The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 6,017
- 19,506
Aliyekufa ni kaoge huyo mwingine bado yuko hai anaendelea kugawaHivi huyo jamaa bado yuko hai?
Niliwai kusikia kua amefariki kipindi flani.
Hapana, nashangaa mara nyingi hua naletewa mashoga. Nadhani wao kwenye gender wameandika ni wanawake au wameandika wao ni wanaume wako interested na wanaume wenzao.Are you interested in men ?. Najua almost if not all Dating sites huonesha kitu umekitaka kwenye search filter au ulikuwa unatafuta marafiki wa kiume tinder
Ukiweka kwenye search upo interested na women hutowaona. Never mind me lakiniHapana, nashangaa mara nyingi hua naletewa mashoga. Nadhani wao kwenye gender wameandika ni wanawake au wameandika wao ni wanaume wako interested na wanaume wenzao.
Hua nakutana nao wengi ila kukutana na james ndio nikashangaa. Nilijua yuko jela kumbe yuko mitandaoni huku anatusumbua.
Iko hivi alwaysUkiweka kwenye search upo interested na women hutowaona. Never mind me lakini
NimeshakuelewaIko hivi always
View attachment 1475647
Sasa ww habari za huko sijui tinder unaleta humu za nn ziache huko huko kwani mwili ni wanani? Waserikali au wake.
Alafu kuna kipengele fulani shangazi alishawahi kukiweka cha sheria kuhusu yana mambo ya kuingiliana kinyume kilikuwa kina elezea kila mtu anahaki ya kufanya maana nimwili wake mwenyewe kujua atanisaidia kukiweka hiko kifungu hapa.