Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani alikudanganya?Tz hii waajiriwa wasio omba na kupokea rushwa ni magereza walimu na jwt basi.
HApo na wewe unatoa rushwa polisi kisheria hawaruhusiwi kupokea kesi za madai na wameshaonywa mara nyingi ila ndio njia yao ya kula rushwa, mashauri ya madai ni mahakama tu ndio inaruhusiwaJana nimemtuma dogo akachukue RB ili tumkamate mdeni wetu, akaambiwa RB lazima atoe chochote kitu. Hii nchi bwana.
Mdeni na police wapi na wapi!? Ndiyo maana mnapigwa pesa na police!!Jana nimemtuma dogo akachukue RB ili tumkamate mdeni wetu, akaambiwa RB lazima atoe chochote kitu. Hii nchi bwana.
Wewe umeona hao tu.Kwahiyo katiba inaruhusu watu wenye mishahara midogo kula rushwa?
Mkuu wa kaya alishasema kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake. Acha na wao wale kwa urefu wa kamba yao.Kwahiyo katiba inaruhusu watu wenye mishahara midogo kula rushwa?
Sasa kufisadi ruksa?Mkuu wa kaya alishasema kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake. Acha na wao wale kwa urefu wa kamba yao.
Sent from my HUAWEI NMO-L31 using JamiiForums mobile app