Kinjekitile junior
JF-Expert Member
- Apr 20, 2015
- 4,404
- 581
Sidhani kama mimi ndiye niliyoleta hoja...inasikitisha kuona mtu anayetumia Smartphone kutokuelewa mleta hoja na mchangiaji.kutumia smartphone naona kama ni kigezo kimoja cha kuelewa
Wewe naona umechanganyikiwa na MB 8 zinakaribia kuisha teh teh Smart phone unatumia mwenyewe message sent naona kakuchanganya, hayo ndo madhara ya kushadadia mada usiyoijua!!