Heron
JF-Expert Member
- Oct 4, 2013
- 1,946
- 1,800
Quran ni kitabu cha shetan alichompa jamaa mmoja anaitwa muddy miaka ya 600s
لَتُبْلَوُنَّ فِي أَمْوَالِكُمْ وَأَنْفُسِكُمْ وَلَتَسْمَعُنَّ مِنَ الَّذِينَ أُوتُوا الْكِتَابَ مِنْ قَبْلِكُمْ وَمِنَ الَّذِينَ أَشْرَكُوا أَذًى كَثِيرًا ۚ وَإِنْ تَصْبِرُوا وَتَتَّقُوا فَإِنَّ ذَٰلِكَ مِنْ عَزْمِ الْأُمُورِ
Hapana shaka yoyote mtapata misukosuko katika mali zenu na nafsi zenu, na bila ya shaka yoyote mtasikia udhia mwingi kutokana na walio pewa Kitabu kabla yenu na wale walio shiriki. Na ikiwa mtasubiri na mkamchamngu basi hakika hayo ni katika mambo ya kuazimia.
(Qur'an 186).
Waliopewa kitabu kabla yetu ni MAYAHUDI NA MANASARA
Hakuna hoja hata moja ataileta KAAFIR.
Ila hoja hiyo MOLA MLEZI alishatutahadharisha tangu karne ya 7 kupitia kwa mtume wake.
Nawe si wa kwanza ukisoma hapo katika tafsir "mtasikia Udhia yaani maudhi,kwani Kafiri atakuambia hiki ni kitabu cha masheitwaani lengo lake lake ni UKASIRIKE.
Ni kibaya zaidi sisi tunaviamini vitabu vyote walivyopewa mitume wa MOLA MLEZI,
na ukikipinga kimoja tu au kukikataa unatoka katika dini yaani
ZABURI YA DAUDI
TAURATI YA MUSSA
INJILI YA ISSA
QUR'AN YA MUHAMMAD
Na Kaafir atahangaika na qur an tu,lakin hutosikia akihangaika na Taurat,Zabur.
Na huyu si Kaafir wa kwanza kuyasema hayo washapita wengi tena wenye vitimbwi vya level ya Phd, sembuse huyu ambae hata akiulizwa leo kwanini wewe Nasara hatakuwa na jibu zaidi ya kukuambia nilizaliwa hivi.