Je, Serikali imewaruhusu Polisi kula Rushwa?

Je, Serikali imewaruhusu Polisi kula Rushwa?

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Nimezungumza na watu mbalimbali waliowahi kushikwa na polisi kwa makosa mbalimbali karibu wote wanasema walitoka polisi baada ya kutoa fedha.

Wengine waliachiwa kabla ya kufikishwa kituoni baada ya kutoa pesa.

Wengine waliachiwa baada ya kutoa pesa ambayo polisi waliziita pesa ya kumdhamini mtuhumiwa huku kesi ikipelekwa mahakamani.

Polisi wa barabarani almaarufu trafiki wamejiwekea kiasi rasmi. Ilikuwa kila daladala wakilipiga mkono lazima idondoke sh.200, baada ya mafuta kupanda serikali ilitangaza bei mpya za nauli nao trafiki wakaongeza 50% ikawa sh. 3000.

Wanaichukua bila kificho, gari ikisimama konda ndiye hushuka na kumpa 3000 trafiki safari inaendelea.

Je, serikali hii tukufu imewapa polisi ruksa ya kula rushwa?

Ni tatizo la miaka mingi.
 
Kwani mkuu we ni mgeni Bongoland?

Ni hv Polisi hukamata watu ili wapate maokoto.

Mbaya zaidi polisi anaweza kumkamata mhalifu na kesho yake mhalifu unamuona mtaani.

Hii kitu ni utamaduni. Na pia polisi wanajua kutengeneza kesi wakikupania hata Kama huna kosa.
Kitu cha kukuokoa sio mwanasheria bali pesa yako
 
Nimezungumza na watu mbalimbali waliowahi kushikwa na polisi kwa makosa mbalimbali karibu wote wanasema walitoka polisi baada ya kutoa fedha.

Wengine waliachiwa kabla ya kufikishwa kituoni baada ya kutoa pesa.

Wengine waliachiwa baada ya kutoa pesa ambayo polisi waliziita pesa ya kumdhamini mtuhumiwa huku kesi ikipelekwa mahakamani.

Polisi wa barabarani almaarufu trafiki wamejiwekea kiasi rasmi. Ilikuwa kila daladala wakilipiga mkono lazima idondoke sh.200, baada ya mafuta kupanda serikali ilitangaza bei mpya za nauli nao trafiki wakaongeza 50% ikawa sh. 3000.

Wanaichukua bila kificho, gari ikisimama konda ndiye hushuka na kumpa 3000 trafiki safari inaendelea.

Je, serikali hii tukufu imewapa polisi ruksa ya kula rushwa?

Ni tatizo la miaka mingi.
Kwaiyo umeona polic wanaokula mabilion uwaoni ao
 
Polisi ni Wala rushwa wa hali ya juu nimetok kumtahadharisha kijana muda mchache uliopita anahitaj KUJIUNGA na JESHI la POLISI lkn kuna mbanga inatak milion 4 cash kwa sabab ni degree holder na hio mbanga inataka ipewe sasa muda huu Ambao pdf haijatok nimempa warning wengin ni matapel aisee nawachukia polis km kitu gan wao kila kitu ni rushwa tu
 
Nimezungumza na watu mbalimbali waliowahi kushikwa na polisi kwa makosa mbalimbali karibu wote wanasema walitoka polisi baada ya kutoa fedha.

Wengine waliachiwa kabla ya kufikishwa kituoni baada ya kutoa pesa.

Wengine waliachiwa baada ya kutoa pesa ambayo polisi waliziita pesa ya kumdhamini mtuhumiwa huku kesi ikipelekwa mahakamani.

Polisi wa barabarani almaarufu trafiki wamejiwekea kiasi rasmi. Ilikuwa kila daladala wakilipiga mkono lazima idondoke sh.200, baada ya mafuta kupanda serikali ilitangaza bei mpya za nauli nao trafiki wakaongeza 50% ikawa sh. 3000.

Wanaichukua bila kificho, gari ikisimama konda ndiye hushuka na kumpa 3000 trafiki safari inaendelea.

Je, serikali hii tukufu imewapa polisi ruksa ya kula rushwa?

Ni tatizo la miaka mingi.
 
Nimezungumza na watu mbalimbali waliowahi kushikwa na polisi kwa makosa mbalimbali karibu wote wanasema walitoka polisi baada ya kutoa fedha.

Wengine waliachiwa kabla ya kufikishwa kituoni baada ya kutoa pesa.

Wengine waliachiwa baada ya kutoa pesa ambayo polisi waliziita pesa ya kumdhamini mtuhumiwa huku kesi ikipelekwa mahakamani.

Polisi wa barabarani almaarufu trafiki wamejiwekea kiasi rasmi. Ilikuwa kila daladala wakilipiga mkono lazima idondoke sh.200, baada ya mafuta kupanda serikali ilitangaza bei mpya za nauli nao trafiki wakaongeza 50% ikawa sh. 3000.

Wanaichukua bila kificho, gari ikisimama konda ndiye hushuka na kumpa 3000 trafiki safari inaendelea.

Je, serikali hii tukufu imewapa polisi ruksa ya kula rushwa?

Ni tatizo la miaka mingi.
Ulikwisha ambiwa hela ya brashi sasa wewe bado unataka nini?
 
Back
Top Bottom