Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
- Thread starter
-
- #61
Ni vizuri ukajibu swali uliloulizwa!Polee, una vichengachenga vya akili huwezi nielewa kiukweli! Nawewe tukufananishe na yule bibi muislam fox eeh anayependa iyok kusomea ujinga!!
Sio kwamba vijana wazalishaji hawapo?? Hapana wapo sana. Kila mwaka VETA inatoa wahitimu wa kada mbalimbali ila shida ni kuwa Hakuna mechanism Nzuri ya kuwaingiza kwenye sekta ya uzalishaji.Tanzania inaweza kua inarudishwa nyuma kutokana ukweli kua vijana wengi sio wazalishaji wapo kwenye uchuuzi mdogo mdogo na hii dhana ya machinga free ni kiua akili ya ubunifu,Mama anaweza kua na nia njema lakini nchi haita nufaika kitechnolojia kwa watu wake wanasubiri bidhaa nje ya viwanda.
Ebooh! Samia ni Deng Xiaoping wa Tanzania we jamaa umekunywa pombe ya wanzuki nini?π€ππππMungu atupe uzima. Kwa niliyoyasikia ikifika 2030 tutaufufua huu uzi.
Jibu hoja kwa hoja sio virojaEbooh! Samia ni Deng Xiaoping wa Tanzania we jamaa umekunywa pombe ya wanzuki nini?π€ππππ
Nadhani unahitaji kuchimba zaidi kuhusu Deng Xiaoping na mageuzi ya uchumi na kisiasa alioifanyia china 1978 ndio uje umfananishe na Samiaπ€Jibu hoja kwa hoja sio viroja