwapa majukumu mengine, pia inawapa haki ya kupinga matumizi mabaya au tafsiri potofu ya taarifa za takwimu zinazosambazwa na mtu yeyote (hapa ni mwanhudhuri mwenzetu)ikiwa maelezo hayo ya takwimu yana makosa ya msingi au hayafuati kanuni zilizoainishwa chini ya sehemu 26(3).C
Yaani, ni ukiukwaji wa Sheria ya Takwimu, Statistics Act (revised 2019) Sehemu ya 26(2)(3) sehemu ndogo C
 
Leo tena kuna Uzi huu hapa.

Tanzania ni Shamba la Bibi , Kampuni za China zavuna Trilioni 11 huku Wazawa Wakiambulia Bilioni 600 za Miradi ya Ujenzi


Wakuu/Wahusika,
Sheria ya Takwimu inatoa na kuwapa Wajibu Ofisi ya Taifa ya Takwimu Licha kuwapa majukumu mengine, pia inawapa haki ya kupinga matumizi mabaya au tafsiri potofu ya taarifa za takwimu zinazosambazwa na mtu yeyote (hapa ni mwanhudhuri mwenzetu)ikiwa maelezo hayo ya takwimu yana makosa ya msingi au hayafuati kanuni zilizoainishwa chini ya sehemu 26(3).C
Yaani, ni ukiukwaji wa Sheria ya Takwimu, Statistics Act (revised 2019) Sehemu ya 26(2)(3) sehemu ndogo C
Umekosa kazi ya kufanya 😁😁😁
 
Sheria ya Takwimu ni draconian, ilitengenezwa ku suit matakwa ya magufuli ambaye alikuwa hataki kukosolewa. Wenye akili wanajuwa wapi watoe data bila kusubiri NBS.

Sidhani kama NBS wana muda wa kufanya unachotaka
Magufuli mwenyewe alishindwa kuitumia baada ya kuona hajamsaidia
 
Umekosa kazi ya kufanya 😁😁😁
Unaweweseka nini sasa. Makosa uyafanye wewe unisingizie mimi na Ulichokifanya wewe.

Huwezi ukawa unaleta Nyuzi za uchonganiahi baina ya Jamii nzima kwa Takwimu za kupika. Ukaachiwa.

Unakiuka miongozo ya Jamiiforums na hata kuiletea fedhea taaluma ya Uandishi wa Habari.
 
Unaweweseka nini sasa. Makosa uyafanye wewe unisingizie mimi na Ulichokifanya wewe.

Huwezi ukawa unaleta Nyuzi za uchonganiahi baina ya Jamii nzima kwa Takwimu za kupika. Ukaachiwa.

Unakiuka miongozo ya Jamiiforums na hata kuiletea fedhea taaluma ya Uandishi wa Habari.
Tafuta kazi ya kufanya
 
Tafuta kazi ya kufanya
Unaweweseka wewe. Na hii ndio kazi yangu.

Reducio ad absurdum

Kama ulikuwa hujii hivyo, basi ujue ndivyo hivyo

Na nilishwakwambia, wewe siku zako haziko mbali sana. Usifikiri hii multiduplicity hatuzijui.
 
Unaweweseka wewe. Na hii ndio kazi yangu.

Reducio ad absurdum

Kama ulikuwa hujii hivyo, basi ujue ndivyo hivyo

Na nilishwakwambia, wewe siku zako haziko mbali sana. Usifikiri hii multiduplicity hatuzijui.
Wacha vitisho endeleza mjadala. Mabavu hayana nafasi kwa watu wastaarabu. Hii ni JF "where people dare to talk openly"
 
Wacha vitisho endeleza mjadala. Mabavu hayana nafasi kwa watu wastaarabu. Hii ni JF "where people dare to talk openly"
Ana waharibia wenye taaluma zao, na anaharibia Jukwaa la JamiiForums .

Where people dare talk openly, doesn't necessarily mean to Misinform, Disinform or to Mislead.

Uwasilishaji wake ni wakutiliwa mashaka. Amevunja kanuni za hapa JF na za Nchi. Huwezi kuta haya madudu yake U.S au U.K. Kiufupi ni kosa kuwasilisha Takwimu za nchi kwa namna alivyowasilisha mada yake. Punto.
 
Back
Top Bottom