Je, Serikali imeamua kugawana 50/50 tozo za simu na Wamiliki wa mitandao?

Je, Serikali imeamua kugawana 50/50 tozo za simu na Wamiliki wa mitandao?

Eeehh..Mr.babatii..umeanza tena na kwa mama..nazani ww n mmojawapo mliosema anaupiga mwingi pamoja na kina malisa godlisten..sasa anaendelea kuupiga mwingi..tulieni tuu..jmp mtamkumbukaa vzur sanaaaa..nasema vzur sanaaaa..
Binafsi mtu akifanya vizuri huwa namsifia sikatai lakini akileta ujinga namkosoa palepale
 
Unadhani hata angekuwa yeye JPM ndiyo tusingelipa hizo kodi za simu huku ameshauriwa na Waziri wake wa Fedha? Eneo la Mawasiliano hasa Simu ndiyo kwenye hela nyingi sana, Imagine Kwa Mwezi Mmoja fedha zinazopitishwa kwenye M-Pesa, Tigo Pesa, Airtel Money n.k zinafika shilingi 12 trilioni.

Mbona ile ripa ya 15% ya Loans board iliongezwa naye, hakuna Serikali isiyohitaji kodi kujiendesha
Kwahio serikali imeshindwa kuwa na ubunifu wa kutengeneza namna ya kupata hizo 12 trillions mpaka ikopi Idea kwa wenye mitandao ya simu kwa kuimpose double taxation!
 
hapo tayari umesha changia mwanao au mtoto wa ndugu yako akapate elimu bora, pia umesaidia ndugu yako popote alipo apate huduma bora hospitalini.
usijutie makato hayo, utafurahia huduma za afya, elimu na barabara.
mjenga nchi ni mwananchi, tujenge nchi yetu.
 
Tumeni hela kwa wakala moja kwa moja ili usipate makato ya kutuma.

Ikiwezekana, kama unayemtumia ana bank account, kwa transaction za kuanzia laki 4 na kuendelea bora umtumie kupitia bank, akitoa kwenye ATM makato hayazidi 2,000.

Kama mbwai na iwe mbwai, tutaacha kutumia simu tuone hizo solidarity zao watazikusanyia wapi.

Matokeo yake,
  • makampuni ya simu mapato yatapungua,
  • corporate tax zao zitapungua,
  • hawa vijana waliojiajiri watapoteza ajira maana watu wakutumia simu kutuma hela watapungua,

Mbaya zaidi, wamepunguza hadi commission walizokuwa wanaoata mawakala kwa about 40%. Vilio vya hawa vijana wanaojiajiri kwenye simu pesa, haitaiacha salama hii serikali. Ogopa sana nchi ambayo unafanya kitu halafu watu wanalalamika kwa machozi.
 
Nilikuwa nadhani ni utani tu siku zote niliposikia kuwa CCM ni Chama Cha Majambazi sasa hivi ndio nimeanza kuamini wasemayo wadau. Kwa hili la makato ya namna hii ni ujambazi wa kutumia silaha kabisa dhidi ya wenye kipato cha kawaida na wale wa chini kabisa.
Kama ni uzalendo kama walivyoubatiza ujambazi huu basi wangeanza na mshahara wa rais, mawaziri, wabunge na viongozi wengine wenye mishahara mkubwa ndio waje kwa mwananchi wa kawaida wanaotumia buku ya chakula na hata kununua chumvi kupitia MPESA, AIRTEL MONEY, TIGO PESA n.k.
Pili wangeachana na maVX watumie toyota harrier new model kwa rais, makamu na PM, toyota ist kwa mawaziri na watendaji wengine wa serikali, na toyota passo kwa wakuu wa mikoa,wilaya na wakurugenzi wote. Katibu tarafa, watendaji wa kata na vijiji na hata wenyeviti wa mitaa na vitongoji wapewe phoenix bicycle 🚲 badala ya pikipiki zinakula kodi za wanyonge.
Kisha hiyo kodi iende kuimarisha huduma za afya, maji, umeme na baadae barabara huko vijijini na si kuishia kwenye mifuko ya wachache wanaokuja kutoza kodi za kinyang'anyi kama hizi.
 
Tumeni hela kwa wakala moja kwa moja ili usipate makato ya kutuma.

Ikiwezekana, kama unayemtumia ana bank account, kwa transaction za kuanzia laki 4 na kuendelea bora umtumie kupitia bank, akitoa kwenye ATM makato hayazidi 2,000.

Kama mbwai na iwe mbwai, tutaacha kutumia simu tuone hizo solidarity zao watazikusanyia wapi.

Matokeo yake,
  • makampuni ya simu mapato yatapungua,
  • corporate tax zao zitapungua,
  • hawa vijana waliojiajiri watapoteza ajira maana watu wakutumia simu kutuma hela watapungua,

Mbaya zaidi, wamepunguza hadi commission walizokuwa wanaoata mawakala kwa about 40%. Vilio vya hawa vijana wanaojiajiri kwenye simu pesa, haitaiacha salama hii serikali. Ogopa sana nchi ambayo unafanya kitu halafu watu wanalalamika kwa machozi.
Naamini hata huko benki watapita muda si mrefu.
 
hapo tayari umesha changia mwanao au mtoto wa ndugu yako akapate elimu bora, pia umesaidia ndugu yako popote alipo apate huduma bora hospitalini.
usijutie makato hayo, utafurahia huduma za afya, elimu na barabara.
mjenga nchi ni mwananchi, tujenge nchi yetu.
Mkuu wewe. Walau umejaribu kuonesha nn juu ya haya makato
 
Kwahio serikali imeshindwa kuwa na ubunifu wa kutengeneza namna ya kupata hizo 12 trillions mpaka ikopi Idea kwa wenye mitandao ya simu kwa kuimpose double taxation!
Yanashindwa hata kuhalalisha bangi tukauze nje tupate kodi.

Tuna mapori yenye rutuba wanashindwa kulima bangi ...


Nasemaje Kodi ifike hata milion 2 ili watanzania akili ziwakae sawa
 
Kiukweli serikali haina pahala pengine pa kukusanya baada ya ile taskforce ya kuteka na kubambika kesi kuvunjiliwa mbali na mama
 
Mtamkumbuka Magufuli mwamba wa Africa tuh fangasi nyie
Hivi unajua kuwa yote haya ni zao la kuendesha kwake uchumi kindezi huku akiwavungeni kuhusu uchumi wa kati?
Ame paralyzed uchumi kwa miradi mikubwa isiyo mpangilio huku akikuza deni la taifa kijinga kabisa hadi mzigo huo sasa unabebwa na kundi jingine la mandezi (kina Mwigulu) kwa maumivu makubwa sana kwetu
 
Unadhani hata angekuwa yeye JPM ndiyo tusingelipa hizo kodi za simu huku ameshauriwa na Waziri wake wa Fedha? Eneo la Mawasiliano hasa Simu ndiyo kwenye hela nyingi sana, Imagine Kwa Mwezi Mmoja fedha zinazopitishwa kwenye M-Pesa, Tigo Pesa, Airtel Money n.k zinafika shilingi 12 trilioni.

Mbona ile ripa ya 15% ya Loans board iliongezwa naye, hakuna Serikali isiyohitaji kodi kujiendesha
Hizo hela sio za sekta ya mawasiliano tu.

Kumbuka zinatumwa kama malipo ya shughuli mbalimbali, kuchochea urahisi wa kufanya biashara na kusaidia jamii yako kwenye majanga.

Mitandao ni nyenzo tu ya kufikia mlengwa kama ilivyo benki.


Athari haitaishia kwa mitandao tu, itagusa na sekta nyingine hasa biashara, vibanda vya mpesa
 
Back
Top Bottom