cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Ooooh babeeeeh nakujaaahHizi sinema hazikufai embu toka humu njoo kule
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ooooh babeeeeh nakujaaahHizi sinema hazikufai embu toka humu njoo kule
Hawa watu wanatesa sana familia zaoKuna wakati niliwahi kusikia serikali imewachukulia hatua watu wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja akiwemo james delicious na amber ruti.
Nimeuliza kwa sababu mara nyingi nawakuta hawa watu mitandaoni wakiendelea kujitangaza kua wanahusika na mapenzi ya jinsia moja au ya kinyume na maumbile.
Hebu angalia jamaa yuko Tinder anajiita cha utamu wa Dar es Salaam, yaani Dar es Salaam sweetheart.
View attachment 1475378View attachment 1475379
We ni choko nini, mbona unatetea mambo ya kishoga?!Sasa ww habari za huko sijui tinder unaleta humu za nn ziache huko huko kwani mwili ni wanani? Waserikali au wake.
Alafu kuna kipengele fulani shangazi alishawahi kukiweka cha sheria kuhusu yana mambo ya kuingiliana kinyume kilikuwa kina elezea kila mtu anahaki ya kufanya maana nimwili wake mwenyewe kujua atanisaidia kukiweka hiko kifungu hapa.
Nawatumia ndio maana nawatetea kifupi yani nafukua mitaro unataka kunipa kwani 😋We ni choko nini, mbona unatetea mambo ya kishoga?!
Hawa watu wanatesa sana familia zao
Inategemeana na makubaliano yako na dokta atakayekufanyia surgery nchini Thailand plastic surgery in bure katika baadhi ya hospitality za serikali hapo ndipo utakuta mashemale kibao katika mji wa Pattaya na BangkokHv inaweza kuwa bei gan mkuu..
Dah.. itabd tumchangie jamaa naul sasa..Inategemeana na makubaliano yako na dokta atakayekufanyia surgery nchini Thailand plastic surgery in bure katika baadhi ya hospitality za serikali hapo ndipo utakuta mashemale kibao katika mji wa Pattaya na Bangkok
Pitia kwa mangi pata 1 baridiiiii nakuja kulipa. Huu ndo uanaume wa shoka.Aisee mtu atafunwe tako lake huko chumbani aninyime usingizi mimi? nna mambo mengi ya kufanya mda hautoshi, kila mtu ashinde mechi zake
Naona umeamua kumpa promo.
Hao ni wanachama wa chama chakavu,na mtaji wao na wana wateja wakubwa sana,hawawezi kuchukuliwa hatua.Kuna wakati niliwahi kusikia serikali imewachukulia hatua watu wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja akiwemo james delicious na amber ruti.
Nimeuliza kwa sababu mara nyingi nawakuta hawa watu mitandaoni wakiendelea kujitangaza kua wanahusika na mapenzi ya jinsia moja au ya kinyume na maumbile.
Hebu angalia jamaa yuko Tinder anajiita cha utamu wa Dar es Salaam, yaani Dar es Salaam sweetheart.
View attachment 1475378View attachment 1475379