Je, punyeto inaweza kuwa sababu ya kuchoka kwa mwili?

Umri unavozidi kwenda ndio ndizi inazidi kusinyaa
 
Mwenyekiti wa bodi na katibu
CHAPUTA
dronedrake
Mad Max
 
Sijui, ila punyeto ni jambo baya sana kwa 40 +

Ila maeneo haya ni muhimu, yaangalie:

1. Afya ya Mwili - Mazoezi.
2. Afya ya akili - Unasoma nini.
3. Afya ya roho - Kumbuka sala

Kagua haya maeneo wakati wote unapokutana na mambo usiyoelewa.
Comment Bora sana hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…