Je, pepo ya wanadamu wema ndiyo hiyo watakayoishi pia majini wema?

Kinajulikana na nani?

Unaota?
 
Una ushahidi wa hilo kutoka kwenye Qur'an au unafata ya kuambiwa tu?
 
Walioweka idadi wamewadanganya.

Peponi idadi ni fikra zako tu. Ikiwa Daudi, kwa mujibu wa biblia alikuwa na wanawske 1,000 duniani, peponi wawe 70 tu. Kuji2ekea idadi ni ujinga tu.

Hakuna hiyo kwenye Qur'an. Abishae aweke aya.

Ujinga huo.
 
Wadau hamjamboni nyote?
Naombeni mtupe Aya tafadhali vinginevyo kaeni kimya
Tafakuri ya kina kwa wenye ilimu ya theolojia
Je, majini hao watapewa zawadi ya mabikira takriban 70 kama ilivyo kwa wanadamu?
Fumbuka macho. Pepo ni hapa hapa. Ukishafuniwa kila kitu kinafunikwa na kuishia hapo. Jikumbushe mnavyowaaga marehemu mkisema wapumzike hapo kaburini. Kama ni kupumzika milele, hiyo pepo iko wapi mwanangu?
 
Pepo ni hapa hapa.
Mkuu… kama unaamini hivyo inatakiwa kuanzia leo ubadilishe jina na ujiite MSADUKAYO.

Maana MASADUKAYO ndo waliamini hivyo kuwa hakuna KIYAMA ya wafu.

Mathayo 22:23

23 Siku ile Masadukayo, watu wasemao ya kwamba hakuna kiyama, wakamwendea, wakamwuliza,
 
Sorry m wanangu, siwezi kujiita majina hayo hayo ya kishenzi wakati kuna majina mazuri ya Kiafrika kama Baba wa Wote kkkk.
 
Wadau hamjamboni nyote?
Naombeni mtupe Aya tafadhali vinginevyo kaeni kimya
Tafakuri ya kina kwa wenye ilimu ya theolojia
Je, majini hao watapewa zawadi ya mabikira takriban 70 kama ilivyo kwa wanadamu?
Hakuna jini mwema. Hukumu yao ya uasi imeshawekwa tayari.
 
Ndo leo wanaitwa ATHEIST
 
Walioweka idadi wamewadanganya.

Peponi idadi ni fikra zako tu. Ikiwa Daudi, kwa mujibu wa biblia alikuwa na wanawske 1,000 duniani, peponi wawe 70 tu. Kuji2ekea idadi ni ujinga tu.

Hakuna hiyo kwenye Qur'an. Abishae aweke aya.

Ujinga huo.
Wenye dini yao (waarabu) wanajua watapewa mabikra 72.
Huu muda wa kujibizana na watu humu jamii forum. Jifunze lugha ya kiarabu ili usipate shida kuongea na Allah😀😀😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…