Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akishajenga maisha nje ya taasisi na sheria ajue sote (hata yeye) hatakuwa salama tena.Ukishaona kiongozi anahubiri uzalendo na anahakikisha watu wote wanaamini uzalendo ni matendo yake, na hapo hapo hataki katiba yenye maoni ya watu, tena anaongea hivyo hadharani, hapo ujue kuna balaa kubwa. Matokeo yake hataki katiba mpya, lakini anahakikisha utashi wake ndio unageuzwa kuwa sheria na watu wako kimya, katika mazingira hayo ujue siku wananchi watataka kutoka kwenye hizo sheria basi damu lazima imwagike.
Shida ni kwamba uwezo wake ni mdogo, hata ile global politics haielewi kabisa. Ogopa mungu-mtu asiye na maarifa, ni uharibifu tuKaZijua akili za waTz kuwa hawawezi lolote ndio maana anafanya yale ayaonayo na bunge letu si la kuhoji hasa kwa wengi hivyo tutarajie mengi zaidi
Huko mbele hii kazi ni ngumu na ya kuchosha. Labda tugeuze kibao 2020.Wabunge ndio wawakilishi wetu wakishaamua kunengua na kuitikia kila wimbo "ndiyooo...." huku wanaopinga upuuzi wakiitwa wasaliti na kufukuzwa bungeni...
Kazi tunayo...
"Ogopa sana mtu mroho ambae ni mchoyo pia". CCM ni waroho, wachoyo na wakatili.Serikali ya Ccm ni Ovu, dhaifu na ya hovyo kuwahi kutokea toka tupate uhuru?
"Mith 28:1 "Waovu hukimbia ingawa hakuna yeyote anayewakimbiza, lakini waadilifu wana ujasiri kama simba"
Serikali ya Ccm chini ya Magufuli
1.Imeshindwa kuwawezesha wakulima kupata pembejeo kwa bei nafuu na kuwapatia masoko ya uhakika wa mazao yao.
2.Wafanyabiashara wamebanwa na kodi za kubambikiziwa
3.Hakuna ajira mpya
4.Wafanyakazi wamebanwa hakuna nyongeza ya mshahara
5. Vyama vya siasa vimebanwa kufanya siasa
6. Watu wanatekwa na kuuawa hakuna mtu aliyekamatwa walakushutumiwa
7. Manunuzi yote yanafanywa na raisi mwenyewe
8 Serikali imejitoa OPEC
9. Miswaada zaidi ya kumi imepelekwa Bungeni ndani ya kipindi cha miaka mitatu tu miswaada hiyo imelenga:
1 Kubana uhuru wa kutoa maoni
2 Kutisha watu
3 Kuzuia Vyama vya upinzani kufanya siasa
4 Kuzuia uwazi katika uendeshaji wa serikali
Narudia tena kuuliza swali je serikali ya Ccm chini ya Magufuli ni Ovu, dhaifu na ya hovyo kuwahi kutokea?
Kama tutaamka..Yana mwisho
mpumbavu wewe. kwann anateua watu wengine sasa? ivi nyie mlisoma shule gani huko mlikofundishwa ujinga?Jeshi la mtu mmoja. Hata uchaguzi mkuu tulichagua mtu JPM, sio mfumo.
Aisee kwa hiyo ndio maana anajitapa kwamba fomu alichukua mwenyewe....!!!Wenye 'macho' tulishaliona hili tangu kipindi Cha uchaguzi maana watu waliambiwa wamchague huyu jamaa na sio chama kama ilivyo desturi yao miaka nenda rudi...
Hofu ya viti walivyovikalia...Watawala wetu wanapambana kufa kufa na kupona kuhodhi madaraka ya kisiasa. Pamoja na vyama vya siasa hofu yao nyingine ni asasi za kiraia. Marekebisho ya sheria mbalimbali kwa hati ya dharura yanakusudiwa kupunguza mchango wa asasi za kiraia katika mchakato wa chaguzi zijazo. Siyo siri kwambà asasi za kitaifa zipo karibu na jamii na zina ushawishi mkubwa. Watawala wetu wanahofu jamii iliyo na elimu ya uraia.
Ndo maana yake mkuuAisee kwa hiyo ndio maana anajitapa kwamba fomu alichukua mwenyewe....!!!
Kilangi na mashamba watachomwa moto siku moja huwezi ukafikia nafasi ya kuitwa dokta wa sheria harafu ukaja kupitisha miswada usiku wa maanane kwa ajili ya kumlinda mtu mmoja stupido kabisaJe tuwalaumu kina Ade Kilangi na Masaju, wanaoitumia taaluma yao ovyo kuliangamiza taifa? Wanasheria wa hovyo wanaotunga sheria kandamizi...
AaWabunge ndio wawakilishi wetu wakishaamua kunengua na kuitikia kila wimbo "ndiyooo...." huku wanaopinga upuuzi wakiitwa wasaliti na kufukuzwa bungeni...
Kazi tunayo...
Je tuwalaumu kina Ade Kilangi na Masaju, wanaoitumia taaluma yao ovyo kuliangamiza taifa? Wanasheria wa hovyo wanaotunga sheria kandamizi...