Je, Rostam Aziz ataitikia wito wa kugombea Ubunge Morogoro Mjini?

Je, Rostam Aziz ataitikia wito wa kugombea Ubunge Morogoro Mjini?

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Ikumbukwe kuwa Rostam Aziz alijiuzulu Ubunge wa Jimbo la Igunga kwa madai kuwa amechoshwa na siasa uchwara.

Je, sasa ataukubali wito wa mwenyekiti wa chama chake CCM Rais Magufuli kwamba kama vipi 2025 agombee ubunge Morogoro mjini na kumfurusha mbunge wa sasa Abood Aziz?

Ikumbukwe kuwa hawa wote ni Aziz.

Maendeleo hayana vyama!
 
RA ni moja ya watu ambao ni smart. Anaichukulia very serious Tanzania. Anajua ataendelea kuchumua as long as he keeps his profile low and with no squabbles with politicians or the existing political and leadership system.

Namkubali sana huyu mwanawane.
 
Abood wa Mabasi na Mbunge ni watu wawili tofauti. Kama hujui nakujuza leo.
We tend to underestimate the power of peole and time. Ipo siku viwanda vile vitakuwa shubiri kwa familia ya Abood kama hatafanya lolote mapema. JPM ana nguvu ya kumwambia sababu yeye sio Marehemu Lawrance Gama ambaye wakati ni RC alikuwa anaelewa nini Abood anafanya. For once lets think two steps ahead!
 
We tend to underestimate the power of peole and time. Ipo siku viwanda vile vitakuwa shubiri kwa familia ya Abood kama hatafanya lolote mapema. JPM ana nguvu ya kumwambia sababu yeye sio Marehemu Lawrance Gama ambaye wakati ni RC alikuwa anaelewa nini Abood anafanya. For once lets think two steps ahead!
Acheni kulilishwa ujinga ile familiya ni habari nyingine huyo Juma anajikosha
 
Anawivu na Utajiri wa Aboud maana wasukuma kwa roho mbaya
Screenshot_20201204-194202.jpg
 
Ikumbukwe kuwa Rostam Aziz alijiuzulu ubunge wa jimbo la Igunga kwa madai kuwa amechoshwa na siasa uchwara.

Je, sasa ataukubali wito wa mwenyekiti wa chama chake CCM Rais Magufuli kwamba kama vipi 2025 agombee ubunge Morogoro mjini na kumfurusha mbunge wa sasa Abood Aziz?

Ikumbukwe kuwa hawa wote ni Aziz.

Maendeleo hayana vyama!

Waache wafu wazikane ,hakuna jipya chupa itakuwa mpya mvinyo ule ule.
 
Africa hii kuna familia level nyingine? Familia gani? Wote wanaishi kwa neema za watawala. Siku watawala wakiamua, wote hawa tutawasahau. Unajisikiaje mtu akiua kiwanda halafu anaenda kukopa kwa biashara nyingine?
Juma ni mjinga we endelea kumuabudu.
 
Back
Top Bottom