Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hii kitu imekaaje wakuu ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unasemaje juu ya hilo?
mimi na simba wenzangu tuwaombea vyura njaa ya kufa mtuWewe unasemaje juu ya hilo?
Sana ,tena wampe uhuru na ushirikiano km wanaompa huyu wa sasaKama Yanga inataka kwenda mbele,huyu ni Mtu sahihi kwa falsafa yake ya soka la vijana
Mkia wa kiti moto wewewamuache zahera,,yanga wataaribu sasa
wachezaji wake alio wasajili bado hata hawajazoeana,
Zahera ni bonge la kocha wampe muda angalau miaka mitatu
Uzuri wa Zahera ni upi ?wamuache zahera,,yanga wataaribu sasa
wachezaji wake alio wasajili bado hata hawajazoeana,
Zahera ni bonge la kocha wampe muda angalau miaka mitatu
uzuri wake ni upi ?Hakuna kocha afrika hii kama zahera kwa nn aondoke
Zahera ana mambo mengi yanayochangia kushindwa kwa Yanga kama vile kocha msaidizi DRC,Biashara ufaransa na muda mwingi anautumia huko sio kwa Yanga, so AONDOKE!!Na iwe kweli mana tunaoumia ni sisi mashabiki! Yanga majanga, Man U haieleweki na timu ya kwetu Mtibwa sugar haisomeki! Daah napata tabu sana msimu huu!
Huyu kocha hata Madrid anafundisha vzr tu..Hakuna kocha afrika hii kama zahera kwa nn aondoke
kichekesho hichi...zahera hata kombe la kuku hajawah chukua...Yanga timu kubwa, point ya msingi wamshukuru kwa yote then watafute kocha mwenye uzoefu wa kuchukua vikombe....zahera yanga ni kubwa kuliko CV yake...Huyu kocha hata Madrid anafundisha vzr tu..
apewe muda
😆😆😆😆Zahera akiacha kuvaa ile MIKAPUTURA ni kocha mzuri tu kama UNAI EMERY.
Ngoja akamilishe mipango ya molinga kwanza mkuukichekesho hichi...zahera hata kombe la kuku hajawah chukua...Yanga timu kubwa, point ya msingi wamshukuru kwa yote then watafute kocha mwenye uzoefu wa kuchukua vikombe....zahera yanga ni kubwa kuliko CV yake...
Sisi yanga ndio tunajuauzuri wake ni upi ?