Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
moja ya watu ambao wanajua kucheza na viongozi wa nchi.RA ni moja ya watu ambao ni smart. Anaichukulia very serious Tanzania. Anajua atanendelea kuchumua as long as he keeps his profile low and with no squabbles with politicians or the existing political and leadership system.
namkubali sana huyu mwanawane
always ana backup plan