Je Papa anakufuru?

Quran ni kitabu cha shetan alichompa jamaa mmoja anaitwa muddy miaka ya 600s

لَتُبْلَوُنَّ فِي أَمْوَالِكُمْ وَأَنْفُسِكُمْ وَلَتَسْمَعُنَّ مِنَ الَّذِينَ أُوتُوا الْكِتَابَ مِنْ قَبْلِكُمْ وَمِنَ الَّذِينَ أَشْرَكُوا أَذًى كَثِيرًا ۚ وَإِنْ تَصْبِرُوا وَتَتَّقُوا فَإِنَّ ذَٰلِكَ مِنْ عَزْمِ الْأُمُورِ


Hapana shaka yoyote mtapata misukosuko katika mali zenu na nafsi zenu, na bila ya shaka yoyote mtasikia udhia mwingi kutokana na walio pewa Kitabu kabla yenu na wale walio shiriki. Na ikiwa mtasubiri na mkamchamngu basi hakika hayo ni katika mambo ya kuazimia.
(Qur'an 186).

Waliopewa kitabu kabla yetu ni MAYAHUDI NA MANASARA

Hakuna hoja hata moja ataileta KAAFIR.
Ila hoja hiyo MOLA MLEZI alishatutahadharisha tangu karne ya 7 kupitia kwa mtume wake.
Nawe si wa kwanza ukisoma hapo katika tafsir "mtasikia Udhia yaani maudhi,kwani Kafiri atakuambia hiki ni kitabu cha masheitwaani lengo lake lake ni UKASIRIKE.
Ni kibaya zaidi sisi tunaviamini vitabu vyote walivyopewa mitume wa MOLA MLEZI,
na ukikipinga kimoja tu au kukikataa unatoka katika dini yaani
ZABURI YA DAUDI
TAURATI YA MUSSA
INJILI YA ISSA
QUR'AN YA MUHAMMAD

Na Kaafir atahangaika na qur an tu,lakin hutosikia akihangaika na Taurat,Zabur.
Na huyu si Kaafir wa kwanza kuyasema hayo washapita wengi tena wenye vitimbwi vya level ya Phd, sembuse huyu ambae hata akiulizwa leo kwanini wewe Nasara hatakuwa na jibu zaidi ya kukuambia nilizaliwa hivi.
 
Tumheshimu tu kama raisi wa Vatican hayo mambo ya Mungu weka pembeni . Kumbuka Yesu alihubiri kuhusu ufalme wa mbinguni na sio duniani .
 
l
Yule mwandishi wa Iran (aliyekimbilia uhamisho Ungereza)alisema Quran ni haya za nn vileee!!!
Mwandishi wa Iran ndio nani? uislamu unataratibu zake, jikite kwa Papa je anakufuru kujiita baba mtakatifu?
 
Hakuna ambaye ataingia MBINGUNI bila NJIA YA YESU .never ever iwe ni mkristo hajamkana YESU KUWA MWOKOZI WAKE AU MWISLAMU HAIPO ...YESU NI NJIA YA UZIMA
Mkuu jadili hoja leta ushahidi usituhubirie
 
Mwakilishi wa Mungu hapa duniani ni roho mtakatifu. So kuweka mtu mwenye dam na nyama kuwa mwakilishi ni dhambi kubwa
 
Povuuuuuuuu

Ukweli unabaki uislamu ni zao la katoliki

Hauon hata sanamu jiwe jeusi mnaliabudu, wenzenu wana rozali ninyi mna tasbihi hirizi
1.Jiwe jeusi sio SANAMU ni jiwe basi
2.Tasbihi ni uzushi kwa sababu hakuna popote Quran wala mtume alipofundisha, hivyo anaetumia ni matakwa yake sio uislamu
 
Gusa hapa uone linavyomiliki dunia Vatican Inamiliki Dunia - JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…