Je, Serikali imeamua kugawana 50/50 tozo za simu na Wamiliki wa mitandao?

Je, Serikali imeamua kugawana 50/50 tozo za simu na Wamiliki wa mitandao?

Hata kama inapitia trillion 12 kwenye makampuni ya simu haimpi fulsa Mwigulu kutuibia pesa zetu.
Kazi ya serikali ingekuwa kuboresha huduma za mawasiliano nchi nzima,na kwa tozo za awali serikali ingevuna mara tatu bila kelele kutokea ongezeko la wateja.
Lakini kwa upofu wa waziri huyu asiye na hekima na asiejielewa, anajimaliza kisiasa kwa mihemuko tu ya Zungu, ameamua kuuwa golden goose sijui hayo mayai ya dhahabu atayatoa wapi tena?
Usishangae Mama yetu akakugeuzia kibao atakapositisha tozo mpya,na wewe matarajio ya kuukwa uraisi 2025 yatayeyuka kama siagi.
Unachosema Mkuu ni sahihi kuhusu maboresho ya huduma za simu hadi vijijini, ndiyo maana Serikali ya awamu ya nne iliwekeza kwenye Ujenzi wa Mkongo wa Taifa.

Suala la kodi halikwepeki kama tunataka kupata maendeleo na kupunguza Utegemezi kwa Nchi wahisani.

Muhimu hii kodi ya simu ingekuwa fixed amount kama ni shilingi 100 iwe hivyo kwenye kila muamala sio sahivi kila muamala unakodi yake imefikia muamala unakodi ya shilingi 12,000 plus. Haya ni maumivu kwa Wananchi.

Ila suala la Kodi kama Nchi, halina mbadala. Lazima tulipe kodi Kama tunataka maendeleo na kuondokana na Utegemezi.
 
Angalau sasa kampuni za simu mmeamua kutoka hadharani kulipinga hili. vinginevyo muda utaamua kama kweli mtaweza kuendelea kutoa huduma katika mazingira ya kinyonyaji kama haya
 
Mtamkumbuka Magufuli mwamba wa Africa tuh fangasi nyie

20210719_033617.jpg
 
Back
Top Bottom