Kinjekitile junior
JF-Expert Member
- Apr 20, 2015
- 4,404
- 581
Haya ndugu
Unakimbizana na kivuli chako wewe!!!
Ficha ujinga hata nikununua pipi nalipa kodi kila ninachokitumia nakipilia kodi pesa zangu ni nyingi sanaMpaka sasa umeshachangia sh.ngapi?maana naona unaibuka kuchangia kitu usichokielewa!!!
Nahisi wewe una mapepo leo??
Acheni kujazana upepo usiku huu mkashindwa kulala!!!Katiba itapigiwa kura na itaingia mzigoni!!
Nahisi wewe una mapepo leo??
Endelea kujipa moyo mwisho wa ccm ni mwaka huu.
Njoo kwa mtumishi wa Mungu Gwajima uje kuombewa naona una pepo la kijani.
Endelea kutumika dogo!!
Wewe ni sisimizi ndani ya nchi hii hujui nini kinaendelea kalale uongezeke urefu!!Hizo kura labda mkapigie kuzimu.
Wewe ni sawa na mfu anayesubiri kuzikwa muda wowoteMnaota nyie kazi yenu ni kuruka na kukanyaga nenda kalale naona ndo umekujamlindo!!
Sijui umekula maharage ya wapi mpuuzi wewe unatetea chama cha majambazi wenzako.
Unatumiwa kwa faida ya nani?[JFMP3][/JFMP3]
Wewe ni sisimizi ndani ya nchi hii hujui nini kinaendelea kalale uongezeke urefu!!
Unaweweseka tu hapo bado haujaanza kuota teh teh tehEndelea kujipa moyo mwisho wa ccm ni mwaka huu.
Unatumiwa kwa faida ya nani?
Unaweweseka tu hapo bado haujaanza kuota teh teh teh
hakika ulizaliwa njiti sio bure!!
Team ya watetea wafu kazini.nguvu ya viroba inakugegeda weweView attachment 255204