Je, Rais Magufuli amevunja Katiba kwa kumteua Jaji Zepherine Nyalugenda Galeba kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufaa?

Je, Rais Magufuli amevunja Katiba kwa kumteua Jaji Zepherine Nyalugenda Galeba kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufaa?

Kwani mteule ana uzoefu wa miaka mingapi kwa muktadha wa siafa zinazotakiwa?
Mkuu kwakuwa alikuwa Jaji wa Mahakama kuu ni wazi kwa hali ya kawaida alikuwa na uzoefu usiopungua miaka 10 ndiyo maana aliteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama kuu. Na sifa ya kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufaa lazima uwe na sifa za kuteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama kuu na kwa mda usiopungua miaka 15. Ukitaka kuelewa vizuri isome Ibara ya 109 yote pamoja na 118 yote. Umipewa vinusu nusu Kama alivyofanya Mwamba unachemka. Katiba haisomwi hivyo.
 
Mkuu kwakuwa alikuwa Jaji wa Mahakama kuu ni wazi kwa hali ya kawaida alikuwa na uzoefu usiopungua miaka 10 ndiyo maana aliteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama kuu. Na sifa ya kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufaa lazima uwe na sifa za kuteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama kuu na kwa mda usiopungua miaka 15. Ukitaka kuelewa vizuri isome Ibara ya 109 yote pamoja na 118 yote. Umipewa vinusu nusu Kama alivyofanya Mwamba unachemka. Katiba haisomwi hivyo.
Kama wana clear issue ya uzoefu, hakuna issue hapo.

Kwa sababu, issue ya ku consult CJ, hata kama Rais haja m consult CJ, sifikiri kwamba CJ anaweza kum contradict rais kwa issue kama hii.

Huyu Magufuli alishawahi kuwaapisha watu u Waziri, kabla hawajaapishwa Ubunge, kundi lililoapishwa uwaziri na marehemu Dr. Mahiga.

Kitu ambacho ni violation, kwa sababu Waziri anatakiwa awe mbunge. Na mtu hapati kuwa mbunge mpaka aapishwe ubunge.

Halafu, if I am not mistaken, alianza kuteua mawaziri kabla ya kuteua PM, watu wakahoji, ame consult na PM gani wakati PM hajateuliwa?

Magufuli hajali haya mambo ya legal detail.

Na hakuna yeyote aliyefanya lolote kumdhibiti.
 
Uzoefu wa miaka 15 na akiwa na sifa zinazoanishwa katika Ibara ya 109. Siyo uzoefu wa miaka 15 akiwa Judge wa Mahakama Kuu. Eleweni Hilo. Na hapa ndipo huyu mwamba mleta uzi anapotosha. Alipaswa alete Ibara zote zinazoanishwa sifa za kuteuliwa Jaji wa Mahakama Kuu na wa Mahakama ya Rufaa ili zisomwe pamoja, Ila yeye kanyofoa kakipande kitu ambacho si sahihi linapokuja swala la kutafsiri Katiba

Good point.
 
Mkuu, kiutaratibu appointment inakamilika pale mhusika anakapokabidhiwa barua ya uteuzi na kusaini kukubali uteuzi huo. So, kwa kuwa process hiyo haijakamilika maana yake hakuna uteuzi uliofanyika na, kwa maana hiyo, Rais hajavunja Katiba.

Atashauriana na wahusika hapo baadaye kama Katiba inavyotaka na mhusika kuteuliwa rasmi kwa barua kukamilisha process. Ni mtazamo wangu tu lakini.
Consultation inatakiwa ifanyike baada au kabla ya uteuzi?
 
Ile kutamka tu, watatekeleza na amesema kuanzia sasa
Rais J P Magufuli hii kitu ameshajadiliana kitambo na Jaji Mkuu kuhusu huyu Jaji
Tangu lini Raisi akafuatilia Hukumu za Majaji wote?
Hii kitu ameikuta mezani, kuwa kuna Jaji kafanya uzalendo kutumia Hukumu kwa Kiswahili
Haya yule Silayo Askari Magereza mtaalam wa Misitu aliyetunukiwa Msitu utumie jina lake napo utasemaje?
 
Mkuu, kiutaratibu appointment inakamilika pale mhusika anakapokabidhiwa barua ya uteuzi na kusaini kukubali uteuzi huo. So, kwa kuwa process hiyo haijakamilika maana yake hakuna uteuzi uliofanyika na, kwa maana hiyo, Rais hajavunja Katiba.

Atashauriana na wahusika hapo baadaye kama Katiba inavyotaka na mhusika kuteuliwa rasmi kwa barua kukamilisha process. Ni mtazamo wangu tu lakini.
Mxieeew, Ona akili yako ilivyo mbovu
 
The other Justices of Appeal shall be appointed by the President after consultation with the Chief Justice, from amongst persons who qualify to be appointed Judges of the High Court of the United Republic as provided for in Article 109 of this Constitution, or from amongst persons who qualify to be appointed Judges of the High Court of Zanzibar in accordance with the laws applicable in Zanzibar and have possessed such qualifications for a period of not less than fifteen years.

1. Consultation haikufanyika
2. 15 yrs hajatimiza


---
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akimuapish Bw. Zepherine Nyalugenda Galeba Kuwa Jaji wa Mahakama ya Kuu . Hafla iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es salaam. Januari 29,2019



Kila kitu kimeandikwa humu, just read!
Mkuu kigezo cha miaka 15 kinaangaliwa Tangu aanze kufanya kazi ya Uhakimu, hivyo kwa kuwa alikuwa Jaji wa Mahakama kuu anakuwa anayo sifa ya moja kwa moja ya kuteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufaani na kiapo chake sio bati.

Kasome vizuri katiba na uieleww
 
The other Justices of Appeal shall be appointed by the President after consultation with the Chief Justice, from amongst persons who qualify to be appointed Judges of the High Court of the United Republic as provided for in Article 109 of this Constitution, or from amongst persons who qualify to be appointed Judges of the High Court of Zanzibar in accordance with the laws applicable in Zanzibar and have possessed such qualifications for a period of not less than fifteen years.

1. Consultation haikufanyika
2. 15 yrs hajatimiza


---
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akimuapish Bw. Zepherine Nyalugenda Galeba Kuwa Jaji wa Mahakama ya Kuu . Hafla iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es salaam. Januari 29,2019



Kila kitu kimeandikwa humu, just read!
Tanzania imepata mkosi mkubwa sana !
 
Miaka 15 ni kwa wote, si Zanzibar tu.

It will be absurd na discrimination kutaka uzoefu wa miaka 15 kutoka Zanzibar halafu kutotaka hilo kutoka bara.

Strength ya hii hoja kuhusu kigezo cha miaka 15 iko wapi, mkuu?

Kuna watu walipata sifa za kuteuliwa kuwa judge wa High Court of Tanzania zaidi ya 15 years ago, lakini mpaka leo pengine ni mahakimu wakazi wafawidhi wa mahakama za hakimu mkazi au mawakili waandamizi wa kujitegemea. Mtu wa aina hiyo leo akiteuliwa kuwa judge wa Court of Appeal of Tanzania tutasema hana sifa zinazotakiwa na Katiba?
 
Strength ya hii hoja kuhusu kigezo cha miaka 15 iko wapi, mkuu?

Kuna watu walipata sifa za kuteuliwa kuwa judge wa High Court of Tanzania zaidi ya 15 years ago, lakini mpaka leo pengine ni mahakimu wakazi wafawidhi wa mahakama za hakimu mkazi au mawakili waandamizi wa kujitegemea. Mtu wa aina hiyo leo akiteuliwa kuwa judge wa Court of Appeal of Tanzania tutasema hana sifa zinazotakiwa na Katiba?
Please look at my post number 66.

Nilishapitia hiyo point katika mjadala na kajekudya.
 
Mkuu kigezo cha miaka 15 kinaangaliwa Tangu aanze kufanya kazi ya Uhakimu, hivyo kwa kuwa alikuwa Jaji wa Mahakama kuu anakuwa anayo sifa ya moja kwa moja ya kuteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufaani na kiapo chake sio bati.

Kasome vizuri katiba na uieleww
Never, tusibishane, tafuta Prof Abdllah Safari akupe sheria inasemaje
 
Rais J P Magufuli hii kitu ameshajadiliana kitambo na Jaji Mkuu kuhusu huyu Jaji
Tangu lini Raisi akafuatilia Hukumu za Majaji wote?
Hii kitu ameikuta mezani, kuwa kuna Jaji kafanya uzalendo kutumia Hukumu kwa Kiswahili
Haya yule Silayo Askari Magereza mtaalam wa Misitu aliyetunukiwa Msitu utumie jina lake napo utasemaje?
Ignore
 
Back
Top Bottom