Je, Rais Samia unaujua msemo huu?

Je, Rais Samia unaujua msemo huu?

6 Pack

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2022
Posts
2,819
Reaction score
5,996
Raisi wangu, kwa heshima na taadhima napenda kukusalimu kwa jina la jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mama kuna ule msemo unaosema kuwa "ukicheka na nyani shambani mwisho wake utakuja vuna mabua"
Yanayoendelea nchini kupitia hao panya wa barabarani bila shaka unayajua, lkn inaonesha bado haujawa serious kuyakomesha au kuyadhibiti kwa vile hao panya wa barabarani wanagusa raia wa kawaida na sio viongozi wa serikali au familia za viongozi hao.

Kila mtu ukiwemo wewe mwenyewe unafahamu fika kwamba haya matukio ya panya wa barabarani miaka 5 iliyopita yani 2016 hadi 2020 au 2021, chini ya uongozi wa raisi Magufuli na mkuu wa mkoa wake Paul Makonda yalikuwa nadra sana kutokea.

Yani yameanza kushamiri zaidi sasa hivi baada ya raisi Magufuli kufariki na mkuu wa mkoa kuwa nje ya mamlaka.

Sasa mpaka hapo ushajua ni nani na nani waliokuwa kiboko ya hao vijana mpaka wakashindwa kufurukuta miaka hiyo.

Cha kufanya kwa sasa ni kuweka siasa pembeni na kumrudisha kijana Makonda haraka iwezekanavyo aje akusaidie kazi ya kurudisha amani, usafi na usalama katika jiji kubwa la Dar es salaam. Otherwise ukidharau utakuja kujuta baadae (2025) maana wananchi hawatokuwa tayari kumpa kura mtu asiejali usalama wa maisha yao, pamoja na mali zao.
Please tunaomba utafakari kabla ya hatari. Bila hivyo utakuja kujilaumu baadae.

Kazi "ya kupambana na panya road" iendelee.
 
Panya Roads ni matokeo ya unemployment na poverty mkuu, tutibie ugonjwa sio dalili zake, vijana hawa tunaishi ishi nao majumbani mwetu hawatoki kwenye sayariya Mars, president Nyerere (rip)aliliona hili na alipambana na kuwapa uchaguzi ingia kwenye vijiji ili ulime au mitaani huku utahangaika,sasa unawachoma moto na hujawapa alternatives ya kujiajili huku sio kutibia ugonjwa we need a political will wa kuwafanya vijana wetu to think out of box 🗃, kilimo na ufugaji ndiko kunaweza kutuzalishia ajira zaidi kwa vijana wetu, elimu ya uzazi ipewe umuhimu, hatuwezi uchumi ukue kwa 5% na tuongezeke kwa more than 3%,it's craze kikawaida Tanzania ilitakiwa iwe na raia kama 23M,but now tuna 60M!,tunaishi in a timing bom
 
Raisi wangu, kwa heshima na taadhima napenda kukusalimu kwa jina la jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mama kuna ule msemo unaosema kuwa "ukicheka na nyani shambani mwisho wake utakuja vuna mabua"
Yanayoendelea nchini kupitia hao panya wa barabarani bila shaka unayajua, lkn inaonesha bado haujawa serious kuyakomesha au kuyadhibiti kwa vile hao panya wa barabarani wanagusa raia wa kawaida na sio viongozi wa serikali au familia za viongozi hao.

Kila mtu ukiwemo wewe mwenyewe unafahamu fika kwamba haya matukio ya panya wa barabarani miaka 5 iliyopita yani 2016 hadi 2020 au 2021, chini ya uongozi wa raisi Magufuli na mkuu wa mkoa wake Paul Makonda yalikuwa nadra sana kutokea.
Yani yameanza kushamiri zaidi sasa hivi baada ya raisi Magufuli kufariki na mkuu wa mkoa kuwa nje ya mamlaka.
Sasa mpaka hapo ushajua ni nani na nani waliokuwa kiboko ya hao vijana mpaka wakashindwa kufurukuta miaka hiyo.

Cha kufanya kwa sasa ni kuweka siasa pembeni na kumrudisha kijana Makonda haraka iwezekanavyo aje akusaidie kazi ya kurudisha amani, usafi na usalama katika jiji kubwa la Dar es salaam. Otherwise ukidharau utakuja kujuta baadae (2025) maana wananchi hawatokuwa tayari kumpa kura mtu asiejali usalama wa maisha yao, pamoja na mali zao.
Please tunaomba utafakari kabla ya hatari. Bila hivyo utakuja kujilaumu baadae.

Kazi "ya kupambana na panya road" iendelee.
Makonda harudi na panya zitachomwa Moto[emoji51]
 
Cha kufanya kwa sasa ni kuweka siasa pembeni na kumrudisha kijana Makonda haraka iwezekanavyo aje akusaidie kazi ya kurudisha amani, usafi na usalama katika jiji kubwa la Dar es salaam. Otherwise ukidharau utakuja kujuta baadae (2025) maana wananchi hawatokuwa tayari kumpa kura mtu asiejali usalama wa maisha yao, pamoja na mali zao.
Please tunaomba utafakari kabla ya hatari. Bila hivyo utakuja kujilaumu baadae.
Tulijua kabisa hakuna kitu kinaitwa Panya Road wala nini. Mnavumisha uongo tu kwa maslahi mnayojua nyinyi ikiwemo kumhujum Rais Samia.

Kila anayekuja analeta nyimbo z Makonda.

Vyombo is watching you.

Mna creat chaos kwa jamii kwa propaganda za Panya road wasiokuwepo.

Kama ni uhuni wakabaji Dar walikuwepo, wapo na watakuwepo ktl miji yoote duniani hasa ya maskini.

Mbona mnataka kulifanya kama jambo jipya?
 
Raisi wangu, kwa heshima na taadhima napenda kukusalimu kwa jina la jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mama kuna ule msemo unaosema kuwa "ukicheka na nyani shambani mwisho wake utakuja vuna mabua"
Yanayoendelea nchini kupitia hao panya wa barabarani bila shaka unayajua, lkn inaonesha bado haujawa serious kuyakomesha au kuyadhibiti kwa vile hao panya wa barabarani wanagusa raia wa kawaida na sio viongozi wa serikali au familia za viongozi hao.

Kila mtu ukiwemo wewe mwenyewe unafahamu fika kwamba haya matukio ya panya wa barabarani miaka 5 iliyopita yani 2016 hadi 2020 au 2021, chini ya uongozi wa raisi Magufuli na mkuu wa mkoa wake Paul Makonda yalikuwa nadra sana kutokea.
Yani yameanza kushamiri zaidi sasa hivi baada ya raisi Magufuli kufariki na mkuu wa mkoa kuwa nje ya mamlaka.
Sasa mpaka hapo ushajua ni nani na nani waliokuwa kiboko ya hao vijana mpaka wakashindwa kufurukuta miaka hiyo.

Cha kufanya kwa sasa ni kuweka siasa pembeni na kumrudisha kijana Makonda haraka iwezekanavyo aje akusaidie kazi ya kurudisha amani, usafi na usalama katika jiji kubwa la Dar es salaam. Otherwise ukidharau utakuja kujuta baadae (2025) maana wananchi hawatokuwa tayari kumpa kura mtu asiejali usalama wa maisha yao, pamoja na mali zao.
Please tunaomba utafakari kabla ya hatari. Bila hivyo utakuja kujilaumu baadae.

Kazi "ya kupambana na panya road" iendelee.
Kwaiyo tanganyika kote makonda ndio kiongozi bora? Umetumia mbinu yakijinga sanaa
 
Wanaume wengi wanakataa mimba, na wanawake wengi wanalea watoto katika mazingira ya shida, watoto wao wanaolelewa katika mazingira magumu. Hapa lazima panya road waongezeke.
 
Serikali iweke nguvu kutoa elimu na huduma za uzazi wa mpango, watu wasizae kiholela holela tu.
Wanaume wengi wanakataa mimba, na wanawake wengi wanalea watoto katika mazingira ya shida, watoto wao wanaolelewa katika mazingira magumu. Hapa lazima panya road waongezeke.
 
Hao panya wako watamalizwa wote na hakuna atakayebakia hatammoja, watasakwa na kufuatwa Hadi shimoni waliko, Tanzania Ni Salama katika mikono ya mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani
 
Raisi wangu, kwa heshima na taadhima napenda kukusalimu kwa jina la jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mama kuna ule msemo unaosema kuwa "ukicheka na nyani shambani mwisho wake utakuja vuna mabua"
Yanayoendelea nchini kupitia hao panya wa barabarani bila shaka unayajua, lkn inaonesha bado haujawa serious kuyakomesha au kuyadhibiti kwa vile hao panya wa barabarani wanagusa raia wa kawaida na sio viongozi wa serikali au familia za viongozi hao.

Kila mtu ukiwemo wewe mwenyewe unafahamu fika kwamba haya matukio ya panya wa barabarani miaka 5 iliyopita yani 2016 hadi 2020 au 2021, chini ya uongozi wa raisi Magufuli na mkuu wa mkoa wake Paul Makonda yalikuwa nadra sana kutokea.
Yani yameanza kushamiri zaidi sasa hivi baada ya raisi Magufuli kufariki na mkuu wa mkoa kuwa nje ya mamlaka.
Sasa mpaka hapo ushajua ni nani na nani waliokuwa kiboko ya hao vijana mpaka wakashindwa kufurukuta miaka hiyo.

Cha kufanya kwa sasa ni kuweka siasa pembeni na kumrudisha kijana Makonda haraka iwezekanavyo aje akusaidie kazi ya kurudisha amani, usafi na usalama katika jiji kubwa la Dar es salaam. Otherwise ukidharau utakuja kujuta baadae (2025) maana wananchi hawatokuwa tayari kumpa kura mtu asiejali usalama wa maisha yao, pamoja na mali zao.
Please tunaomba utafakari kabla ya hatari. Bila hivyo utakuja kujilaumu baadae.

Kazi "ya kupambana na panya road" iendelee.
Siungi mkono panya road lakini tumejitakia wenyewe. Unaondoa wafanyabiasha barabarani ambao serikali ilikusanya elfu 20 zao na kuwatupa kusikoeleweka wakati tuliambiwa wanapangwa vizuri!
Ukijumlisha na hali mbaya ya uchumi, ajira, kipato duni, kuna baadhi wataingia mtaani kuiba, kuua nk. Mauaji na ukatili kwenye familia ni kiashiria kuna msongo wa mawazo wa hali ya juu unaotokana na ugumu wa maisha. Halafu mtu anakuambia "sijaunda kamati' "nimeunda timu" Mbona hukuunda timu kufanya utafiti kwanza.
Ndo kwanza tunakumbatia wazungu kwamba eti tunafungua nchi. Wazungu ukiona wanakusifia ujue kuna mahali umekosea.
Mtu kajidunduliza kanunua bima ya afya, Leo tunaambiwa mfuko amepata hasara kwa hiyo inapendekezwa mtu atahudhuria hospitali mara 80 tu lakini bima ya wakubwa iko pale pale first class moakanje ya nchi.
Rais aangalie sana sera kuhusu maslahi na maboresho ya watu wa hali ya chini. After all ndo itikadi ya chama cha mapinduzi.
 
Raisi wangu, kwa heshima na taadhima napenda kukusalimu kwa jina la jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mama kuna ule msemo unaosema kuwa "ukicheka na nyani shambani mwisho wake utakuja vuna mabua"
Yanayoendelea nchini kupitia hao panya wa barabarani bila shaka unayajua, lkn inaonesha bado haujawa serious kuyakomesha au kuyadhibiti kwa vile hao panya wa barabarani wanagusa raia wa kawaida na sio viongozi wa serikali au familia za viongozi hao.

Kila mtu ukiwemo wewe mwenyewe unafahamu fika kwamba haya matukio ya panya wa barabarani miaka 5 iliyopita yani 2016 hadi 2020 au 2021, chini ya uongozi wa raisi Magufuli na mkuu wa mkoa wake Paul Makonda yalikuwa nadra sana kutokea.
Yani yameanza kushamiri zaidi sasa hivi baada ya raisi Magufuli kufariki na mkuu wa mkoa kuwa nje ya mamlaka.
Sasa mpaka hapo ushajua ni nani na nani waliokuwa kiboko ya hao vijana mpaka wakashindwa kufurukuta miaka hiyo.

Cha kufanya kwa sasa ni kuweka siasa pembeni na kumrudisha kijana Makonda haraka iwezekanavyo aje akusaidie kazi ya kurudisha amani, usafi na usalama katika jiji kubwa la Dar es salaam. Otherwise ukidharau utakuja kujuta baadae (2025) maana wananchi hawatokuwa tayari kumpa kura mtu asiejali usalama wa maisha yao, pamoja na mali zao.
Please tunaomba utafakari kabla ya hatari. Bila hivyo utakuja kujilaumu baadae.

Kazi "ya kupambana na panya road" iendelee.
Vyombo viko kazini Mzee,tulia.
 
Raisi wangu, kwa heshima na taadhima napenda kukusalimu kwa jina la jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mama kuna ule msemo unaosema kuwa "ukicheka na nyani shambani mwisho wake utakuja vuna mabua"
Yanayoendelea nchini kupitia hao panya wa barabarani bila shaka unayajua, lkn inaonesha bado haujawa serious kuyakomesha au kuyadhibiti kwa vile hao panya wa barabarani wanagusa raia wa kawaida na sio viongozi wa serikali au familia za viongozi hao.

Kila mtu ukiwemo wewe mwenyewe unafahamu fika kwamba haya matukio ya panya wa barabarani miaka 5 iliyopita yani 2016 hadi 2020 au 2021, chini ya uongozi wa raisi Magufuli na mkuu wa mkoa wake Paul Makonda yalikuwa nadra sana kutokea.
Yani yameanza kushamiri zaidi sasa hivi baada ya raisi Magufuli kufariki na mkuu wa mkoa kuwa nje ya mamlaka.
Sasa mpaka hapo ushajua ni nani na nani waliokuwa kiboko ya hao vijana mpaka wakashindwa kufurukuta miaka hiyo.

Cha kufanya kwa sasa ni kuweka siasa pembeni na kumrudisha kijana Makonda haraka iwezekanavyo aje akusaidie kazi ya kurudisha amani, usafi na usalama katika jiji kubwa la Dar es salaam. Otherwise ukidharau utakuja kujuta baadae (2025) maana wananchi hawatokuwa tayari kumpa kura mtu asiejali usalama wa maisha yao, pamoja na mali zao.
Please tunaomba utafakari kabla ya hatari. Bila hivyo utakuja kujilaumu baadae.

Kazi "ya kupambana na panya road" iendelee.
Mmmmh hapo kumpigia Debe PM ndo nimekushangaa
 
Kila mtu ukiwemo wewe mwenyewe unafahamu fika kwamba haya matukio ya panya wa barabarani miaka 5 iliyopita yani 2016 hadi 2020 au 2021, chini ya uongozi wa raisi Magufuli na mkuu wa mkoa wake Paul Makonda yalikuwa nadra sana kutokea.
Bora ungeacha kuandika huu utumbo bin upuuzi!
 
Tulijua kabisa hakuna kitu kinaitwa Panya Road wala nini. Mnavumisha uongo tu kwa maslahi mnayojua nyinyi ikiwemo kumhujum Rais Samia.

Kila anayekuja analeta nyimbo z Makonda.

Vyombo is watching you.

Mna creat chaos kwa jamii kwa propaganda za Panya road wasiokuwepo.

Kama ni uhuni wakabaji Dar walikuwepo, wapo na watakuwepo ktl miji yoote duniani hasa ya maskini.

Mbona mnataka kulifanya kama jambo jipya?
Umejaza ugoro kichwani.
 
Neno!
Pamoja na shisha nayo pia ina haribu vijana haswa wa mashuleni!
Ya ni kweli mkuu, inabidi hayo madude nayo yawekewe sheria kali ili kudhibiti wanafunzi na watoto wadogo kuyatumia.
 
Back
Top Bottom