Je Papa anakufuru?

Je Papa anakufuru?

Dai lile lile alilolisisitiza Shetani
katika nyika ile ya majaribu bado linasisitizwa naye [papa] kupitia katika Kanisa la
Roma, na idadi kubwa sana ya watu wako tayari kumsujudu yeye.


“Tunashikilia hapa duniani
mahali paMungu Mwenyezi."
Papa Leo wa 13,

Katika Barua yake ya Utume,
Juni 20, 1894.

f2cad3af3c0169fe8bc19c8e516a3960.jpg

Usivyojua uongo una nukuu great controversy halafu anabwabwaja kuwa we siyo msabato! Hahahahaa! Halafu bado mnatuletea ya karne ya 16 wakati hiyo imebaki kwenye makabrasha ya historia! Hahahahaaaa
 
Acha kujitoa ufahamu YESU mwenyewe kasema BABA MTAKATIFU ni Mungu ,

Tena linaitwa HOLLY FATHER

utakatifu wa mwanadamu unaitwa SAINT

Hakuna mwanadamu aliyewahi kufikia cheo cha HOLLY FATHER

Huyo papa amepewa na nan huo u HOLLYFATHER?

Mi niambie wapi cheo cha Mungu ni holly father! Reference za kumtukuza Mungu ni nyingi sana sasa ninukulie wapi hiyo reference inamaanisha cheo cha Mungu!
 
Usivyojua uongo una nukuu great controversy halafu anabwabwaja kuwa we siyo msabato! Hahahahaa! Halafu bado mnatuletea ya karne ya 16 wakati hiyo imebaki kwenye makabrasha ya historia! Hahahahaaaa
Huna akili kweli wewe,

Hayo naneno ya kufuru ya papa, yamekuwa ya Great controversy?ni ukurasa upi?

Kwanza mimi sio msabato ,mm ni messianic faith dini ya kiyahudi huko israeli ndio msingi wake
 
Kitabu cha Daniel na Ufunuo... Vimeeleza Habari ya Pembe Ndogo iliyochipuka katkati ya Pembe Zingine ila Ikawa na Nguvu Zaidi ya Zingine... "Pembe ni Ufalme " Hilo Kanisa au Ufalme Umeilewesha Dunia Kwa Mvinyo wa mafundisho yake na Hakuna Taifa lenye uwezo juu ya Vatican tazameni wakuu wote wa Nchi Duniani wanapokutana na huyo Kiongozi wa Serikali au Ufalme wa Vatican wote HUMWINAMIA MKUU WAO KIDUNIA... Tazameni Viongozi wote wa KIDINI DUNIANI wote... "KASORO WALOKOLE TU"...Wanapokutana na Huyo PP wanamwinamia Huyo ndio Agent Mkuu wa Mpinga Kristo THE ANTICHRIST...Shetani Ametuletea Balaaaaa ila... THEY CAN RULE BUT THEY CAN'T TAKE OVER... Watu Wote ni Mali Ya Mungu Muumba Mbingu na Nchi... Hakuna Kitu Cha Thamani Zaidi Kama MOYO wako LINDA MOYO WAKO KULIKO VYOTE UVILINDAVYO... AMEN.

Yani kaka hadi unatia huruma! Viongozi wa dunia wakienda vatican wanaenda kumwinamia papa? Pole sana. Ni ukweli usiopingika papa ni mtu kupata wageni wa heshima kwa mtu kama yeye ni kitu cha kawaida. Sasa wewe unataka iweje? Labda tuanzie hapo mkuu. Make papa hata akinyenyua mguu mnatetemeka. Hebu acheni upumbavu mmwogope Mungu pekee awezaye kuua vyote mwili na roho!
 
Yani kaka hadi unatia huruma! Viongozi wa dunia wakienda vatican wanaenda kumwinamia papa? Pole sana. Ni ukweli usiopingika papa ni mtu kupata wageni wa heshima kwa mtu kama yeye ni kitu cha kawaida. Sasa wewe unataka iweje? Labda tuanzie hapo mkuu. Make papa hata akinyenyua mguu mnatetemeka. Hebu acheni upumbavu mmwogope Mungu pekee awezaye kuua vyote mwili na roho!
Wakuhurumiwa ni wewe ndugu unayeenda kupigia magoti sanamu na kuiabudu,

65a8aec376362c89ea80e2a417b6d8f6.jpg


Kuhusu viongoz kwenda kwa papa , ni siri wewe huzijui, kama unaabudu masanamu, utaweza kung'amua kitu kidogo kama hicho?
 
Ona haya Mafundisho machache ya uongo yanaweza kuorodheshwa kama ifuatavyo: badala ya Neno la Mungu, imeweka MAPOKEO; badala ya Roho Mtakatifu, imemweka PAPA; badala ya toleo moja tu la Kristo, imeweka MISA [toleo la kila siku]; badala ya ubatizo, imewekaKUNYUNYIZA; badala ya Meza ya Bwana, imeweka MKATE UNAOBADILIKA KABISA NA KUWA MWILI NA DAMU HALISI YA YESU (Transubstantiation); badala ya Sheria ya milele ya
Mungu, imeweka SHERIA ILIYOFANYIWA MAREKEBISHO [Amri Kumi]; badala ya Zaka;
imeweka KODI [Ushuru] na INDULGENSIA [kuuza vyeti vya msamaha wa dhambi]; badala ya mauti, imeweka MAHALI PA KUTAKASIA DHAMBI au TOHARANI (Purgatory); badala ya Muhuri wa Mungu, imeweka ALAMA [CHAPA] YA MNYAMA.

ROMAN CATHOLIC INAPOTEZA WATU JAMANI

03a39156596b51df00ebd109923fcea4.jpg
Naona unahangaika Sana na kanisa katoliki kwa taarifa yako hilo ni kanisa la wote lililo anzishwa na Mungu mwenyewe achana na la kwako lililoanzishwa na Demu. Yaani wewe ni mbumbumbu kabisa unahangaika eti wanabatiza kwa kunyunyuzia maji kwahiyo watu wajangwani hawabatizwi? Tatizo elimu ndogo msiwe rigid wenzako wanabadilika kulingana na mazingira.kumbuka kusali ni wakati wowote unataka kutuaminisha jumapili Mungu yuko likizo hapokei maombi au wewe kwa namna yoyote jumapili husali hata kuombea chakula? Au unafikiri kusali ni kuingia kanisani tu. Nyie watu waajabu mtashindana lakini hamtashinda mfumo wa elimu unayo lingia umeanzishwa na wakatolic hiv nyie wasabato mna nin cha kujivunia katika dunia hii kama sio kutapatapa tu tulieni msali kama mnauhakika wakwenda mbinguni kwa nn mnahangaika hivo? Katolic ni kanisa la Mungu hutawaona hata siku moja wakihangaika Kama nyie Mala makambi kumbe uzinzi mtupu.
 
Mi niambie wapi cheo cha Mungu ni holly father! Reference za kumtukuza Mungu ni nyingi sana sasa ninukulie wapi hiyo reference inamaanisha cheo cha Mungu!
Ngoja kwa leo nikufafanulie makufuru mawili tu.

Kufuru la kwanza ni
madai ya kuwa yeye ni Mungu (Yoh. 10:30-33).

Kwa vipi? Nanukuu:

"Papa ana cheo kikubwa mno, tena ametukuzwa mno kiasi kwamba
yeye si mwanadamu tu, bali kama ilivyo ni Mungu, tena ndiye aliye Badala ya Mungu." ----- Lucius Ferraris, Prompta
Bibliotheca Canonica, Gombo la VI, uk. 438,442, chini ya makala
"Papa".

Cheo cha Mungu alichojinyakulia ni "Baba Mtakatifu"
(Yoh. 17:11).

Kufuru la pili ni kudai kuwa anao uwezo wakusamehe dhambi jukumu ambalo ni la Mungu peke yake (Luka
5:20,21).

Mungu peke yake ndiye anayeabudiwa (Mt. 4:10); lakini
papa anataka aabudiwe (2 The. 2:3,4; Ufu. 13:4,7,8,12).
Linganisha na Ufu. 13:1,5,6.


BADO UNABISHA TU?

84cc07e116797fc589da90bff0bf1f41.jpg
 
Naona unahangaika Sana na kanisa katoliki kwa taarifa yako hilo ni kanisa la wote lililo anzishwa na Mungu mwenyewe achana na la kwako lililoanzishwa na Demu. Yaani wewe ni mbumbumbu kabisa unahangaika eti wanabatiza kwa kunyunyuzia maji kwahiyo watu wajangwani hawabatizwi? Tatizo elimu ndogo msiwe rigid wenzako wanabadilika kulingana na mazingira.kumbuka kusali ni wakati wowote unataka kutuaminisha jumapili Mungu yuko likizo hapokei maombi au wewe kwa namna yoyote jumapili husali hata kuombea chakula? Au unafikiri kusali ni kuingia kanisani tu. Nyie watu waajabu mtashindana lakini hamtashinda mfumo wa elimu unayo lingia umeanzishwa na wakatolic hiv nyie wasabato mna nin cha kujivunia katika dunia hii kama sio kutapatapa tu tulieni msali kama mnauhakika wakwenda mbinguni kwa nn mnahangaika hivo? Katolic ni kanisa la Mungu hutawaona hata siku moja wakihangaika Kama nyie Mala makambi kumbe uzinzi mtupu.
Unahitaji roho wa Mungu utondokane na upagani

ee5cdf1d24746e5c4398acaa7e70264a.jpg
 
Ngoja kwa leo nikufafanulie makufuru mawili tu.

Kufuru la kwanza ni
madai ya kuwa yeye ni Mungu (Yoh. 10:30-33).

Kwa vipi? Nanukuu:

"Papa ana cheo kikubwa mno, tena ametukuzwa mno kiasi kwamba
yeye si mwanadamu tu, bali kama ilivyo ni Mungu, tena ndiye aliye Badala ya Mungu." ----- Lucius Ferraris, Prompta
Bibliotheca Canonica, Gombo la VI, uk. 438,442, chini ya makala
"Papa".

Cheo cha Mungu alichojinyakulia ni "Baba Mtakatifu"
(Yoh. 17:11).

Kufuru la pili ni kudai kuwa anao uwezo wakusamehe dhambi jukumu ambalo ni la Mungu peke yake (Luka
5:20,21).

Mungu peke yake ndiye anayeabudiwa (Mt. 4:10); lakini
papa anataka aabudiwe (2 The. 2:3,4; Ufu. 13:4,7,8,12).
Linganisha na Ufu. 13:1,5,6.


BADO UNABISHA TU?

84cc07e116797fc589da90bff0bf1f41.jpg
Mtahangaika Sana kupambana na wakatoliki lakini hamtaweza jengeni hoja zenu kama wakatoliki wanavyo jenga watu wanawaelewa wanakuwa wafasi wao nyie kama Mungu yuko upande wenu si awafunulie dunia nzima wawe sda angalieni mnahangaika lakini hampati wafasi ulishaona wakatoliki wanahubiri sehemu ya umma Kama jangwani furahisha au Soweto? Wanasali kimya kimya lakini bado wanapata wafasi wakutosha nyie sasa mnahangaika Sana lakini watu hawawaekewi jiulizeni mmejikwaa wapi?
 
Ngoja kwa leo nikufafanulie makufuru mawili tu.

Kufuru la kwanza ni
madai ya kuwa yeye ni Mungu (Yoh. 10:30-33).

Kwa vipi? Nanukuu:

"Papa ana cheo kikubwa mno, tena ametukuzwa mno kiasi kwamba
yeye si mwanadamu tu, bali kama ilivyo ni Mungu, tena ndiye aliye Badala ya Mungu." ----- Lucius Ferraris, Prompta
Bibliotheca Canonica, Gombo la VI, uk. 438,442, chini ya makala
"Papa".

Cheo cha Mungu alichojinyakulia ni "Baba Mtakatifu"
(Yoh. 17:11).

Kufuru la pili ni kudai kuwa anao uwezo wakusamehe dhambi jukumu ambalo ni la Mungu peke yake (Luka
5:20,21).

Mungu peke yake ndiye anayeabudiwa (Mt. 4:10); lakini
papa anataka aabudiwe (2 The. 2:3,4; Ufu. 13:4,7,8,12).
Linganisha na Ufu. 13:1,5,6.


BADO UNABISHA TU?

84cc07e116797fc589da90bff0bf1f41.jpg
Mtahangaika Sana kupambana na wakatoliki lakini hamtaweza jengeni hoja zenu kama wakatoliki wanavyo jenga watu wanawaelewa wanakuwa wafasi wao nyie kama Mungu yuko upande wenu si awafunulie dunia nzima wawe sda angalieni mnahangaika lakini hampati wafasi ulishaona wakatoliki wanahubiri sehemu ya umma Kama jangwani furahisha au Soweto? Wanasali kimya kimya lakini bado wanapata wafasi wakutosha nyie sasa mnahangaika Sana lakini watu hawawaekewi jiulizeni mmejikwaa wapi?
 
Tatiozo ni udi na uvumba unaofikizwa hapo au hiyo sanamu pembeni. Hiyo ni picha umeweka yenye tafsiri lukuki e mpumbavueeeeee! Mpaka mnatia kinyaa!
Sio dini itakayokupeleka mbinguni bali ni imani na matendo yako,
 
Here we go again. Seventh Adventists (Wasabato) at work. Yaani bila Papa na ukatoliki hamna dini. Hata hiyo misingi ya dini yenu huwa mnaihubiri saa ngapi kama kazi yenu kuu ni kupambana na Papa na ukatoliki 24/7? Nyinyi mnaamini nini? Wokovu unapatikanaje? Kwa kusoma na kufuata mafundisho ya Bibi Ellen G. White? Kwa kutokula samaki wenye magamba, wanyama wasio na kwato zilizogawanyika na wale wasiocheua? Ni kwa kuabudu Jumamosi? Ni kwa kutokunywa chai, kahawa na soft drinks? Ni kwa kukurupuka na kuwa na kiherehere cha kuhusisha kila tukio na unabii wa vitabu vya Daniel na Ufunuo? Usabato ni nini? Mtu atakwenda mbinguni kwa sababu ni Msabato?

Inawezekana kweli Papa ni ajenti wa shetani lakini je, hili linawasaidiaje nyinyi kama Wasabato? Mbona mko so obsessed na Papa na Wakatoliki? Dini na madhehebu mengine yote yako sawa isipokuwa Wakatoliki? Au mna bifu la kihistoria na Papa na ukatoliki?

Samahani kwa maswali mengi na natumaini kwamba hutatoa povu na badala yake utajaribu kutuelimisha kuhusu kikundi hiki cha kifarisayo (washika sheria za Musa) kiitwacho Seventh Adventists. Ajabu ni kwamba kikundi hiki kina mauzauza mengi yasiyofungamana na mafundisho ya Biblia na badala ya kukazania kuondoa kwanza mabolti katika macho ya wafuasi wake kimekazania mabolti ya Wakatoliki.

Anyway, Happy New Year mkuu (kama mnaamini/mnasherehekea mwaka mpya)!
Hawa ni wale majamaa yaliyochanganyikiwa humo kanisani sijajua anafaidika na nini. Yupo kwa group letu la wasap alitaka kuleta issues za kisabato watu wakamnyea hakurudia tena huyo msukuma
 
Kukufuru ni kujiweka ktk nafasi ya Mungu ingawa wewe ni mwanadamu Yohana 10:33 Wayahudi wakamjibu, kwa ajiri ya kazi njema hatukupigi kwa mawe; bali kwa kukufuru, na kwa sababu wewe ulie mwanadamu wajifanya mwenyewe u Mungu. ---->hiyo ndo maana ya kukufuru. Kudai kuwa sawa na Mungu.
==>Isaya 14:13,14 Shetani alitamani kupaa juu kupita nyota za mbinguni ili afanane na Mungu, yaani akakae ktk nafasi ya Mungu.
==>Mwanzo Mwanzo 3:5 Shetani aliuingiza ulimwengu dhambini kwa kosa la kufuru yaani alimshawishi Eva akaidi agizo la Mungu amwahidi kuwa "atakuwa kama Mungu"-->hii ni kufuru!
WAKATOLIKI wana mwanadamu waliempa jina lenye wadhifa na wasifu wa Mungu peke yake, yaani " Baba Mtakatifu" Soma: Yohana 17:11Wala mimi simo tena ulimwenguni, lakini hawa wamo ulimwenguni, nami naja kwako. Baba Mtakatifu, kwa jina lako ulilonipa uwalinde hawa, ili wawe na umoja kama sisi tulivyo.
Umeona hiyo aya inavobainisha kuwa "Baba Mtakatifu" ni jina la Mungu? Lakini Wakatoliki wana babao mtakatifu mwingine!!!!!? KUFURU!.


Mathayo 23:9 Wala msimwite mtu baba duniani; maana Baba yenu ni mmoja, aliye wa mbinguni. 10. Wala msiitwe viongozi; maana kiongozi wenu ni mmoja, naye ndiye Kristo.
a1c24a7039696fc400f2495b14f81a4b.jpg

Ndugu zangu aya hii ya 9, Mungu kakataa kuwa na ubia ktk jina lake la mamlaka linalobeba wadhifa wake. Kumwita mtu baba Mtakatifu na kiongozi mkuu wa dini ni KUFURU.
Mwenye masikio na asikie ambayo roho awaambia Wakatoliki. Mimi ni mjumbe tu kuwakumbusha yaliyokwisha bainishwa
6c9ad4bf3f1a83fb90dfe2d0b6c7f9d9.jpg
kuna baba mzazi na wa kiroho, we vp!au unatokea kwenye ile dini ya sheitwan ya kujilipua
 
Kanisa la kweli ni yule mtu ambaye amemuamini YESU KRISTO KUWA BWANA NA MWOKOZI WAKE ..KWA iyo ROHO MTAKATIFU AKIWA NDANI YAKO NDANI YA MWILI WAKO(HEKALU) NDIO KANISA HILO LITAKUWA LA KWELI ILA KANISA KAMA JENGO HALIPO LA KWELI KWA KUWA JENGO AU TAASISI SIKU HIZI ZIMETEKWA NA YULE MWOVU ONA ..
WACHUNGAJI NA MAASKOFU WANAHALALISHA POMBE NA KUOA WANAWAKE ZAIDI YA MMOJA ..
Hatuende mbinguni kwa kanisa wewe bwege kabisa hujui kumbe imani na huyo Mke wenu alie waletea dini ya usabato anawadanganya ili mvute wakatoliki mmepotea wamejiimarisha sana wakatoliki hutapambbana nao
 
Naona wamechoka kubishana siasa sasa wameamia kwenye dini
 
Wengi Wameitwa Lakini Wateule ni Wachache Yaani Kila Mahali Walokole ni Wachache Hiyo Ndio Njia Nyembamba iliyosonga... Yesu Kristo Alisema Nira Yangu ni Laini na Mzigo Wangu ni Mwepesi Mtu Haji Kwa Baba ila Kupitia Kwangu... Mimi Ndiye Njia Kweli na Uzima... akasema Ombeni lolote Kwa Jina Langu Nanyi Mtapewa... Vatican imekuletea Kuomba Kupitia Bikira Maria... Salam Mariaaa mama wa Mungu Utuombeee sisi Wakosaji na Yesu Uzao wako sijui nini...KIFUPI HAO WANAJIFANYA MALAIKA WA NURU LAKINI NI MAWAKALA WA KUZIMU DIRECT SKIA SAUTI ZAO ZIMEJAA UNYENYEKEVU WA KUDANGANYA YAANI SHETANI HAJI ISIPOKUWA KUCHINJA KUHARIBU NA .... Huyu mariam hana kibali au nafasi yakuombea watu mbele za Mungu...Amka mteule... Yesu ndio Password ya Maombi Yote Mbele za Mungu... Achana na mariam...Omba Mwenyewe Kwani Pazia la Hekalu Lilishapasuka katikati Hivyo Usingoje Mariam Akuombeee... Amen Ubarikiwe na Bwana wetu Yesu Kristo.
 
Back
Top Bottom