Lukub
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 3,622
- 4,100
Kule EGYPT team zilizofuzu Club bingwa ni ZAMALEK na PYRAMID japo ligi haijaisha huku umebaki mchezo mmoja ZAMALEK ana point 77 huku PYRAMID ana point 71 , AHLY point 67.
Kwenye RATIBA ya club bingwa tayari AHLY alipaswa kucheza raund ya pili ya club bingwa Sasa atapaswa kwenda Shirikisho wakati, PYRAMID alipaswa kucheza raund ya pili Shirikisho anakwenda champions league,na anapaswa apangiwe team ya kucheza nayo maana hayupo kwenye team Tano zinazosubiri round ya pili.
Wajuzi hili limekaaje? Pia ZAMALEK atahitaji kucheza round ya pili maana kwa rank yeye anapoint sawa na mazembe na nafasi hiyo ya team ya Tano imebaki wazi baada ya AHLY kuangukia Shirikisho.
Kwenye RATIBA ya club bingwa tayari AHLY alipaswa kucheza raund ya pili ya club bingwa Sasa atapaswa kwenda Shirikisho wakati, PYRAMID alipaswa kucheza raund ya pili Shirikisho anakwenda champions league,na anapaswa apangiwe team ya kucheza nayo maana hayupo kwenye team Tano zinazosubiri round ya pili.
Wajuzi hili limekaaje? Pia ZAMALEK atahitaji kucheza round ya pili maana kwa rank yeye anapoint sawa na mazembe na nafasi hiyo ya team ya Tano imebaki wazi baada ya AHLY kuangukia Shirikisho.