Nyamizi
Platinum Member
- Feb 19, 2009
- 9,186
- 13,757
Yes Mbumbumbu wa international Law specifically international criminal Law! Ndo maana amethubutu kuandika hiki alichokiandika!
Basi tueleze wewe unaefahamu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes Mbumbumbu wa international Law specifically international criminal Law! Ndo maana amethubutu kuandika hiki alichokiandika!
Wewe unayejua tunaomba darasa tuelemike na sisi.Mshana Jr,
Mnavyoishobokea ICC, wakati inaonyesha wazi hamjui chochote kuhusu Mahakama hii and how it oparate. Kwa ulichoandika ni wazi we ni Mbumbumbu wa ICC! Hujui chochote!
Halafu nahisi ROMA ndio mshanajr
Utakuta we mwenyewe ni mwanachuo unasomea law mwaka wa 3 bas unajiona nguli wa international laws.
Toa majibu acha kumuongelea mtoa mada
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kwanini wamemzuia?Mbowe hana ushahidi wowote wa maana anataka kulipiwa nauli na ubalozi ili akavinjali kwenye viunga vya Marekani!
U.S. imposes visa bans on International Criminal Court investigators - PompeoThe court has more than 120 member nations. But countries that are not members include the United States, China, India, Iraq, Libya, Yemen, Qatar and Israel. The U.S. signed the treaty during the Clinton administration, but Congress did not ratify it.Nov 17, 2016
Jr[emoji769]
Jamaa anachekesha sana,anamkosoa mtoa mada kuwa hajui ICC inavyo operate! Sasa unamuuliza atoe ufafanuzi wake,anataka tena mtoa mada (ambae kwa mujibu wake hajui) atoe ufafanuzi [emoji3][emoji3]
Nimejaribu kuchimba zaidi Mmarekani sio mwanachama lakini anafanya kazi kwa Karibu na ICC hasa linapokuja swala la ushahidi... Anachokataa Mmarekani ni raia wake kushitakiwa kwenye hii mahakama... Na mara nyingi Democratics ndio wanaisupport wakati republican wanaipinga... Hivyo basi kupitia nchi washirika Marekani anaweza kutoa msaada mkubwaUtawaweza hawa Wanachuo,blah blah nyingi,tunataka atoe ufafanuzi wake anaanza kuleta ngonjera tena.
![]()
US Threatens International Criminal Court
(Washington, DC, March 15, 2019) – The United States decision to impose visa bans on International Criminal Court (ICC) staff will imperil accountability for grave international crimes, Human Rights Watch said today. US Secretary of State Michael Pompeo on March 15, 2019 announced that the bans...www.hrw.org
Hukumu ya kesi yao imekaribia!Sasa kwanini wamemzuia?
Sent using Rocket Propelled Grenade
Tuweke ligi mzee!Utakuta we mwenyewe ni mwanachuo unasomea law mwaka wa 3 bas unajiona nguli wa international laws.
Toa majibu acha kumuongelea mtoa mada
Sent using Jamii Forums mobile app
wewe ni boya tu, huna lolote, kama unaona mtoa mada kakosea au hajui, kwanini usieleze wewe? kwa hio elimu yako unabaki nayo mpaka utakapokufa? tena ukifa utaulizwa elimu yako iliwasaidiaje wanadamu, utakua huna jibu na kifuatacho ni motoni, huna ishu!Mkuu alipaswa aeleze aliyeleta hizi habari, na huu ndo ubaya wa kurukia vitu usivyoelewa!
Duh jf nihatariiii sanaaaa usipo nuna basi utafurahiHalafu nahisi ROMA ndio mshanajr