Je rais kama mtumishi wa umma, hawezi kukopa kwa mshahara wake?

Je rais kama mtumishi wa umma, hawezi kukopa kwa mshahara wake?

Kunavitu ambavyo rais wa Jamhuri ya Muungano wa tanzania akishaapishwa hatakiwi kuwa navyo. Moja wapo ni madeni. Ikitokea amechaguliwa akiwa na madeni, serikali itamlipia madeni yote. Na hivyo haruhusiwi kukopa. Hata hivyo hana sababu ya kukopa kwa maanda anahudumiwa na serikali kila kitu. Hata kama akihitaji kondom, atanunua kwa pesa ya serikali.
'Ni kweli mkuu...hata Mwalimu alikula Sana fegi Kwa Hela za serikali" :Mwisho Wa kunukuu:
 
Akope dola million moja kununua nyumba Marekani!
Unakumbuka bilioni 306 za Tegeta Escrow. Mgao ulienda kwa Singasinga, Rugemalira na watatu ni Simba Trust. Mbona Simba Trust hajaguswa tens yeye muamala wake haukupitia benki magunia ya noti yalitoka moja kwa moja BOT
 
Rais kama mtumishi wa umma anayo haki ya kukopa kama watumishi wengine, lakini rais anakopa ili kufanya jambo gani ambalo hawezi kulifanya kwa marupurupu na mshahara alio nao?
 
RAIS NI TAASISI.

RAIS ANA FUNGU LAKE IKULU AMBALO HALIKAGULIWI. CAG Haruhusiwi kisheria kukagua limetumikaje.
Sasa why akakope ? Wakati fungu lipo la mabilioni

RAIS PIA HASHTAKIWI. hata akikuchoma kisu hadharani.. hakuna sheria inayoruhusu kumshtaki rais
 
Hahahaha
Sicheku kwa kubeza. Bali nawaza rais anakopaje wakati hela zote ni zake?

Si unasikia hata madelu anavyopiga chorus kuwa mama katoa hela ziende huku na kule?
Kuna wakati nyerere aliwahi kusema hata sigara anayovuta halipii hatoi hela yeye..

Hakuna kitu Rais atataka asipate, Pesa yoyote ile sasa Mkopo wa nini kwake?😅😅😅🤣🤣
 
Jibu ni NDIYO, lakini hana uhitaji huo (wa kukopa)
 
Kuna wakati nyerere aliwahi kusema hata sigara anayovuta halipii hatoi hela yeye..

Hakuna kitu Rais atataka asipate, Pesa yoyote ile sasa Mkopo wa nini kwake?😅😅😅🤣🤣
Aliyeuliza inawezekana ni mtu wake ama mkaribu yake....
wanataka kusikia raia wanasemaje
 
Akope dola million moja kununua nyumba Marekani!
Unakumbuka bilioni 306 za Tegeta Escrow. Mgao ulienda kwa Singasinga, Rugemalira na watatu ni Simba Trust. Mbona Simba Trust hajaguswa tena yeye muamala wake haukupitia benki magunia ya noti yalitoka moja kwa moja BOT. Hata Mimi Simba Trust simjui hadi Leo. Hahaa
 
Raisi ana posho nyingi na marupu rupu na anapewa Kila kitu.Yeye anaikopea nchi
 
Back
Top Bottom