Wakuu samahani
Huwa nachoka sana mwili wangu kila siku zinavyokuja, nmepima kila aina ya gonjwa sugu mnalolifahamu ,sina
Niliachana na aliekuwa mke wangu miaka kadhaa iliyopita kutokana na usaliti alioufanya,
ikawa mchezo wangu ni ule wa kidronedake..je hili linaweza sababisha uchovu huu? Umri ni 40+
Siku zinavyozidi kwenda hadi kazini humo najikuta kusinzia ofsini .
Nifanyaje mkuu, kuoa sioi kwa sasa labda mwaka keshokutwa wengi matapeli wa mapenzi
Huwa nachoka sana mwili wangu kila siku zinavyokuja, nmepima kila aina ya gonjwa sugu mnalolifahamu ,sina
Niliachana na aliekuwa mke wangu miaka kadhaa iliyopita kutokana na usaliti alioufanya,
ikawa mchezo wangu ni ule wa kidronedake..je hili linaweza sababisha uchovu huu? Umri ni 40+
Siku zinavyozidi kwenda hadi kazini humo najikuta kusinzia ofsini .
Nifanyaje mkuu, kuoa sioi kwa sasa labda mwaka keshokutwa wengi matapeli wa mapenzi
