Je, Rais Samia anajua madhara ya chawa na uchawa alivyokumbatia bila kujua?

Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
7,672
Reaction score
9,039




Chawa wana sifa kuu mbili. Kwanza, ni wanyonya damu. Na pili, hawawezi kuishi bila kuwapo uchafu

.Je, Rais Samia alipotangazia dunia kuwa 'waaacha machawa wangu' alijua madhara yake? Je, hakujua na hadi leo hajui?

Je, uchawa umegeuka sera ya CCM? Je CCM inafaidikaje na uchawa na machawa?

Je, kwanini binadamu mzima anakubali kufananishwa na kulinganishwa na chawa? Je, huu ni ushahidi kuwa machawa na wafugaji chawa wote wana uwezo mdogo wa kujisimamia? Mie nauliza tu.

 

Attachments

  • 1733434270149.png
    360.2 KB · Views: 5
Najiuliza je akitoka madarakani je wataendelea au watatoweka
Na je kwa nni na yye asione sababu yakuona kuwa wanamnafikia
Na je kwa nni asiwaulizae kuwa je mtakuwa chawa wangu mpka nitakapokuwa naishi kizmkazi au kisa nipo Mgogoni na chamwino
Je hao wanaofanya hayo wanaofanya hivyo wanaoata faida gani ??
Je kizazi Chao wanakuambia na kukifundisha kuwa uchawa ni jadi kwao na mbona kma ipo TANZANIA TU JE SAMIA NDIO ANAPENDA AU WAO NDIO WANAPENDA?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…