Je, pepo ya wanadamu wema ndiyo hiyo watakayoishi pia majini wema?

Je, pepo ya wanadamu wema ndiyo hiyo watakayoishi pia majini wema?

majini ni mashetani, hayana hiari ya kuchagua mema au mabaya kwani hata yakitenga wema hayana thawabu, yalishahukumiwa sehemu yao ni katika ziwa la moto ndio maana yamekazana yakiwa na mfalme wao shetani kudanganya wanadamu ili waende nao motoni sehemu ambayo wao waliandaliwa kama adhabu. uislam ni mojawapo ya udanganyifu majini na mashetani yameleta ili kuwapata waislam waingie motoni. ukiwa muislam, lazima ukifa utaenda motoni. ila ukimpokea Yesu Kristo kuwa mwokozi wa maisha yako atakuokoa usiende motoni. tangu lini shetani akawa mwema? ukiona dini inashirikianana shetani, jua hiyo ni dini ya shetani, uislam unaswali na kushirikiana na majini hadi mle kwenye misikiti na hata wanafundishwa kuyafuga kwani wanaamini yapo mema na mazuri. mshindwe kwa Jina la Yesu Kristo. the devil is a liar.
Utopolo mtupu ulioandika
 
sioni ajabu wewe kutetea majini, kwa sababu ni wenzako, mnaswali pamoja, mna dini moja, wote ni waislam, na mtaenda jehanum pamoja. labda niliweke kihivyo.
Uislamu haumwabudu jini wala kushirikiana nao. Tunamuabudu Mwenyezi Mungu mmoja tu Allah. Kila mtu atawajibika kwa matendo yake mbele ya Allah, Wewe ni nani mpaka utoe hukumu Kwa viumbe?
 
Hana "premises" ni kama kuifahamisha hewa tu.
downloadfile-1.png
 
Uislamu haumwabudu jini wala kushirikiana nao. Tunamuabudu Mwenyezi Mungu mmoja tu Allah. Kila mtu atawajibika kwa matendo yake mbele ya Allah, Wewe ni nani mpaka utoe hukumu Kwa viumbe?
downloadfile.jpg
 
Utopolo mtupu ulioandika
Allah alitoa ahadi ya mabikra 72 kwa Wanaume wa Kiislam watakaoingia peponi na kutotoa ahadi yeyote ile kwa Wanawake wa Kiislam ila hajasema wanawake wa kiislam watakaoingia peponi watapewa nini.

Sunan Ibn Majah Juzuu ya 5, Kitabu cha 37, Hadithi 4337—“Abu Umama amesimulia: “Mtume wa Allah swt amesema, ‘Kila ambaye Mwenyezi Mungu atamuingiza Peponi ataoa wake 72;

Sunan Ibn Majah Volume 5, Book 37, Hadith 4337—“Abu Umama narrated: "The Messenger of God said, 'Everyone that God admits into paradise will be married to 72 wives; two of them are houris and seventy of his inheritance of the female dwellers of hell. All of them will have libidinous sex organs and he will have an ever-erect penis.”

Quran 56:28-37: We have created (their Companions) of special creation. And made them virgin - pure (and undefiled), - Beloved (by nature), equal in age,-

Quran 37:48-49:

And with them shall be those who restrain the eyes, having beautiful eyes; As if they were eggs carefully protected.

“...they shall have therein Azwajun Mutahharatun (purified mates or wives), (having no menses, stools, urine, etc.) and they will abide therein forever.” This means God will provide pure women for men to have sex with in Paradise.
 
1. majini hayapo kwenye ukristo, yapo kwenye uislamu tu. bibilia ambayo haijatafsiriwa haitaji majini, bibilia ya kiingereza tu haitaji majini.

Mkuu… Neno JINI lisikuchanganye maana limetoka ktk lugha ya KIARABU.

Ukisema MAJINI yapo kwenye UISLAMU tu ina maana mwanzo wa kuwepo kwao duniani umeanza baada ya MUHAMMAD kuanzisha UISLAMU, SI KWELI.

MAJINI… yalikuwepo tangu kale pia hawa majini ni malaika walioasi kwa mujibu wa BIBILIA.

Haya yote ni majina ya kutambulisha MAJINI… kwa mujibu wa BIBILIA.
PEPO
PEPO WABAYA
PEPO WAOVU
ROHO WAOVU
SHETANI
MASHETANI
IBILISI
MJARIBU

Njia ya kujua kuwa hao nlio wataja ndio hao hao ambao waliitwa MAJINI baada ya UISLAMU kuja.

Sifa yao kubwa ni kuharibu yaan… Kumpagaa mtu
Kumpa ugonjwa mtu(kukudhuru)
Kuharibu mimba (tasa)
Kuangamiza (kukuua)
Na mengineyo…
__________________________

Kwa mujibu wa Bibilia hakuna PEPO MWEMA (JINI) maana woote walisha laaniwa na Mungu hivyo hawana TOBA hata wapige MAOMBI vp, hivyo nashangaa MUISLAMU akiniambia kuwa JINI mwema anafanya MAOMBI kama watu wanavyofanya MAOMBI!

Huwa najiuliza hayo maombi ya maJINI anayajibu Mungu gani!!?
Kumbe yanajibiwa na mungu ALLAH.

Pia ukisoma injili kuna sehemu YESU KRISTO alisimangwa juu ya NGUVU anazo tumia kuponya watu wenye PEPO.

aliambiwa hivi….… Mathayo 12:23-24
23 Makutano wote wakashangaa, wakasema, Huyu siye mwana wa Daudi?

24 Lakini Mafarisayo waliposikia, walisema, Huyu hatoi pepo, ila kwa Beelzebuli mkuu wa pepo.
__________________________

Ukisoma huo mstari wa 24 unakuja kuona kuwa MAFARISAYO waliamini na walijua kuwa mkuu wa pepo ni beel-zebuli ambaye ndiye IBILISI au SHETANI tumwitavyo sisi waswahili.
 
Mkuu… Neno JINI lisikuchanganye maana limetoka ktk lugha ya KIARABU.

Ukisema MAJINI yapo kwenye UISLAMU tu ina maana mwanzo wa kuwepo kwao duniani umeanza baada ya MUHAMMAD kuanzisha UISLAMU, SI KWELI.

MAJINI… yalikuwepo tangu kale pia hawa majini ni malaika walioasi kwa mujibu wa BIBILIA.

Haya yote ni majina ya kutambulisha MAJINI… kwa mujibu wa BIBILIA.
PEPO
PEPO WABAYA
PEPO WAOVU
ROHO WAOVU
SHETANI
MASHETANI
IBILISI
MJARIBU

Njia ya kujua kuwa hao nlio wataja ndio hao hao ambao waliitwa MAJINI baada ya UISLAMU kuja.

Sifa yao kubwa ni kuharibu yaan… Kumpagaa mtu
Kumpa ugonjwa mtu(kukudhuru)
Kuharibu mimba (tasa)
Kuangamiza (kukuua)
Na mengineyo…
__________________________

Kwa mujibu wa Bibilia hakuna PEPO MWEMA (JINI) maana woote walisha laaniwa na Mungu hivyo hawana TOBA hata wapige MAOMBI vp, hivyo nashangaa MUISLAMU akiniambia kuwa JINI mwema anafanya MAOMBI kama watu wanavyofanya MAOMBI!

Huwa najiuliza hayo maombi ya maJINI anayajibu Mungu gani!!?
Kumbe yanajibiwa na mungu ALLAH.

Pia ukisoma injili kuna sehemu YESU KRISTO alisimangwa juu ya NGUVU anazo tumia kuponya watu wenye PEPO.

aliambiwa hivi….… Mathayo 12:23-24
23 Makutano wote wakashangaa, wakasema, Huyu siye mwana wa Daudi?

24 Lakini Mafarisayo waliposikia, walisema, Huyu hatoi pepo, ila kwa Beelzebuli mkuu wa pepo.
__________________________

Ukisoma huo mstari wa 24 unakuja kuona kuwa MAFARISAYO waliamini na walijua kuwa mkuu wa pepo ni beel-zebuli ambaye ndiye IBILISI au SHETANI tumwitavyo sisi waswahili.
Sijui kwanini hamnielewi,

Jinn hawapo kwenye ukristo kama jinsi ambavyo hakuna bikra 72 kwenye mbingu ya kikristo.

Yahweh hakuumba Jinn, Allah ndo aliumba Jinn.

Unapoitazama dini isiyo yako, itazame kwa kanuni zake, sio kwa kanuni za dini yako.
 
Kila ambaye Mwenyezi Mungu atamuingiza Peponi ataoa wake 72;
Atakaye kubishia ni yule asiyejua hilo, mimi ni MKRISTO na hilo nalifahamu kuwa ndivyo walivyo ahidiwa BIKIRA 72.

Pia kwenye PEPO ya allah kutakuwa na mito ya ASALI na ya POMBE.
Yaan huko unachagua ww unywe pombe gani!

KONYAGI, SAFARI, SERENGETI, K/NJARO, GIN, GONGO, Dabo KicK nk.
__________________________

Usishangae 🥺 hizo ni ahadi za ALLAH alizowapa wale watakao mcha-allah.

Lakn pia ww MUISLAMU, QURAN inakukumbusha kuwa UZINZI na POMBE ni kazi ya SHETANI… lakn ndo kaahidi itakuwepo kwenye PEPO yake!

Jiulize!? Je ALLAH ni Mungu wa kweli au ni SHETANI!
 

Attachments

  • 1738027646791.jpg
    1738027646791.jpg
    184.5 KB · Views: 1
Sijui kwanini hamnielewi,

Jinn hawapo kwenye ukristo kama jinsi ambavyo hakuna bikra 72 kwenye mbingu ya kikristo.

Yahweh hakuumba Jinn, Allah ndo aliumba Jinn.

Unapoitazama dini isiyo yako, itazame kwa kanuni zake, sio kwa kanuni za dini yako.
Ndiyo maana mm nkaweka maelezo kwa mapana tena sio kwa mujibu wangu binafsi bali kwa MAANDIKO.

Tena kuhusu majini nmeelekeza vzur sana, sasa kama utaleta UDINI ktk hilo basi andika UMEUMIA!
 
majini ni mashetani, hayana hiari ya kuchagua mema au mabaya kwani hata yakitenga wema hayana thawabu, yalishahukumiwa sehemu yao ni katika ziwa la moto ndio maana yamekazana yakiwa na mfalme wao shetani kudanganya wanadamu ili waende nao motoni sehemu ambayo wao waliandaliwa kama adhabu. uislam ni mojawapo ya udanganyifu majini na mashetani yameleta ili kuwapata waislam waingie motoni. ukiwa muislam, lazima ukifa utaenda motoni. ila ukimpokea Yesu Kristo kuwa mwokozi wa maisha yako atakuokoa usiende motoni. tangu lini shetani akawa mwema? ukiona dini inashirikianana shetani, jua hiyo ni dini ya shetani, uislam unaswali na kushirikiana na majini hadi mle kwenye misikiti na hata wanafundishwa kuyafuga kwani wanaamini yapo mema na mazuri. mshindwe kwa Jina la Yesu Kristo. the devil is a liar.
Umejuaje kwamba wakifa wanaenda Motoni?
 
Bado hujasema.

Weka aya na namba zake uulize swali. Siyo picha za maandiko yasiyojulikana kaandika nani.
Kila kitu kinajulikana. Wala hakuna kuuliza maswali
Wewe ni mojawapo wa mabikra 72 watakao kuwa peponi kuwaburudisha wanaume. Mbaya zaidi ndiyo unapewa ukamburudishe baba yako mzazi😀😀😀 Dini zingine unatakiwa ujitoe ufahamu ili uwe muumini hata mtu akisema ukweli upo radhi umuue ili asiseme ukweli.
Naona mlitaka kumuua mwandishi wa Satanic Verse😀😀😀
 
Atakaye kubishia ni yule asiyejua hilo, mimi ni MKRISTO na hilo nalifahamu kuwa ndivyo walivyo ahidiwa BIKIRA 72.

Pia kwenye PEPO ya allah kutakuwa na mito ya ASALI na ya POMBE.
Yaan huko unachagua ww unywe pombe gani!

KONYAGI, SAFARI, SERENGETI, K/NJARO, GIN, GONGO, Dabo KicK nk.
__________________________

Usishangae 🥺 hizo ni ahadi za ALLAH alizowapa wale watakao mcha-allah.

Lakn pia ww MUISLAMU, QURAN inakukumbusha kuwa UZINZI na POMBE ni kazi ya SHETANI… lakn ndo kaahidi itakuwepo kwenye PEPO yake!

Jiulize!? Je ALLAH ni Mungu wa kweli au ni SHETANI!
Unahaidiwa na Allah peponi ukalale na wanawake 72 mabikra
Kwahiyo huko peponi ngono tu hakuna maisha mengine. Inasikitisha sana😢😢😢
 
Uislamu haumwabudu jini wala kushirikiana nao. Tunamuabudu Mwenyezi Mungu mmoja tu Allah. Kila mtu atawajibika kwa matendo yake mbele ya Allah, Wewe ni nani mpaka utoe hukumu Kwa viumbe?
basi wewe sio muislam, waislam wenzio wanaswali pamoja na wanayafuga, ni rafiki zao.
 
Back
Top Bottom