Je, Postamasta wa Zamani Macris Mbodo atakuja kufanya kazi gani? Je, Mamlaka ya Uteuzi ilichemsha kumlinda Maharage?

Je, Postamasta wa Zamani Macris Mbodo atakuja kufanya kazi gani? Je, Mamlaka ya Uteuzi ilichemsha kumlinda Maharage?

Stuxnet

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2011
Posts
13,417
Reaction score
23,310
Yeye mwenyewe anatuambia kuwa POSTA MASTA aliyekuwapo anafanya kazi nzuri sana. Macris Mbodo ameifanya Tanzania Posts Corporation kuwa mbele kuliko mashirika ya Posta yaliyo mengi katika bara la Afrika. Na kwa kutambua hilo yuko masomoni kujinoa ili afanye vizuri zaidi. Huku nyuma anatuletea Maharage Chande ambaye ameharibu TANESCO. Anamsafisha Maharage asionekane ni FAILURE kwa kusema mgawo wa umeme siyo kosa lake japo wananchi tumekataa kuamini kauli ya Rais.

Macris Mabodo akirudi na kisomo chake anakwenda kupangiwa kazi nyingine ili Maharage aiue na Posta tena
 
Mkuu rais anajua fika tatizo la umeme msababishi au visababishi ni nini unambishia?

Maharage alikuwa chini ya Waziri, asingweza kujifanyia mambo bila waziri kuamua.

Huyu jamaa mnamwonea bure.

Tanzania wanasiasa wajinga ndio wenye nguvu kuliko wataalam na watendaji.

Maharage kama ni mbovu asingeaminiwa na Multi..choice ukanda wa Afrika mashariki na kati.
 
Mkuu rais anajua fika tatizo la umeme msababishi au visababishi ni nini unambishia?

Maharage alikuwa chini ya Waziri, asingweza kujifanyia mambo bila waziri kuamua.

Huyu jamaa mnamwonea bure.

Tanzania wanasiasa wajinga ndio wenye nguvu kuliko wataalam na watendaji.

Maharage kama ni mbovu asingeaminiwa na Multi..choice ukanda wa Afrika mashariki na kati.
Kwani Maharage alijileta TANESCO? Au hujui mtandao wake na Makamaba Jr?

Halafu kumbuka kuuza ving'amuzi vya DSTV Afrika ni sawa tu na Vunjabei anavyouza jeans mikoa yote Dar.

Ku manage shirika la kuzalisha na kusambaza Umeme ni kitu kjngine boya wewe acha kutetea mediocrity
 
Yeye mwenyewe anatuambia kuwa POSTA MASTA aliyekuwapo anafanya kazi nzuri sana. Macris Mbodo ameifanya Tanzania Posts Corporation kuwa mbele kuliko mashirika ya Posta yaliyo mengi katika bara la Afrika. Na kwa kutambua hilo yuko masomoni kujinoa ili afanye vizuri zaidi. Huku nyuma anatuletea Maharage Chande ambaye ameharibu TANESCO. Anamsafisha Maharage asionekane ni FAILURE kwa kusema mgawo wa umeme siyo kosa lake japo wananchi tumekataa kuamini kauli ya Rais.

Macris Mabodo akirudi na kisomo chake anakwenda kupangiwa kazi nyingine ili Maharage aiue na Posta tenaView attachment 2766119
Hatimaye PDF imesoma: Maharage katupwa nje ya Posta
IMG-20240723-WA0089.jpg
 
Back
Top Bottom