Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabla hajachomwa moto inabidi waTz tumshughulikie siku mojaKilangi na mashamba watachomwa moto siku moja huwezi ukafikia nafasi ya kuitwa dokta wa sheria harafu ukaja kupitisha miswada usiku wa maanane kwa ajili ya kumlinda mtu mmoja stupido kabisa
Nyerere mna kosea wala hakuwa one man show. Kamsome ktk project nyingi alivyoshirikiana na wenzake..Copy and paste from Nyerere ndie muasisi wa one man show ambalo jibu lake huwa ni total failure kila angle,yote haya ni marudio tu.Samaki ujikaanga Na mafuta yake mwenyewe
Hili ndo swali aliloshindwa kulijibu kule Kampala sababu kubwa ilikua hakuelewa swali linataka nini ndo maana amekomaa kutengeneza mfumo wa mtu kuwa na nguvu zaidi
KabisaHii hali inatisha sana ,Kila mwenye ufahamu naomba awe makini na kinachoendelea katika taifa letu.