Je, Serikali haina Imani na Wataalamu wa ndani?

Je, Serikali haina Imani na Wataalamu wa ndani?

usatz

Member
Joined
Sep 4, 2016
Posts
96
Reaction score
45
Leo nimesikia kwenye Taarifa ya habari ya E FM radio, 93.7 Dar es salaam.

Kuwa Mradi wa Maji uliotolewa na World bank, Mkandarasi ni Mchina.

Juzi nikiwa maeneo ya madale niliona wachina wakiwa wanasimamia uwekaji wa mabomba ya maji maeneo hayo.

Swali ni kwamba?
1. Serikali haina imani na Wataalamu wazawa?
2. Mradi unamasharti ni lazima mchina afanye?
3. Dawasco hawana uwezo wa kuusimamia?
4. Chuo cha Maji pale Ubungo hawazalishi wataalam wa kiwango cha kupewa huo mradi?
5. Wataalam wa maji Tanzania hawana uwezo wa kusimamia huo mradi?
 
Mchina ana vitendea kazi na kazi itafanyika ndani ya mda husika.
Je wakandarasi wa bongo wana vitendea kazi vya kufanya kazi mda mfupi?
Wengi wakandarasi wa bongo wanapokea kazi wanauza tenda kwa wachina. .

Je expertise ikoje pia? Wakandarasi wa bongo unaweza kuwashibdanisha kulingana na mahitaji ya soko? Anaweza kwenda kujenga nje ya nchi? Au kujenga maghorofa yenye ufa. .
 
Nyie mnajua nini kwani zaidi ya uvivu na uwizi+upigaji

Ova
 
Back
Top Bottom