Je, pepo ya wanadamu wema ndiyo hiyo watakayoishi pia majini wema?

Je, pepo ya wanadamu wema ndiyo hiyo watakayoishi pia majini wema?

Kila kitu kinajulikana. Wala hakuna kuuliza maswali
Wewe ni mojawapo wa mabikra 72 watakao kuwa peponi kuwaburudisha wanaume. Mbaya zaidi ndiyo unapewa ukamburudishe baba yako mzazi😀😀😀 Dini zingine unatakiwa ujitoe ufahamu ili uwe muumini hata mtu akisema ukweli upo radhi umuue ili asiseme ukweli.
Naona mlitaka kumuua mwandishi wa Satanic Verse😀😀😀
Kinajulikana na nani?

Unaota?
 
Atakaye kubishia ni yule asiyejua hilo, mimi ni MKRISTO na hilo nalifahamu kuwa ndivyo walivyo ahidiwa BIKIRA 72.

Pia kwenye PEPO ya allah kutakuwa na mito ya ASALI na ya POMBE.
Yaan huko unachagua ww unywe pombe gani!

KONYAGI, SAFARI, SERENGETI, K/NJARO, GIN, GONGO, Dabo KicK nk.
__________________________

Usishangae 🥺 hizo ni ahadi za ALLAH alizowapa wale watakao mcha-allah.

Lakn pia ww MUISLAMU, QURAN inakukumbusha kuwa UZINZI na POMBE ni kazi ya SHETANI… lakn ndo kaahidi itakuwepo kwenye PEPO yake!

Jiulize!? Je ALLAH ni Mungu wa kweli au ni SHETANI!
Una ushahidi wa hilo kutoka kwenye Qur'an au unafata ya kuambiwa tu?
 
Walioweka idadi wamewadanganya.

Peponi idadi ni fikra zako tu. Ikiwa Daudi, kwa mujibu wa biblia alikuwa na wanawske 1,000 duniani, peponi wawe 70 tu. Kuji2ekea idadi ni ujinga tu.

Hakuna hiyo kwenye Qur'an. Abishae aweke aya.

Ujinga huo.
 
Wadau hamjamboni nyote?
Naombeni mtupe Aya tafadhali vinginevyo kaeni kimya
Tafakuri ya kina kwa wenye ilimu ya theolojia
Je, majini hao watapewa zawadi ya mabikira takriban 70 kama ilivyo kwa wanadamu?
Fumbuka macho. Pepo ni hapa hapa. Ukishafuniwa kila kitu kinafunikwa na kuishia hapo. Jikumbushe mnavyowaaga marehemu mkisema wapumzike hapo kaburini. Kama ni kupumzika milele, hiyo pepo iko wapi mwanangu?
 
Pepo ni hapa hapa.
Mkuu… kama unaamini hivyo inatakiwa kuanzia leo ubadilishe jina na ujiite MSADUKAYO.

Maana MASADUKAYO ndo waliamini hivyo kuwa hakuna KIYAMA ya wafu.

Mathayo 22:23

23 Siku ile Masadukayo, watu wasemao ya kwamba hakuna kiyama, wakamwendea, wakamwuliza,
 
Mkuu… kama unaamini hivyo inatakiwa kuanzia leo ubadilishe jina na ujiite MSADUKAYO.

Maana MASADUKAYO ndo waliamini hivyo kuwa hakuna KIYAMA ya wafu.

Mathayo 22:23

23 Siku ile Masadukayo, watu wasemao ya kwamba hakuna kiyama, wakamwendea, wakamwuliza,
Sorry m wanangu, siwezi kujiita majina hayo hayo ya kishenzi wakati kuna majina mazuri ya Kiafrika kama Baba wa Wote kkkk. :Jammies: :Jammies: :Jammies: :Jammies: :Jammies: :Jammies: :Jammies: :Jammies: :Jammies:
 
Wadau hamjamboni nyote?
Naombeni mtupe Aya tafadhali vinginevyo kaeni kimya
Tafakuri ya kina kwa wenye ilimu ya theolojia
Je, majini hao watapewa zawadi ya mabikira takriban 70 kama ilivyo kwa wanadamu?
Hakuna jini mwema. Hukumu yao ya uasi imeshawekwa tayari.
 
Mkuu… kama unaamini hivyo inatakiwa kuanzia leo ubadilishe jina na ujiite MSADUKAYO.

Maana MASADUKAYO ndo waliamini hivyo kuwa hakuna KIYAMA ya wafu.

Mathayo 22:23

23 Siku ile Masadukayo, watu wasemao ya kwamba hakuna kiyama, wakamwendea, wakamwuliza,
Ndo leo wanaitwa ATHEIST
 
Walioweka idadi wamewadanganya.

Peponi idadi ni fikra zako tu. Ikiwa Daudi, kwa mujibu wa biblia alikuwa na wanawske 1,000 duniani, peponi wawe 70 tu. Kuji2ekea idadi ni ujinga tu.

Hakuna hiyo kwenye Qur'an. Abishae aweke aya.

Ujinga huo.
Wenye dini yao (waarabu) wanajua watapewa mabikra 72.
Huu muda wa kujibizana na watu humu jamii forum. Jifunze lugha ya kiarabu ili usipate shida kuongea na Allah😀😀😀
 
Back
Top Bottom