Je, Rais wa Tanzania ipo siku atakuwa na la Kujibu kwenye mamlaka zijazo juu ya Kupotea kwa Ben Saanane?

Je, Rais wa Tanzania ipo siku atakuwa na la Kujibu kwenye mamlaka zijazo juu ya Kupotea kwa Ben Saanane?

Kanywe damu yake tutolee ujinga hapa
Wewe PIMBI jaribu kuwa na UTU hata mara moja moja, huyo aliyepotezwa ni Binadamu sio mnyama. Hebu weka picha kama angekuwa ni ndugu yako, mwanao, kaka, mdogo wako n.k
Si kila wakati wa kutumia MASABURI kujenga hoja ama kutoa maneno ya kuudhi na kejeli kwa wengine. MUNGU hadhihakiwi na malipo ya ubaya wowote ule ni hapa hapa duniani. Sawa sawa?
 
My suspicion from day one.
OK hilo linawezekana, hapo ndio inapodhibitisha kuwa tuna serikali dhaifu katika uchunguzi, iliyo jaa upumbavu katika ushabiki na watendaji wa hovyo!
Intelijensia watambayo nayo kila siku kuhusu kuzuia mikutano ya ndani na nje wameshindwa kubaini walivyo mpoteza mwanachama na kuchukua hatua ambazo zingewamaliza kuliko kukazania kubambika risasi iliyo muua Akwilina ambayo hata kichaa anajua kuwa ni polisi?
Pascal Mayalla naye anasema could be inside job! kweli degree yake moja (maana wenye NNE ndio wenye akili-Mwakyembe) ya sheria ndio inaweza kumtuma kutamka hayo?
Chadema waue mtu wao halafu file LA polisi lifungwe bila kula kichwa cha mtu?
Tunaposhauri tuwe na hekima maana tunaowashauri wengine wana digrii nne (joke).
 
Possible naweza nikaamini wametulizwa chini kwa chini maana wapo kimya tu.
Hayo ni matusi kwa wale wazee. Mnategemea wangefanya nini zaidi ya kumshukuru Mungu na kukubali yaishe tuu? Kupewa mshiko kwa ajili ya mwanao ambaye hujui yuko wapi, anahali gani?! Sio vizuri!
 
OK hilo linawezekana, hapo ndio inapodhibitisha kuwa tuna serikali dhaifu katika uchunguzi, iliyo jaa upumbavu katika ushabiki na watendaji wa hovyo!
Intelijensia watambayo nayo kila siku kuhusu kuzuia mikutano ya ndani na nje wameshindwa kubaini walivyo mpoteza mwanachama na kuchukua hatua ambazo zingewamaliza kuliko kukazania kubambika risasi iliyo muua Akwilina ambayo hata kichaa anajua kuwa ni polisi?
Pascal Mayalla naye anasema could be inside job! kweli degree yake moja (maana wenye NNE ndio wenye akili-Mwakyembe) ya sheria ndio inaweza kumtuma kutamka hayo?
Chadema waue mtu wao halafu file LA polisi lifungwe bila kula kichwa cha mtu?
Tunaposhauri tuwe na hekima maana tunaowashauri wengine wana digrii nne (joke).
Unalielezeaje lile la Kubenea na Komu kupanga kumdhuru Jacob! Was it not an inside job?!
 
Kwenda zako huko kichwani hamnazo kwani JPM ni personal boardgard wa huyo mtu?
Nakumbuka sometimes in 1979 Iddi Amin akiwa uhamishoni Saudi Arabia alimwambia mwandishi wa habari wa Reuters aliyekuwa akimuhoji kuwa, "I could not be everywhere to protect everybody".

NB: Iddi Amin alifariki nchini Saudi Arabia mwaka 2003 kwa Kidney Failure na kuzikwa huko huko na kuthibitisha ule ukweli kuwa "No one is immortal".
 
Possible naweza nikaamini wametulizwa chini kwa chini maana wapo kimya tu.
Walipewa mil 130, wanawaangalia tu mnavyojifanya mna uchungu kuliko wao, we ushawai kuwasikia popote wakiomba msaada wa vyombo vya dola kuhusu mtoto wao au kuulizia imefikia wapi,
 
Nimeipenda slogan moja ^ wazaz mshitaki kwa mizimu^ wengine ngoja tusifu na kuabudu malaika wetu maisha ya duniani matamu ila changamoto sana.
 
Nauliza swali hili very technically

Niko Tiyari niendelee kukaa uhamishoni huku lakin na on a waandishi wa habari na watu wanaopaswa kuuliza ni waoga kupitiliza

Saa Nane kwa Maneno yake Mwenyewe alisema

"Nimetumiwa ujumbe baada ya kukosoa elimu ya mtu mkubwa na nikaambiwa andika Ben Saanane andika Lakin ipo siku utajikuta mwenyewe na chatu"

Hii uwa inanifikirisha ni ama watu walimtaim president wakafanya uhuni wa kumpoteza SAA nane baada ya kuhoji PHD wakampoteza ionekane Suspect ni yule alozungumziwa?

Yaan watengeneze mazingira kama walivyoyatengeneza kwa Lissu baada ya rais kusema kwamba "Tunapigana vita huyu mtu anageuka kupiga front, huyo ndo anauwawa"

Banda ya napo Risasi

Nauliza Ipo siku Raisi atawajibika kwa kupotea kwa Saa Nane, ama kwenye Taasisi au kwenye kuyakili makosa ya uongozi wake?

Britannica
Ipo Siku ingawa yeye kwa sasa haoni wala kuwaza kuwa kuna siku ataondoka madarakani kafungwa macho. Na alivyo muaoga natalia na kusaga meno. Ooh watanzania nimewanunulia mandege na kuwajengea mabarabara leo ndio unaifanyia hivi. Hiyo siku inakuja
 
Unalielezeaje lile la Kubenea na Komu kupanga kumdhuru Jacob! Was it not an inside job?!
Kwani makosa ya wanachama wawili dhidi ya mwanachama mwenzao utaitaje inside job? Kwani ni mipango ya chama?
Ni sawa na uhalifu wa wa Tanzania wawili dhidi ya Mtanzania mwingine uite inside job kwa serikali.
 
Mkuu Britannica, maadam hakuna ajuaye kilimtokea nini Ben, na ni nani aliamrisha na aliyetekeleza, nashauri, sio busara kuelekeza kidole to specific people.

Ben was one of the very intelligent young fellow, kupitia michango yake humu jf pia kuna issues mimi nilikuwa nazi raise humu against Chadema, we were sailing in the same boat na Ben Saanane, one of such issues ni hii.

Soma uone Ben Saanane alichangia nini?, hivyo it might as well be an inside job.

NB.
Kwa vile issue ya kutoweka kwa Ben Saanane ni so emotional na sentimental, naomba sana tuzingatie neno "could be".

There is a proof beyond reasonable doubt Chadema huwa inawafanya nini baadhi ya watu ambao ni threat kwa status quo yake. Rejea ile video "bonafide genuine " na kilichomkuta Kagenzi.

Tundu Lissu aliposhambuliwa pia nilitoa mangalizo yafuatayo




Kitu ambacho nina uhakika nacho 100% sure ni whoever aliyempoteza Ben Saanane will pay for sure.
Whoeve aliyemshambulia Lissu, will pay for sure.
Whoever anayefanya uovu wowote lazima atalipwa kupitia the law of Karma, what goes around, cames around.
P

Kama ingekuwa ni inside job basi uchunguzi ungefanywa kwa kasi ya bombadia, kwa urefu wa SGR na ukubwa wa Stieglers
 
Atayaandika kwenye kitabu chake baada ya kustaafu

Damu za watu huwa hazipotei bure lazima atalipia maisha ya watu waliouwawa na mamlaka yake
 
Kwani makosa ya wanachama wawili dhidi ya mwanachama mwenzao utaitaje inside job? Kwani ni mipango ya chama?
Ni sawa na uhalifu wa wa Tanzania wawili dhidi ya Mtanzania mwingine uite inside job kwa serikali.
Now you're talking. Safi sana.
 
Walipewa mil 130, wanawaangalia tu mnavyojifanya mna uchungu kuliko wao, we ushawai kuwasikia popote wakiomba msaada wa vyombo vya dola kuhusu mtoto wao au kuulizia imefikia wapi,
Nani aliwapa hiyo hela na kwa nini. Huyu Beni labda hata alibonyezwa kabla na akasepa zake ughaibuni.

Kweli hii serikali inaweza kufanya upumbavu mkubwa hivyo, wamteke mtu na kwenda kumuua wakati wakijua wazi kuwa hawatakaa madarakani siku zote na hata wasihofie mabaya yaliyowahi kuwapata madikteta mbali mbali duniani.
Sijui, but it's difficult to comprehend..
 
OK hilo linawezekana, hapo ndio inapodhibitisha kuwa tuna intelijensia kila siku kuzuia mikutano ya ndani na nje wameshindwa kubaini na kukazania kubambika risasi iliyo muua Akwilina ambayo hata kichaa anajua kuwa ni polisi?
When you don't know for sure who is who, you can't rule out any possibility, ila kwenye hili la Akwilina, mimi nilisema wazi wauaji ni polisi wetu

P
 
Kama ingekuwa ni inside job basi uchunguzi ungefanywa kwa kasi ya bombadia, kwa urefu wa SGR na ukubwa wa Stieglers
Hawana lead ya pa kuanzia!, ndio maana hata uchunguzi wa shambulizi la Lissu bado haujaanza kwasababu wanamsubiri Lissu na dereva wake, wawahoji ndipo waanze uchunguzi.
P
 
Hawana lead ya pa kuanzia!, ndio maana hata uchunguzi wa shambulizi la Lissu bado haujaanza kwasababu wanamsubiri Lissu na dereva wake, wawahoji ndipo waanze uchunguzi.
P

Hawana lead pa kuanzia?

Huu ni ushahidi kuwa uwezo wao mdogo kwa hivyo basi wangekuwa na nia ya dhati ya kutendea haki hawa wahanga basi wangeshirikisha wenye ujuzi wa mambo ya uchunguzi wa kimataifa, wenye uzoefu zaidi yao, vifaa zaidi yao na uwezo zaidi yao.

Tanzania kuomba msaada wachunguzi wa nje siyo jambo geni, Tumewahi kuomba wachunguzi wa kimataifa kwenda kuchunguza mauaji ya mapadri huko Zanzibar na ripoti ipo kwa wakubwa
 
Back
Top Bottom