Je Rais ajaye atakubaliana na katiba pendekezwa?

Je Rais ajaye atakubaliana na katiba pendekezwa?

BOra Mungu akunyime pesa akupe akili

Wewe umenyimwa vyote hata hizo akili huna ulichopewa ukiwa mtoto na dada yako ni ulanzi image.jpg
 
Bonge nyanya! nikiwa hivyo si unajidai lakin ndotokabisa

Moto wa koroboi, usijifanye juha kwa kutaka sifa kushabikia mambo usiyoyajua mwenzako mnayeshinda naye Buguruni kaleta mada mfu kwanda hatuna katiba Pendekezwa tuna Katiba Inayopendekezwa sasa wewe ume kurupuka usiku kuja kushadadia usichokijua!!
 
Team ya watetea wafu kazini.

Mabadiliko ndani ya nchi hayazuiliwi na mdomo wenye mapengo!!kajipangeni upya Wana Buguruni team under UPAWA na mwaka huu mtaisoma namba 2015 kuwa 5120 maana mmeshaanza kuwa na makengeza kabla ya Oktoba!!!
RIP EMMA & Co LTD
 
Najiuliza endapo Rais ajaye akiikataa katiba pendekezwa je anaweza kutengua maamuzi ya Rais aliyemtangulia je sheria inasemaje? Au lazima arudishe mswaada bungeni?

Kwanza mpaka hapo umeshalegea huna tumaini tena la kufanikisha kampeni yako ovu ya kukwamisha
Katiba ndo maana unatafuta huruma teh te h teh katiba inapita hiyo!!!! Rais ajaye anasimamia ajenda hii ya kitaifa acha kupoteza muda hapa kutaka kutupandia mbigili kwenye shamba la uyoga huko kwenye muswaada tulishatoka tunasubiri kupiga kura!!!
 
Umechanganyikiwa wewe waambie wakurudishe kule mirembe

Utasema mengi sana kabla ya Oktoba 2015, mwaka huu ni mbaya kwako maana ulizoea kupotosha na sasa umekutana na mzalendo halisi nisiyefagilia umangimeza humu ndani na huko ulikokusema utarudishwa mwenyewe maana naona kuna kila dalili ya wewe kuehuka!!
 
Wakuu mbona mmetoka katika hoja mmeenda kwenye mipasho nendeni chit chat mkapasuane comments za watu wawili 5 page? Eti Emma na wewe SIDANGANYIKI2015 jamani rudini kwenye topic
 
Last edited by a moderator:
Wakuu mbona mmetoka katika hoja mmeenda kwenye mipasho nendeni chit chat mkapasuane comments za watu wawili 5 page? Eti Emma na wewe SIDANGANYIKI2015 jamani rudini kwenye topic
Mtoa mada ni dhaifu, badala ya kusimamia alichowasilisha amekalia ushabiki wa vyama hapa mara UKAWA na kelele kibao kaukimbia msingi wake mwenyewe aloujengaHata kama ni ushabiki wa vyama sio kiivyo taifa kwanzataifa ni bora kuliko UKAWA, Katiba mpya ni ajenda ya taifa hakuna asiyelijua hili!! Sasa yeye anasema nini???ajirudi kwanza mwenyewe ili wachangiaji wengine tumuelewe la sivyo ni fujo tu!!Amekosa sifa ya uvumilivu othewise mada yake angekaa nayo tu.
 
Last edited by a moderator:
Mtoa mada ni dhaifu, badala ya kusimamia alichowasilisha amekalia ushabiki wa vyama hapa mara UKAWA na kelele kibao kaukimbia msingi wake mwenyewe aloujengaHata kama ni ushabiki wa vyama sio kiivyo taifa kwanzataifa ni bora kuliko UKAWA, Katiba mpya ni ajenda ya taifa hakuna asiyelijua hili!! Sasa yeye anasema nini???ajirudi kwanza mwenyewe ili wachangiaji wengine tumuelewe la sivyo ni fujo tu!!Amekosa sifa ya uvumilivu othewise mada yake angekaa nayo tu.
Nimeeleweka hapa mpo kiitikadi hivi hii katiba ya pili unadhani Rais ajae ataitaka hata kuiona subirii!
 
Nimeeleweka hapa mpo kiitikadi hivi hii katiba ya pili unadhani Rais ajae ataitaka hata kuiona subirii!

Haaa kumbe mtoa mada ni wewe kumradhi aisee!!niliyosema kwenye mchango wangu yanaanza kudhihirika, mtoa hoja ni dhaifu na tayari majibu unayo ya nini kutuletea ushuzi huu???
 
Haaa kumbe mtoa mada ni wewe kumradhi aisee!!niliyosema kwenye mchango wangu yanaanza kudhihirika, mtoa hoja ni dhaifu na tayari majibu unayo ya nini kutuletea ushuzi huu???
Nakufahamisha kwa rais ajae mwenye hekima na anayejali hali ya watanzani na si mchumia tumbo basi katiba pendekezwa hawezi kuikubali kwani hata wakati inapitishwa kuna baadhi ya wabunge wa chama tawala walichukizwa na hiyo katiba ya pili na wengi waliofurahia ni kama kapten komba, Lusinde etc
 
Nakufahamisha kwa rais ajae mwenye hekima na anayejali hali ya watanzani na si mchumia tumbo basi katiba pendekezwa hawezi kuikubali kwani hata wakati inapitishwa kuna baadhi ya wabunge wa chama tawala walichukizwa na hiyo katiba ya pili na wengi waliofurahia ni kama kapten komba, Lusinde etc

Kumbe unajua ilipitishwa???safi, Hoja hapa iweje baadhi ya wabunge unowasema wewe wa chama waipitishe afu wakutolee wewe malalamiko??unaona inaingia akilini? Au unajifariji hapa, Aluta continue bora utafute nchi nyingine ukaishi au omba hifadhi ya kuwa Mkimbizi maana ushabiki ulio nao unaendeshwa na siasa sio utaifa!!
 
Moto wa koroboi, usijifanye juha kwa kutaka sifa kushabikia mambo usiyoyajua mwenzako mnayeshinda naye Buguruni kaleta mada mfu kwanda hatuna katiba Pendekezwa tuna Katiba Inayopendekezwa sasa wewe ume kurupuka usiku kuja kushadadia usichokijua!!
Uhuru wa maoni
 
Lowasa kama anataka uraisi na ashinde kwa kishindo basi awaahidi watanzania rasimu ya Warioba ndiyo itakayopitishwa. Maana bila hivyo hawezi kuibadilisha nchi kwa utawala huu na viongozi hawa hawa

Umenena Mkuu i was thinking the same
.
 
Back
Top Bottom