Ofisi ile kuu isiyokaguliwa na Cag kwa mgongo wa kina Majizio.Swali nje ya Mada ,Tamasha lile aliligharamia nani na hakukua na kiingilio wala mdhamini
Hahahaha, hapo ndio namkumbuka Boss Ruge ilikua show zake hzOfisi ile kuu isiyokaguliwa na Cag kwa mgongo wa kina Majizio.
My 2 cents.
Hahah another Kingmaker ameshapatikana tayari'ma jeiii'.Hahahaha, hapo ndio namkumbuka Boss Ruge ilikua show zake hz
Hahahaha, dah kweli ,na jamaa wanakuja kasi ,nasikia tamasha linapelekwa chattle na kwinginekoHahah another Kingmaker ameshapatikana tayari'ma jeiii'.
Hahah hio sikua nimejua aisee,jamaa watapiga mpunga sio wa polepole aisee.Hahahaha, dah kweli ,na jamaa wanakuja kasi ,nasikia tamasha linapelekwa chattle na kwingineko
Hahahaha ,waislamu watapewa shavu lao Eid el Haji nadhaniHahah hio sikua nimejua aisee,jamaa watapiga mpunga sio wa polepole aisee.
Sasa ili kubalance mambo itabidi waandae na tamasha la ndg zetu waislam,ila sasa ili linoge sijui watakua wanapiga nyimbo gani(labda hua wana nyimbo zao mzee baba).
Hahah mwanangu una hesabu kali kinyama,naona polepole amesha screenshot ujumbe atau forward fasta kwny kamati husika ili wazo likatekelezwe.Hahahaha ,waislamu watapewa shavu lao Eid el Haji nadhani
kwanza wanapata ofa ya kwenda Mecca km itakuwepo safari ( baadhi ) then wanajazwa Kwa mkapa kuimba kaswida
Mambo mengi muda mchache , tutaunganisha na kampeni humo humo
Hahahaha, hao hatuna wasi wasi nao kwanza Msikiti bado hatujawakadhi pale HQ , uzuri sio wasumbufu awamu hiiHahah mwanangu una hesabu kali kinyama,naona polepole amesha screenshot ujumbe atau forward fasta kwny kamati husika ili wazo likatekelezwe.
Hahah aisee kumbukumbu unazo mzee baba, ile Mambo ya msikiti nilikua nimesahau kabisa,lazima mkuu mwenyewe aje kuuzindua.Hahahaha, hao hatuna wasi wasi nao kwanza Msikiti bado hatujawakadhi pale HQ , uzuri sio wasumbufu awamu hii