Watery
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 2,718
- 3,471
Acheni ujinga nyie
Limtu linalala na kuamka na kulala tena afu ndo mumuite kuwa kocha kwenye timu kubwa ya Ligi ya Tanzania
Acheni kushoboka na ranyi nyeupe Tafteni makocha wazuri sio waliokaa kaa tu kihasaraasara
Kweli nyie akili ndo mlinyimwa