Sidhan kama ni suluhisho kwa jambo kama hiliKatiba mpya ni muhimu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sidhan kama ni suluhisho kwa jambo kama hiliKatiba mpya ni muhimu!
Kukwepa hakuna maana na hakuna namna ya kukwepa zaidi itakuwa crime, swala la msingi kwa nini serikali iongeze double cost kwa watu, hawakuliona hilo mapema??Mungu ametupatia akili hivi hakuna namna Bora ya kuepuka kufanya transaction kupitia mitandao hii? Hapa ndiyo muda wa kuwasikia vijana tuliowasomesha kwa Kodi zetu.
Tusingelipa maana tumemwona wote mzigo mkubwa namna hii kwa wananchi asingekubaliUnadhani hata angekuwa yeye JPM ndiyo tusingelipa hizo kodi za simu huku ameshauriwa na Waziri wake wa Fedha? Eneo la Mawasiliano hasa Simu ndiyo kwenye hela nyingi sana, Imagine Kwa Mwezi Mmoja fedha zinazopitishwa kwenye M-Pesa, Tigo Pesa, Airtel Money n.k zinafika shilingi 12 trilioni.
Mbona ile riba ya 15% ya Loans board iliongezwa naye, hakuna Serikali isiyohitaji kodi kujiendesha
Kuhusu Makato ya asilimia 15% hapakuwa na shida kubwa kivile shida ilikuwa kwenye zile asilimia 10 za adhabu ya kuchelewesha na ile ya 6% ya retention.lakini Makato ya kwenye mihamala ni ya kupinga na Kila mtanzania mwenye uelewa mpanaUnadhani hata angekuwa yeye JPM ndiyo tusingelipa hizo kodi za simu huku ameshauriwa na Waziri wake wa Fedha? Eneo la Mawasiliano hasa Simu ndiyo kwenye hela nyingi sana, Imagine Kwa Mwezi Mmoja fedha zinazopitishwa kwenye M-Pesa, Tigo Pesa, Airtel Money n.k zinafika shilingi 12 trilioni.
Mbona ile riba ya 15% ya Loans board iliongezwa naye, hakuna Serikali isiyohitaji kodi kujiendesha
Mzee aliyekwambia wanagawana nusu kwa nusu na mitandao nani? hizo tozo za zamani ilikuwa inaenda kwa wakala, mtandao na serikaliKutoa 100,000 ilikua 3600 sasa hivi 6,100
Kutoa 200,000 ilikua 5300 sasa hivi 8,240
Kutoa 300,000 ilikua 6500 sasa hivi 10,000
Kutoa 400000 ilikua 7000 sasa hivi 11,100
Kutoa 500,000 ilikua 7500 sasa hivi 12,700
Kutoa 600,000 ilikua 8000 sasa hivi 13,900
Kutoa 700,000 ilikua 8000 sasa hivi 15,100
Kutoa 800,000 ilikua 8000 sasa hivi 15,520
Kutoa 900,000 ilikua 8000 sasa hivi 16,900
Kutoa 1,000,000 ilikua 8000 sasa hivi 17,400
Kutoa 3,000,000 ilikua 10000 sasa hivi 20,000
Hiyo list ni ya MAKATO YA ZAMANI NA YA SASA .NA APO NI KUTOA KWA WAKALA.
BADO KUTUMA🤔
Maeneo ambayo Serikali Ina uhakika wa kupata kodi ni Mafuta na Simu. Labda kama utashauri vyanzo vingine mbadala vya kuisaidia Serikali kukusanya kodi.Kuhusu Makato ya asilimia 15% hapakuwa na shida kubwa kivile shida ilikuwa kwenye zile asilimia 10 za adhabu ya kuchelewesha na ile ya 6% ya retention.lakini Makato ya kwenye mihamala ni ya kupinga na Kila mtanzania mwenye uelewa mpana
Asingekubali kwa kuwa tayari alikuwa na uhakika wa kukusanya hela zaidi kupitia DPP kwenye makesi yake ya Uhujumu UchumiTusingelipa maana tumemwona wote mzigo mkubwa namna hii kwa wananchi asingekubali
Kodi dhurumatiUnatafuta ujanja wa kukwepa kodi??![emoji44]
Kodi dhurumati
Mwigulu ni mtu wa magufuli,hivyo aliyowaza magufuli ndiyo aliyowaza mwigulu.Mtamkumbuka Magufuli mwamba wa Africa tuh fangasi nyie
Bunge likikataa kupitisha bajeti ya serikali, RAIS Anayo haki ya kulivunja bunge. Ndio maana watu wanadai katiba mpya ili kuondoa au kupunguza hizi sheria zinazompa mamlaka makubwa Rais. .Kwa hiyo Rais akisema mbunge anatii,ndio kazi ya mbunge?
Mama anaonewa tu,
Wabunge 400 hawakuliona kwa kina
Rais nikupitisha sheria kama alivyopitisha sheria ya Kinga
Mbona yeye aliongeza kodi kwenye vifurushi vya kupiga simu na bundle au unadhani tumesahau pimbi wewe.Mtamkumbuka Magufuli mwamba wa Africa tuh fangasi nyie
Dikteta muuaji hamna mwenye akili timamu wakumkumbukaMtamkumbuka Magufuli mwamba wa Africa tuh fangasi nyie
Hata kama inapitia trillion 12 kwenye makampuni ya simu haimpi fulsa Mwigulu kutuibia pesa zetu.Unadhani hata angekuwa yeye JPM ndiyo tusingelipa hizo kodi za simu huku ameshauriwa na Waziri wake wa Fedha? Eneo la Mawasiliano hasa Simu ndiyo kwenye hela nyingi sana, Imagine Kwa Mwezi Mmoja fedha zinazopitishwa kwenye M-Pesa, Tigo Pesa, Airtel Money n.k zinafika shilingi 12 trilioni.
Mbona ile riba ya 15% ya Loans board iliongezwa naye, hakuna Serikali isiyohitaji kodi kujiendesha