Je, Rais alishauriwa au kuuliza watangulizi wake nia yakuchunguza mienendo ya vyombo vya usalama?

Je, Rais alishauriwa au kuuliza watangulizi wake nia yakuchunguza mienendo ya vyombo vya usalama?

Hio nchi ni Egypt na rais Mohammed Morsi ndie alie ondolewa na mkuu wa jeshi. Yale yalitokea kwasababu Ulaya walitaka itokee vile. Kama Libya na Gaddafi ulaya wametaka aondoke kaondoshwa.

Nitakupa mfano wangu nilikuwa na mbwa kila usiku namtoa nje kwa ulinzi aliwapa tabu sana wapita njia wengi walilalamika juu ya mbwa wangu kuwang'ata.

Nawasikiliza wakiondoka nabaki kucheka walolalamika ni wengi sikujali kwasababu mbwa alikuwa akinilinda pamoja na mali na familia yangu.

Kuna siku sijui ilikuwaje yule mbwa aling'ata mwanangu. Huo ndio ulikuwa mwisho wa maisha yake huyu mbwa, kwasababu safari hii kaumiza familia yangu.

Huo ujumbe wa mbwa usome sana na uzingatie maana yake.
Mkuu

Kwa hiyo Mbwa kamuuma mkwe wake alipokuwa wizara ya utumishi Hadi akaamua kuuunda wizara mpya Ili kum accomodate mkwe wake!!?


TUIMBE HIVI;-

"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"!!
 
Hio nchi ni Egypt na rais Mohammed Morsi ndie alie ondolewa na mkuu wa jeshi. Yale yalitokea kwasababu Ulaya walitaka itokee vile. Kama Libya na Gaddafi ulaya wametaka aondoke kaondoshwa.

Nitakupa mfano wangu nilikuwa na mbwa kila usiku namtoa nje kwa ulinzi aliwapa tabu sana wapita njia wengi walilalamika juu ya mbwa wangu kuwang'ata.

Nawasikiliza wakiondoka nabaki kucheka walolalamika ni wengi sikujali kwasababu mbwa alikuwa akinilinda pamoja na mali na familia yangu.

Kuna siku sijui ilikuwaje yule mbwa aling'ata mwanangu. Huo ndio ulikuwa mwisho wa maisha yake huyu mbwa, kwasababu safari hii kaumiza familia yangu.

Huo ujumbe wa mbwa usome sana na uzingatie maana yake.
Umejbu vzr san mkuu kongole
 
Tafakari mfano wa mbwa
Just continue giving absurd dog example while dodging to fulfill your promise of killing me for stealing your family vintage TV in 1988.

Am closely watching, trailing and following every movement you make.

It's my right to die by being killed by you. You made this promise here and you must fulfill it NOW and right away.
 
Hio nchi ni Egypt na rais Mohammed Morsi ndie alie ondolewa na mkuu wa jeshi. Yale yalitokea kwasababu Ulaya walitaka itokee vile. Kama Libya na Gaddafi ulaya wametaka aondoke kaondoshwa.

Nitakupa mfano wangu nilikuwa na mbwa kila usiku namtoa nje kwa ulinzi aliwapa tabu sana wapita njia wengi walilalamika juu ya mbwa wangu kuwang'ata.

Nawasikiliza wakiondoka nabaki kucheka walolalamika ni wengi sikujali kwasababu mbwa alikuwa akinilinda pamoja na mali na familia yangu.

Kuna siku sijui ilikuwaje yule mbwa aling'ata mwanangu. Huo ndio ulikuwa mwisho wa maisha yake huyu mbwa, kwasababu safari hii kaumiza familia yangu.

Huo ujumbe wa mbwa usome sana na uzingatie maana yake.
Sikutaja taifa so baki na unacho amini.
 
Samahani kwa wale huenda mtaendeshwa na hisia za kichama na ushabiki pasipo kuwa na uwelewa wa miundo ya vyombo vya ulinzi na mienendo yake.

Kwanza nianze kwa kusema vyombo vya ulinzi na usalama ndio dola na dola ndio nguvu ya walio shika serikali.
Kwa uzowefu wangu na uwelewa wangu na hata mabandiko ya siri na viapo vya siri ktk dola hakuna mtu yupo tayari kutoa siri ndani ya dola maana anajuwa kitakacho mpata.

Katika muundo wa usalama kila mtu ana dot line yakutoa taarifa ndani ya hiyo dot line hakuna anaye mwingilia mwingine isipo kuwa ktk kila dot line kuna dot ya kwenda usalama wa Taifa. Haya majitu ya usalama wa taifa.. Kwa usiri mkubwa sana huchakata taarifa zote ktk idara nyeti zote kwa masilahi mapana ya Taifa pasipo kujali cheo au nafasi ya mtu ktk ngazi yeyote ile ya Taifa. Kwa wale wajuvi wa mambo ndani ya idara zote hakuna alie salama. Yes hakuna alie salama. Mdomo wako waweza kuwa kaburi lako ndio maana haya maidara yanatisha sana.

Katika Taifa moja Afrika pali ibuka chama chenye siasa kali za mrengo wa dini fulani chama kile kilitikisa taifa na taifa lile likatikisika Rais aliekuwa madarakani wakati ule akajiuzulu Taifa likaenda kwenye uchaguzi na kile chama kikashika dola. Pasipo kujuwa Rais wa taifa lile akamteuwa mkuu wamajeshi alie amini angemtii na kumsikiliza na kwakuwa chama kile kilishika hatam kwa ridhaa ya wananchi Rais akajuwa hakuna chakumtikisa.

Idara za usalama wa Taifa lile zikapenyezewa full taarifa ya mahusiano ya chama kile nataifa moja huko mashariki ya kati hapo ndipo mwenye dola alibadilishwa kuwa mdoli. Shirika la ujasusi lilipewa mpaka mpango mkakati wa Taifa lile kupitisha sheria kuwa taifa la dini fulani ili jambo hilo kuwa kweli basi muda haukupita Rais yule akataka badili katiba nakuweka vifungu idara walipewa. Amin usiamini Mkuu wa majeshi ambaye alichaguliwa na Yeye mwenyewe ndie alimfurusha madarakani na kumuweka kizuwizini mpaka umauti na haikuishia hapo chama kile kikawa black listed.

Nini tunajifunza katika hili ni muundo wa dola au idara za usalama mimi nadhani huwezi kuchunguza muundo ww dola lako ktk jukwaa au kwa kuteuwa watu wawili au mmoja why? Kumbuka mtutu yeyote anaye juwa muundo wa usalama anakuwa na hitaji la ulinzi wa ziada maisha yote why?

Pamoja na katobu mkuu wa Rais kuwa mmoja wao ila hata yeye haujuwi muundo yes haujuwi. Pamoja jaji mkuu anakalia kiti kama jaji mkuu bado haujuwi muundo na kama unabisha kamfufuwe Nyerere aje awasimulie.

Nini chaweza kutokea uwenda ile kamati tusiisikie popote tena na ile panguwa panguwa ikawa historia. Why mimi sina majibu kawaulizeni idara.

Kiufupi mbele ya dola hakuna alie salama ndio maana Rais wataifa lolote ni mfungwa mwenye mamlaka. Ndio maana hayupo na uhuru ule unauwona. Nakama unataka kuamini basi nenda kaulize why saa kumi nambili bendera inashushwa na bendera ya JWTZ inakuwa inapepea.

Ukweli nikwamba kuna vyombo havilali wakati jamuhuri imelala.

Je wajuwa nguvu ya Rais ni dola na dola yeye ndio command on chief. Je anaunda tume kuchunguza siri za nyumba yake while angeweza fanya kimya kimya kwa kutumia idara za siri? End
Ktk Taifa lolote linapondokewa na Mkuu wa Nchi ghafula, mtikisiko Huwa mkubwa sana.

Tushukuru Mungu mtikisiko huu utamalizwa na KATIBA mpya iliyoasisiwa na judge Warioba.

KATIBA mpya haikwepeki, GIZA na ukungu ni mzito sana Kwa raia kuona MBELE.

Asante Uncle Magu Kwa SACRIFICE. Ameeeeen
 
Just continue giving absurd dog example while dodging to fulfill your promise of killing me for stealing your family vintage TV in 1988.

Am closely watching, trailing and following every movement you make.

It's my right to die by being killed by you. You made this promise here and you must fulfill it NOW and right away.
Come to my inbox for arrangements
 
Samahani kwa wale huenda mtaendeshwa na hisia za kichama na ushabiki pasipo kuwa na uwelewa wa miundo ya vyombo vya ulinzi na mienendo yake.

Kwanza nianze kwa kusema vyombo vya ulinzi na usalama ndio dola na dola ndio nguvu ya walio shika serikali.
Kwa uzowefu wangu na uwelewa wangu na hata mabandiko ya siri na viapo vya siri ktk dola hakuna mtu yupo tayari kutoa siri ndani ya dola maana anajuwa kitakacho mpata.

Katika muundo wa usalama kila mtu ana dot line yakutoa taarifa ndani ya hiyo dot line hakuna anaye mwingilia mwingine isipo kuwa ktk kila dot line kuna dot ya kwenda usalama wa Taifa. Haya majitu ya usalama wa taifa.. Kwa usiri mkubwa sana huchakata taarifa zote ktk idara nyeti zote kwa masilahi mapana ya Taifa pasipo kujali cheo au nafasi ya mtu ktk ngazi yeyote ile ya Taifa. Kwa wale wajuvi wa mambo ndani ya idara zote hakuna alie salama. Yes hakuna alie salama. Mdomo wako waweza kuwa kaburi lako ndio maana haya maidara yanatisha sana.

Katika Taifa moja Afrika pali ibuka chama chenye siasa kali za mrengo wa dini fulani chama kile kilitikisa taifa na taifa lile likatikisika Rais aliekuwa madarakani wakati ule akajiuzulu Taifa likaenda kwenye uchaguzi na kile chama kikashika dola. Pasipo kujuwa Rais wa taifa lile akamteuwa mkuu wamajeshi alie amini angemtii na kumsikiliza na kwakuwa chama kile kilishika hatam kwa ridhaa ya wananchi Rais akajuwa hakuna chakumtikisa.

Idara za usalama wa Taifa lile zikapenyezewa full taarifa ya mahusiano ya chama kile nataifa moja huko mashariki ya kati hapo ndipo mwenye dola alibadilishwa kuwa mdoli. Shirika la ujasusi lilipewa mpaka mpango mkakati wa Taifa lile kupitisha sheria kuwa taifa la dini fulani ili jambo hilo kuwa kweli basi muda haukupita Rais yule akataka badili katiba nakuweka vifungu idara walipewa. Amin usiamini Mkuu wa majeshi ambaye alichaguliwa na Yeye mwenyewe ndie alimfurusha madarakani na kumuweka kizuwizini mpaka umauti na haikuishia hapo chama kile kikawa black listed.

Nini tunajifunza katika hili ni muundo wa dola au idara za usalama mimi nadhani huwezi kuchunguza muundo ww dola lako ktk jukwaa au kwa kuteuwa watu wawili au mmoja why? Kumbuka mtutu yeyote anaye juwa muundo wa usalama anakuwa na hitaji la ulinzi wa ziada maisha yote why?

Pamoja na katobu mkuu wa Rais kuwa mmoja wao ila hata yeye haujuwi muundo yes haujuwi. Pamoja jaji mkuu anakalia kiti kama jaji mkuu bado haujuwi muundo na kama unabisha kamfufuwe Nyerere aje awasimulie.

Nini chaweza kutokea uwenda ile kamati tusiisikie popote tena na ile panguwa panguwa ikawa historia. Why mimi sina majibu kawaulizeni idara.

Kiufupi mbele ya dola hakuna alie salama ndio maana Rais wataifa lolote ni mfungwa mwenye mamlaka. Ndio maana hayupo na uhuru ule unauwona. Nakama unataka kuamini basi nenda kaulize why saa kumi nambili bendera inashushwa na bendera ya JWTZ inakuwa inapepea.

Ukweli nikwamba kuna vyombo havilali wakati jamuhuri imelala.

Je wajuwa nguvu ya Rais ni dola na dola yeye ndio command on chief. Je anaunda tume kuchunguza siri za nyumba yake while angeweza fanya kimya kimya kwa kutumia idara za siri? End
Mzee wa kupinga na mikwara mbuzi!

we tangu lini umemtambua Samia kama Ni Rais?
 
Samahani kwa wale huenda mtaendeshwa na hisia za kichama na ushabiki pasipo kuwa na uwelewa wa miundo ya vyombo vya ulinzi na mienendo yake.

Kwanza nianze kwa kusema vyombo vya ulinzi na usalama ndio dola na dola ndio nguvu ya walio shika serikali.
Kwa uzowefu wangu na uwelewa wangu na hata mabandiko ya siri na viapo vya siri ktk dola hakuna mtu yupo tayari kutoa siri ndani ya dola maana anajuwa kitakacho mpata.

Katika muundo wa usalama kila mtu ana dot line yakutoa taarifa ndani ya hiyo dot line hakuna anaye mwingilia mwingine isipo kuwa ktk kila dot line kuna dot ya kwenda usalama wa Taifa. Haya majitu ya usalama wa taifa.. Kwa usiri mkubwa sana huchakata taarifa zote ktk idara nyeti zote kwa masilahi mapana ya Taifa pasipo kujali cheo au nafasi ya mtu ktk ngazi yeyote ile ya Taifa. Kwa wale wajuvi wa mambo ndani ya idara zote hakuna alie salama. Yes hakuna alie salama. Mdomo wako waweza kuwa kaburi lako ndio maana haya maidara yanatisha sana.

Katika Taifa moja Afrika pali ibuka chama chenye siasa kali za mrengo wa dini fulani chama kile kilitikisa taifa na taifa lile likatikisika Rais aliekuwa madarakani wakati ule akajiuzulu Taifa likaenda kwenye uchaguzi na kile chama kikashika dola. Pasipo kujuwa Rais wa taifa lile akamteuwa mkuu wamajeshi alie amini angemtii na kumsikiliza na kwakuwa chama kile kilishika hatam kwa ridhaa ya wananchi Rais akajuwa hakuna chakumtikisa.

Idara za usalama wa Taifa lile zikapenyezewa full taarifa ya mahusiano ya chama kile nataifa moja huko mashariki ya kati hapo ndipo mwenye dola alibadilishwa kuwa mdoli. Shirika la ujasusi lilipewa mpaka mpango mkakati wa Taifa lile kupitisha sheria kuwa taifa la dini fulani ili jambo hilo kuwa kweli basi muda haukupita Rais yule akataka badili katiba nakuweka vifungu idara walipewa. Amin usiamini Mkuu wa majeshi ambaye alichaguliwa na Yeye mwenyewe ndie alimfurusha madarakani na kumuweka kizuwizini mpaka umauti na haikuishia hapo chama kile kikawa black listed.

Nini tunajifunza katika hili ni muundo wa dola au idara za usalama mimi nadhani huwezi kuchunguza muundo ww dola lako ktk jukwaa au kwa kuteuwa watu wawili au mmoja why? Kumbuka mtutu yeyote anaye juwa muundo wa usalama anakuwa na hitaji la ulinzi wa ziada maisha yote why?

Pamoja na katobu mkuu wa Rais kuwa mmoja wao ila hata yeye haujuwi muundo yes haujuwi. Pamoja jaji mkuu anakalia kiti kama jaji mkuu bado haujuwi muundo na kama unabisha kamfufuwe Nyerere aje awasimulie.

Nini chaweza kutokea uwenda ile kamati tusiisikie popote tena na ile panguwa panguwa ikawa historia. Why mimi sina majibu kawaulizeni idara.

Kiufupi mbele ya dola hakuna alie salama ndio maana Rais wataifa lolote ni mfungwa mwenye mamlaka. Ndio maana hayupo na uhuru ule unauwona. Nakama unataka kuamini basi nenda kaulize why saa kumi nambili bendera inashushwa na bendera ya JWTZ inakuwa inapepea.

Ukweli nikwamba kuna vyombo havilali wakati jamuhuri imelala.

Je wajuwa nguvu ya Rais ni dola na dola yeye ndio command on chief. Je anaunda tume kuchunguza siri za nyumba yake while angeweza fanya kimya kimya kwa kutumia idara za siri? End

Kutawala ni art ya kucheza na akili za watawaliwa. Kwasababu hii, watawala wanaweza kufanya mabadiliko ambayo in reality yana zero impact, lakini psychologically yanapunguza tension kati ya watawala na watawaliwa. Wanafanya hivyo kwa kuwatoa kafara baadhi ya wateule wao. Yapo mambo mengi ya ovyo ambayo hufanywa na Serikali kwa baraka zote za mkuu wa nchi na cabinet yake nzima, lakini ili yeye aendelee na term yake smoothly analazimika kumtoa kafara mtu/watu fulani ambaye/ambao watawaliwa, kwa ujinga wao, watakuwa wanadhani ndiye/ndio chimbuko la hayo mambo ya ovyo.

Mtawala usipokuwa mnafiki sijui kama utaimaliza term ya miaka mitano salama. Lazima ujue kucheza na akili ya watawaliwa!
 
Huyu Mama kachoka kutawala nchi, anawachunguza wazee wa Deep state!

Jiwe mwenyewe kwenye kampeni ya vyeti fake huko hakugusa. Asubiri aone, atajua hajui!!
Jiwe hata police hakugusa kwenye vyeti feki
 
Samahani kwa wale huenda mtaendeshwa na hisia za kichama na ushabiki pasipo kuwa na uwelewa wa miundo ya vyombo vya ulinzi na mienendo yake.

Kwanza nianze kwa kusema vyombo vya ulinzi na usalama ndio dola na dola ndio nguvu ya walio shika serikali.
Kwa uzowefu wangu na uwelewa wangu na hata mabandiko ya siri na viapo vya siri ktk dola hakuna mtu yupo tayari kutoa siri ndani ya dola maana anajuwa kitakacho mpata.

Katika muundo wa usalama kila mtu ana dot line yakutoa taarifa ndani ya hiyo dot line hakuna anaye mwingilia mwingine isipo kuwa ktk kila dot line kuna dot ya kwenda usalama wa Taifa. Haya majitu ya usalama wa taifa.. Kwa usiri mkubwa sana huchakata taarifa zote ktk idara nyeti zote kwa masilahi mapana ya Taifa pasipo kujali cheo au nafasi ya mtu ktk ngazi yeyote ile ya Taifa. Kwa wale wajuvi wa mambo ndani ya idara zote hakuna alie salama. Yes hakuna alie salama. Mdomo wako waweza kuwa kaburi lako ndio maana haya maidara yanatisha sana.

Katika Taifa moja Afrika pali ibuka chama chenye siasa kali za mrengo wa dini fulani chama kile kilitikisa taifa na taifa lile likatikisika Rais aliekuwa madarakani wakati ule akajiuzulu Taifa likaenda kwenye uchaguzi na kile chama kikashika dola. Pasipo kujuwa Rais wa taifa lile akamteuwa mkuu wamajeshi alie amini angemtii na kumsikiliza na kwakuwa chama kile kilishika hatam kwa ridhaa ya wananchi Rais akajuwa hakuna chakumtikisa.

Idara za usalama wa Taifa lile zikapenyezewa full taarifa ya mahusiano ya chama kile nataifa moja huko mashariki ya kati hapo ndipo mwenye dola alibadilishwa kuwa mdoli. Shirika la ujasusi lilipewa mpaka mpango mkakati wa Taifa lile kupitisha sheria kuwa taifa la dini fulani ili jambo hilo kuwa kweli basi muda haukupita Rais yule akataka badili katiba nakuweka vifungu idara walipewa. Amin usiamini Mkuu wa majeshi ambaye alichaguliwa na Yeye mwenyewe ndie alimfurusha madarakani na kumuweka kizuwizini mpaka umauti na haikuishia hapo chama kile kikawa black listed.

Nini tunajifunza katika hili ni muundo wa dola au idara za usalama mimi nadhani huwezi kuchunguza muundo ww dola lako ktk jukwaa au kwa kuteuwa watu wawili au mmoja why? Kumbuka mtutu yeyote anaye juwa muundo wa usalama anakuwa na hitaji la ulinzi wa ziada maisha yote why?

Pamoja na katobu mkuu wa Rais kuwa mmoja wao ila hata yeye haujuwi muundo yes haujuwi. Pamoja jaji mkuu anakalia kiti kama jaji mkuu bado haujuwi muundo na kama unabisha kamfufuwe Nyerere aje awasimulie.

Nini chaweza kutokea uwenda ile kamati tusiisikie popote tena na ile panguwa panguwa ikawa historia. Why mimi sina majibu kawaulizeni idara.

Kiufupi mbele ya dola hakuna alie salama ndio maana Rais wataifa lolote ni mfungwa mwenye mamlaka. Ndio maana hayupo na uhuru ule unauwona. Nakama unataka kuamini basi nenda kaulize why saa kumi nambili bendera inashushwa na bendera ya JWTZ inakuwa inapepea.

Ukweli nikwamba kuna vyombo havilali wakati jamuhuri imelala.

Je wajuwa nguvu ya Rais ni dola na dola yeye ndio command on chief. Je anaunda tume kuchunguza siri za nyumba yake while angeweza fanya kimya kimya kwa kutumia idara za siri? End
Binafsi nina hofu samia ni pandikizi la nchi za magharibi ili kufuta mlengo wa kijamaa wa sera za tanzania. Asili ya vyombo vya ulinzi vya tanzania ni vya kimapinduzi kulinda dola yenye kutetea maslahi ya umma. Hilo linawakera mabeberu na vibaraka wao ndani ya nchi. Vibaraka walio kwenye vyama vya upinzani wanaagizwa kuvunja mzizi wa chama cha mapinduzi kwenye vyombo vya ulinzi.
 
Samahani kwa wale huenda mtaendeshwa na hisia za kichama na ushabiki pasipo kuwa na uwelewa wa miundo ya vyombo vya ulinzi na mienendo yake.

Kwanza nianze kwa kusema vyombo vya ulinzi na usalama ndio dola na dola ndio nguvu ya walio shika serikali.
Kwa uzowefu wangu na uwelewa wangu na hata mabandiko ya siri na viapo vya siri ktk dola hakuna mtu yupo tayari kutoa siri ndani ya dola maana anajuwa kitakacho mpata.

Katika muundo wa usalama kila mtu ana dot line yakutoa taarifa ndani ya hiyo dot line hakuna anaye mwingilia mwingine isipo kuwa ktk kila dot line kuna dot ya kwenda usalama wa Taifa. Haya majitu ya usalama wa taifa.. Kwa usiri mkubwa sana huchakata taarifa zote ktk idara nyeti zote kwa masilahi mapana ya Taifa pasipo kujali cheo au nafasi ya mtu ktk ngazi yeyote ile ya Taifa. Kwa wale wajuvi wa mambo ndani ya idara zote hakuna alie salama. Yes hakuna alie salama. Mdomo wako waweza kuwa kaburi lako ndio maana haya maidara yanatisha sana.

Katika Taifa moja Afrika pali ibuka chama chenye siasa kali za mrengo wa dini fulani chama kile kilitikisa taifa na taifa lile likatikisika Rais aliekuwa madarakani wakati ule akajiuzulu Taifa likaenda kwenye uchaguzi na kile chama kikashika dola. Pasipo kujuwa Rais wa taifa lile akamteuwa mkuu wamajeshi alie amini angemtii na kumsikiliza na kwakuwa chama kile kilishika hatam kwa ridhaa ya wananchi Rais akajuwa hakuna chakumtikisa.

Idara za usalama wa Taifa lile zikapenyezewa full taarifa ya mahusiano ya chama kile nataifa moja huko mashariki ya kati hapo ndipo mwenye dola alibadilishwa kuwa mdoli. Shirika la ujasusi lilipewa mpaka mpango mkakati wa Taifa lile kupitisha sheria kuwa taifa la dini fulani ili jambo hilo kuwa kweli basi muda haukupita Rais yule akataka badili katiba nakuweka vifungu idara walipewa. Amin usiamini Mkuu wa majeshi ambaye alichaguliwa na Yeye mwenyewe ndie alimfurusha madarakani na kumuweka kizuwizini mpaka umauti na haikuishia hapo chama kile kikawa black listed.

Nini tunajifunza katika hili ni muundo wa dola au idara za usalama mimi nadhani huwezi kuchunguza muundo ww dola lako ktk jukwaa au kwa kuteuwa watu wawili au mmoja why? Kumbuka mtutu yeyote anaye juwa muundo wa usalama anakuwa na hitaji la ulinzi wa ziada maisha yote why?

Pamoja na katobu mkuu wa Rais kuwa mmoja wao ila hata yeye haujuwi muundo yes haujuwi. Pamoja jaji mkuu anakalia kiti kama jaji mkuu bado haujuwi muundo na kama unabisha kamfufuwe Nyerere aje awasimulie.

Nini chaweza kutokea uwenda ile kamati tusiisikie popote tena na ile panguwa panguwa ikawa historia. Why mimi sina majibu kawaulizeni idara.

Kiufupi mbele ya dola hakuna alie salama ndio maana Rais wataifa lolote ni mfungwa mwenye mamlaka. Ndio maana hayupo na uhuru ule unauwona. Nakama unataka kuamini basi nenda kaulize why saa kumi nambili bendera inashushwa na bendera ya JWTZ inakuwa inapepea.

Ukweli nikwamba kuna vyombo havilali wakati jamuhuri imelala.

Je wajuwa nguvu ya Rais ni dola na dola yeye ndio command on chief. Je anaunda tume kuchunguza siri za nyumba yake while angeweza fanya kimya kimya kwa kutumia idara za siri? End
Kuna vyombo havilali wakati Jamhuri imelala.

Mungu wabariki Wana USALAMA wetu.

Tanzania ni backbone ya Africa.

Ameeeen
 
Hio nchi ni Egypt na rais Mohammed Morsi ndie alie ondolewa na mkuu wa jeshi. Yale yalitokea kwasababu Ulaya walitaka itokee vile. Kama Libya na Gaddafi ulaya wametaka aondoke kaondoshwa.

Nitakupa mfano wangu nilikuwa na mbwa kila usiku namtoa nje kwa ulinzi aliwapa tabu sana wapita njia wengi walilalamika juu ya mbwa wangu kuwang'ata.

Nawasikiliza wakiondoka nabaki kucheka walolalamika ni wengi sikujali kwasababu mbwa alikuwa akinilinda pamoja na mali na familia yangu.

Kuna siku sijui ilikuwaje yule mbwa aling'ata mwanangu. Huo ndio ulikuwa mwisho wa maisha yake huyu mbwa, kwasababu safari hii kaumiza familia yangu.

Huo ujumbe wa mbwa usome sana na uzingatie maana yake.
Najua alipolenga ila anaona waarabu wote ni Middle East [emoji1]
 
Back
Top Bottom