Je, Sabaya naye kurejeshwa?

Je, Sabaya naye kurejeshwa?

Baada ya kumrejesha Makonda , Dr Hangaya akitetea uamuzi wake huo alisema kwamba , Makonda hakuwahi kuikosea ccm , " mligombana wenyewe kwa wenyewe huko "

Sasa kwa vile Sabaya naye hakuwahi kugombana na ccm , bali aligombana na aliowateka kwa mtutu wa bunduki , huku akiweka namba za kizushi za UN kwenye magari aliyoyatumia kwenye uharamia huo , na labda aliweka Chumvi kwenye injini za magari ya Mbowe ili kuyaharibu , Je sasa naye atalamba shavu ?

View attachment 2796909
Makonda ambae ujio wake umeharibu hali ya hewa uko CCM, unataka waongezee tena Sabaya? Vijana wasiokuwa na utu, haya wala adabu ndiyo unawataka? Siku za Makonda zinahesabika ktk huo uenezi. Kama alichokwa na jpm aliyekuwa muhumini wa siasa za mabavu na matukio, Samia atagundua muda si mrefu kuwa kaingia chaka kumuamini Makonda.
 
Baada ya kumrejesha Makonda , Dr Hangaya akitetea uamuzi wake huo alisema kwamba , Makonda hakuwahi kuikosea ccm , " mligombana wenyewe kwa wenyewe huko "

Sasa kwa vile Sabaya naye hakuwahi kugombana na ccm , bali aligombana na aliowateka kwa mtutu wa bunduki , huku akiweka namba za kizushi za UN kwenye magari aliyoyatumia kwenye uharamia huo , na labda aliweka Chumvi kwenye injini za magari ya Mbowe ili kuyaharibu , Je sasa naye atalamba shavu ?

View attachment 2796909
Hivi kwanini hawa vijana mnawaogopa sana?,hasa mwenyekiti wenu Mbowe anawaogopa kwerikweri!
 
You can do whatever you want but ili mradi usiwauzi CCM. Beat, kill, steal but kama hujawauzi basi you are safe
 
Back
Top Bottom