MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Sasa hao wenye vyeti kama awafanyi kitu huyo asiye na vyeti si atabomoa kabisaHao wenye vyeti original wameshafanya kipi cha maana nchi hii?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hao wenye vyeti kama awafanyi kitu huyo asiye na vyeti si atabomoa kabisaHao wenye vyeti original wameshafanya kipi cha maana nchi hii?
Hapa naona kama vile umeingiza siasa mkuu. Hivi ni kijana gani amezuiwa kujiajiri mwenyewe pale ambapo hakupata nafasi ya kuajiriwa na serikali? Ni kijana gani aliezuiwa asirudi kijijini akalime nk?Panya Roads ni matokeo ya unemployment na poverty mkuu, tutibie ugonjwa sio dalili zake, vijana hawa tunaishi ishi nao majumbani mwetu hawatoki kwenye sayariya Mars, president Nyerere (rip)aliliona hili na alipambana na kuwapa uchaguzi ingia kwenye vijiji ili ulime au mitaani huku utahangaika,sasa unawachoma moto na hujawapa alternatives ya kujiajili huku sio kutibia ugonjwa we need a political will wa kuwafanya vijana wetu to think out of box 🗃, kilimo na ufugaji ndiko kunaweza kutuzalishia ajira zaidi kwa vijana wetu, elimu ya uzazi ipewe umuhimu, hatuwezi uchumi ukue kwa 5% na tuongezeke kwa more than 3%,it's craze kikawaida Tanzania ilitakiwa iwe na raia kama 23M,but now tuna 60M!,tunaishi in a timing bom
Sio bora lkn ana uthubutu katika kulitafutia ufumbuzi tatizo. Tofauti na viongozi wengine wanaoshinda ofisini kusubiri mwisho wa mwezi msahara uingie bila kuutolea jasho.Kwaiyo tanganyika kote makonda ndio kiongozi bora? Umetumia mbinu yakijinga sanaa
Basi kama ni hivyo inahitajika plan B ili kudhibiti huu ujinga kuendelea.Wanaume wengi wanakataa mimba, na wanawake wengi wanalea watoto katika mazingira ya shida, watoto wao wanaolelewa katika mazingira magumu. Hapa lazima panya road waongezeke.
Unazungumzia usalama wa watu kukatwa katwa mapanga kila siku mpaka kupelekea juzi mtoto wa miaka sijui 8 tena wa kike kupoteza maisha kwa sababu ya majeraha ya mapanga au?Hao panya wako watamalizwa wote na hakuna atakayebakia hatammoja, watasakwa na kufuatwa Hadi shimoni waliko, Tanzania Ni Salama katika mikono ya mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani
Wewe unaongozwa na vyeti au mtu makini?Daudi Albert Bashite, kijana asiye na vyeti, nihatari sana kuongozwa na mtu aliye forge vyeti
Wakati wa JPM Panyaroads hawakuwepo, ndugu.Tulijua kabisa hakuna kitu kinaitwa Panya Road wala nini. Mnavumisha uongo tu kwa maslahi mnayojua nyinyi ikiwemo kumhujum Rais Samia.
Kila anayekuja analeta nyimbo z Makonda.
Vyombo is watching you.
Mna creat chaos kwa jamii kwa propaganda za Panya road wasiokuwepo.
Kama ni uhuni wakabaji Dar walikuwepo, wapo na watakuwepo ktl miji yoote duniani hasa ya maskini.
Mbona mnataka kulifanya kama jambo jipya?
Mtu anaepinga uongozi wa Makonda atakuwa ni miongoni mwa wavuta unga, wauzaji au kibaka.Wewe unaongozwa na vyeti au mtu makini?
Watanzania hawahitaji vyeti. Wanahitaji usalama na unafuu wa Maisha.
Aliyekuwa hana vyeti aliweza aliwadhibiti Panyaroads, lakini mwenye vyeti Panyaroads wanammudu.
Hapo sasa nani ni bora zaidi?
Uongozi wa sasa umeshindwa kabisa kuja na mbinu za kuwadhibiti hawa mbwa koko. Haiwezekani mtu aliefanya matukio ya kutisha kama hayo na muda mungine mpaka kuuwa, afu akifikishwa mahakamani anahukumiwa kwenda jela miezi 3 au sita. Na hapo hapo kuna wengine wanakubaliwa kuwekewa hadi dhamana huku serikali ikiangalia tu.Wakati wa JPM Panyaroads hawakuwepo, ndugu.
Kwa nini iwe Leo?
Hakuna mtu au kiongozi mwingine tanganyika nzima? Kwanini umempendekeza yeye?Sio bora lkn ana uthubutu katika kulitafutia ufumbuzi tatizo. Tofauti na viongozi wengine wanaoshinda ofisini kusubiri mwisho wa mwezi msahara uingie bila kuutolea jasho.
Ok Bashite, tumekusoma naona unaangaika.Hao wenye vyeti original wameshafanya kipi cha maana nchi hii?
Kwani wakati wa utawala wa Magufuli kulikuwa hakuna Unemployment?Panya Roads ni matokeo ya unemployment na poverty mkuu, tutibie ugonjwa sio dalili zake, vijana hawa tunaishi ishi nao majumbani mwetu hawatoki kwenye sayariya Mars, president Nyerere (rip)aliliona hili na alipambana na kuwapa uchaguzi ingia kwenye vijiji ili ulime au mitaani huku utahangaika,sasa unawachoma moto na hujawapa alternatives ya kujiajili huku sio kutibia ugonjwa we need a political will wa kuwafanya vijana wetu to think out of box [emoji1003], kilimo na ufugaji ndiko kunaweza kutuzalishia ajira zaidi kwa vijana wetu, elimu ya uzazi ipewe umuhimu, hatuwezi uchumi ukue kwa 5% na tuongezeke kwa more than 3%,it's craze kikawaida Tanzania ilitakiwa iwe na raia kama 23M,but now tuna 60M!,tunaishi in a timing bom
Unamaanisha kuwa panya road ni watoto wa singo mamas?Wanaume wengi wanakataa mimba, na wanawake wengi wanalea watoto katika mazingira ya shida, watoto wao wanaolelewa katika mazingira magumu. Hapa lazima panya road waongezeke.
Yeah wengi waoUnamaanisha kuwa panya road ni watoto wa singo mamas?