Mtimkavuorg
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 655
- 527
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu wewe baki na roho mbaya yako na mawivu yasio na mpango..Kwa uchezaji alio cheza leo inaonyesha kabisa huyu jamaa hamna kitu, yaani hawezi kucheza ligi ya Uingereza. Magoli ya uchi anakosa kabisa, Villa walikurupuka katika usajili wa Samatta.
Sammata ni kama ronaldo
Hawadribble
Hawaassist
Hawakabi
Hawa play make
Hawafungi freeckick
Wao ni kufunga tu ikipatikana bahati
Duh! Mkuu unaitwa nani!? 😅chuki zinakufanya ufe wakati hata si wako
Kwa uchezaji alio cheza leo inaonyesha kabisa huyu jamaa hamna kitu, yaani hawezi kucheza ligi ya Uingereza. Magoli ya uchi anakosa kabisa, Villa walikurupuka katika usajili wa Samatta.
Acha kufananisha La liga na vitu vyakijinga.Watz tuache ushabiki issue samatta anatakiwa akaze epl pale nafasi ya kufunga ya uhakika huja mara moja moja kama leo kakosa kutokana na kukosa utulivu sasa nyie mnatukana tu mtu akisema AKAZE EPL SIO LA LIGA
Binamu niliwahi kuambiwa kumchukia mtu pasi sababu ni sehemu ya msongo wa mawazo eti. 😎Mkuu wewe baki na roho mbaya yako na mawivu yasio na mpango..
Wewe unaona hamna kitu Villa wanamuona atawasaidi kama sio leo kesho..
Bina chuki ufupisha maisha. Kwa maana uwenda ukachukia kitu usicho kijua... Bina usia huo 😁 ShadeeyaHahahaaa. Binamu niliwahi kuambiwa kumchukia mtu pasi sababu ni sehemu ya msongo wa mawazo eti. 😎
Binamu nililala nakuja kuamka dkk ya 77 nikamalizia zilizobakia. Sikuwa najua kama alianza aiseee. Japo nilimuona akishangilia goli lile la Mmisri.
Nionavyo mleta uzi atenge muda zaidi kumfuatilia.
Usiuzarau tukaja kufeli familia nzima..Nimeupokea Binamu.
Badala ya kuijadili timu unamjadili Samatta kana kwamba soka ni kama boxing vile mchezaji ni mmoja.Kwa uchezaji alio cheza leo inaonyesha kabisa huyu jamaa hamna kitu, yaani hawezi kucheza ligi ya Uingereza. Magoli ya uchi anakosa kabisa, Villa walikurupuka katika usajili wa Samatta.
Hakika binamu.Usiuzarau tukaja kufeli familia nzima..
hufupisha,huenda.Bina chuki ufupisha maisha. Kwa maana uwenda ukachukia kitu usicho kijua... Bina usia huo 😁 Shadeeya
Toa comments zako kuh huu uzi. Simu zingine hata ukiandika Kiswahili cha Mzee Mwinyi zina kataa..hufupisha,huenda.