Yule jamaa abaki nyuma ya pazia tuIkumbukwe kuwa Rostam Aziz alijiuzulu ubunge wa jimbo la Igunga kwa madai kuwa amechoshwa na siasa uchwara.
Je, sasa ataukubali wito wa mwenyekiti wa chama chake CCM Rais Magufuli kwamba kama vipi 2025 agombee ubunge Morogoro mjini na kumfurusha mbunge wa sasa Abood Aziz?
Ikumbukwe kuwa hawa wote ni Aziz.
Maendeleo hayana vyama!
Namshauri abood ajiuzulu ubungeIkumbukwe kuwa Rostam Aziz alijiuzulu Ubunge wa jimbo la Igunga kwa madai kuwa amechoshwa na siasa uchwara.
Je, sasa ataukubali wito wa mwenyekiti wa chama chake CCM Rais Magufuli kwamba kama vipi 2025 agombee ubunge Morogoro mjini na kumfurusha mbunge wa sasa Abood Aziz?
Ikumbukwe kuwa hawa wote ni Aziz.
Maendeleo hayana vyama!
2015 alicheza karata vibaya .Ni kweli ana akili nyingi sana lakini 2015 karata zilimshinda kucheza akakimbia na Lowasa Chadema akawekeza nguvu nyingi kule na washirika wake wa ndani na njr akijua atashinda!!!!! Ikala kwake!!
Kama 2015 Rostam hakupata pressure haji kupata tena.Mimi hata huwa sielewi kwa akili na connetions na networks alizo nazo Rostam za ndani na nje aliwezaje kweli kufikia Conclussion kuwa Lowasa atashinda? .Anyway aligundua kosa after 2015 akajirudi mbio
Gama alipata kuwa RC MorogoroJPM ana nguvu ya kumwambia sababu yeye sio Marehemu Lawrance Gama ambaye wakati ni RC alikuwa anaelewa nini Abood anafanya. For once lets think two steps ahead!
Kama alivyofanya Rostam Kule Igunga enzi za vua gambaNamshauri abood ajiuzulu ubunge
Tueleze tofauti yake ,Mkulu kamtaja NI mtu mmoja , alinunua viwanda avifufue ,badala yake akavichukulia mkopo ,mkopo akanuanua mabasi.Abood wa Mabasi na Mbunge ni watu wawili tofauti. Kama hujui nakujuza leo.
Morogoro haina mwenyewe bwashee!Kwa hiyo anamtaka agombee Moro kwani ndio jimbo lake? au yeye atampa kama walivyopewa wengine? Ina maana 2025 bado atagombea uraisi ili amsaidie huyu mhindi.
lRA ni moja ya watu ambao ni smart. Anaichukulia very serious Tanzania. Anajua ataendelea kuchumua as long as he keeps his profile low and with no squabbles with politicians or the existing political and leadership system.
Namkubali sana huyu mwanawane.
1:Alipo kuwa kigoma alimshauri Diamond agombee ubunge wa kigoma mjini.Ikumbukwe kuwa Rostam Aziz alijiuzulu Ubunge wa jimbo la Igunga kwa madai kuwa amechoshwa na siasa uchwara.
Je, sasa ataukubali wito wa mwenyekiti wa chama chake CCM Rais Magufuli kwamba kama vipi 2025 agombee ubunge Morogoro mjini na kumfurusha mbunge wa sasa Abood Aziz?
Ikumbukwe kuwa hawa wote ni Aziz.
Maendeleo hayana vyama!
Dua za wana Yanga ni kwa Rostam aweze kugombea ubungeRA ni moja ya watu ambao ni smart. Anaichukulia very serious Tanzania. Anajua ataendelea kuchumua as long as he keeps his profile low and with no squabbles with politicians or the existing political and leadership system.
Namkubali sana huyu mwanawane.
Sasa unamfananisha King maker Rostam Aziz na wakata viuno wa kampeni?1:Alipo kuwa kigoma alimshauri Diamond agombee ubunge wa kigoma mjini.
2:Alimshauri Harmonize agombee ubunge Tandahimba.
Vipi hao wote leo ni wabunge?
Huwa unajiuliza maswali na kuyajibu kabla ya kupandisha threads zako kweli?
Hapo naona unamkosoa hata mwenyekiti aliyesema kuwa Abood alikuwa anatumia vile viwanda kuchukulia mkopo wa kununulia mabasi.Abood wa Mabasi na Mbunge ni watu wawili tofauti. Kama hujui nakujuza leo.
Ukisema ccm jua ni pamoja na weweKwahiyo wewe unamjua Abood kuliko CCM inavyomjua?
Haya maneno unaniuliza mimi au aliyetoa ushauri?Sasa unamfananisha King maker Rostam Aziz na wakata viuno wa kampeni?
Bure kabisa wewe.