Je, sex tamu pasipo kumwaga?

Je, sex tamu pasipo kumwaga?

Hili swali ni kwa Me au Ke?

Maana kama ni Me kushusha shehena ndio raha yenyewe...

Kwa Ke sijui ila nadhani wao inawezekana maana hata hivyo wengi tunawaweka tu ila watakuambia "babe I enjoyed" wakati unaona kabisa huyu hakupanda hadi kileleni.
 
Copy&Paste kutoka facebook

SAYANSI YA ALKEMIA YA NGONO NA UCHAWI WA NGONO-SEXUAL MAGIC NA UFUNGUZI WA KUNDALINI -NGUVU YA NYOKA.

Na Bro James Lordy Kashirina

👉Kimya cha james kashirina kinakuwaga si cha kawaida , nilkitokmea huwenda nipo bussy ama kuna tafiti maridhawa na bora nipo nazifanyia kazi

👉Sasa nimekamilisha utafiti ambao ni bora na rahisi ni utafiti wa uhakika kwa asilimia 100%, ni kama vile nilipo kuwa nikiwaleteeni Codes na zikawaletea majibu na wengine kushangaa, sijasahau maswala ya Codes nilisitisha kwa sababu maalumu kwasasa nimetenganisha na kutengeneza uwanja wake maalumu.

👉Sasa nina utafiti ambao nimeupokea ni utafiti wa uhakika kama kawaida yangu , Utafiti unahusisha kufungua nguvu ya nyoka THE SERPINE FIRE - Moto wa nyoka au moto wa roho mtakatifu - The holy ghost fire.

Nishati ya kundalini ni nguvu ya nyoka au nyoka aliyelala aliyezorota ni nguvu kuu ya kiungu ndani kila mtu aliye kama nyoka chini ya kitako cha uti wa mngongo at the base pf the spine , katika ulimwengu ambao tunaita THE MULADHARAH WORLD.

👉Utafiti ni rahisi mno ni utafiti mwepesi. Utafiti huo tunataka kufungua kundali au unatuka na kutuelekeza mbinu ya kufungua kundalini haijaridhi umeoa haijarishi umepiga puri sana.. zoezi ni jepesi ... ila ugumu upi padogo sana lakini kuna kaugumu

👉La pili mbinu hiyo yakufungua nguvu ya kundali / nguvu ya nyoka ndani yetu itakayo tufanya kuwa Miungu tungali wanadamu na hii ni kweli, naandika kama kawaida kama utani lakini tutasikia na mtazidi kumu -acknowledge James lordy kashirina as the True and Only Gnostic Teacher Ever.

Mbinu hiyo ni ya Kibaguzi inawataka na kuwasaidia WANAUME TU.

👉Katika mbinu hiyo tutaona na tutafanya kwa vitendo namna ya kunyanyua nguvu ya kundalini kupandisha mafuta matakatifu kwenye ubongo na hsyimaye kuweza kuonana na Mungu uso kwa uso .

Kiongozi maarifu wa wagnostic BW SAMAEL AUN WEOR amasema "msanadamu atafanyika kuwa kiumbe kipya, hatokuwa tena mwanadamu, bali Mungu katikatikati ya wanadamu "

👉Mbinu hiyo ina masharyi yafuatsyo;-

Watakao kuwa miongoni mwa watalkao jifunza mbinu hiyo lazima wale kiapo cha usiri cha kuto kumwambia mwingine. Na kuwa waaminifu.

Cha pili mbinu hiyo ya kunyanyua Nguvu ya uhai na kunyanyua nguvu ya Kundalini ..Inafanywa kwa kutumia TENDO LA NDOA na ni mbinu inayo wahusu wanaume tu.

unatakiwa kutafuta mwanamke (unaye taka kuchanganya nguvu zako na zake su kufyonza nguvu zake) unapo mtomb** mwanamke huyo kuna MANTRA unatamka '- Unapo ingiza na kutoa ukeni unatamka hiyo Mantra ... Ila wafanyaji wanatakiwa kula kiapo cha usiri... kuna Cherubim/Kerubi atakuteremkia anarhusika na nguvu za mwanamke na mwanaume za ngono... na ndiye mfunguzi wa malango ya nguvu zilizo fichwa za binadamu na Ngono au tendo la ndoa ni UFUNGUO.

👉Wakati wa zoezi hilo la kuingiza uume kwa mwanamke wako na kutoa huku ukitamka mantra yako

MTIHANI NI KWAMBA - Hutakiwi kumwaga. Fanya tendo hilo sharti ambalo ni gumu katika mbinu hiyo unapo lala na mwanamke epuka kumwaga au kujiridhisha .. Fanya mazoezi kuanzia sasa uwe unafanya tendo la ndoa na mwanamke mpaka mwisho au mpaka anaridhika lakini hakikisha wewe humwagi na baada ya hapo wala usipige puli usimwage.

1. Mtu ana sehemu tatu yaani mwili, nafsi na ROHO.
2.ROHO ni NAFSI YA NDANI.

3.Nafsi no Dhamiri, ambayo mwili wake wa majimaji (fluidic body) huitwa mwili wa anga la kiroho (Astral body).

4.Mwili wa kifizikia ni Shetano ndani yetu.

5.kati ya NAFSI YA NDANO na mwili, mpatanishi yupp; mpatanishi huyo ni Nafsi, mwili wa ndani -mwili wa anga la kiroho.

6.Kila mchawi anapaswa kujifunza kusonga na kutembea , katika mwili wake wa kiroho na katika hali isiyo na kipimo.

7.Nafsi (mwili wako wa ndani) inatakiwa ijifunze kuingia na kuuacha mwili ipendavyo.

8.Wanafunzi wetu wote wanapaswa kujifunza kuucha mwili au kutoka nje ya mwili .

9.Wanafunzi wetu wote wanapaswa kujifunza kusafiri katika mwili wao wa ndani wa anga la kiroho.

10. Wanafunzi wetu wote wanapaswa kujifunza kupenya na kuzifikia nguvu zao za uchawi.

11.Masharti ni manne tu, ambayo yanahitajika ili uwe mchawi, ni kama ifuatavyo;-

12. Unatakiwa kujua jinsi ya kuteseka, jinsi ya kunyamaza, Jinsi ya kujiepusha na jinsi ya kufa.

13. Mtu (yeyote) ambaye amekuza nguvu zake za uchawi (ina maana ya kwamba) ana nguvu juu ya miale na volkano katika mlipuko.

1Katika Alkemia ya Ngono au alkemia ya kubadili metali za kawaida kuwa dhahabu ...katika alkemia ya ngono Mwanamke ndiyo Athena . Athena ni aina ya tanuru linalotumiwa na wataalam wa Alkemia, linalo weza kutunza joto la kawaida kwa muda mrefu. Ili dhahabu iwe dhahabu lazima ipitishwe katika michakato ya usafishwaji na hupitishwa katika moto ili kupata shahabu iliyo safi. Sasa katika alkemia ya ndani ya miili yetu ...mwanamkw ndiye Tanuru la Moto (furnance) .. na kitendo cha kuingiza uume katika uke ni kitendo cha kusafisha dhahabu au kubadili metali za kawaida kuwa dhahabu ..kama vile madin ya dunia hii yaliyopo chini ya ardhi yalitokana na udongo wa kawaida kutokana na joto kali la muda mrefu ukabadilika kuwa dhahabu chiniya ardhi - underworld... kwenye uke wa mwanamke ndiko Underworld.. Ukisikia "Jiwe walilo likataa waashi/mason limekuwa JIWE kuu la pembeni"

Jiwe kuu la Pembeni ni Corner stone , ambayo mason wanaita THE BLACK STONE au Jiwe jeusi kwa waislamu .

JIWE JEUSI au JIWE KUU LA PEMBENI lipo underworls au chini ya ardhi. Na chini ya ardhi/kuzimu au underworld ni ndani ya Uke wa mwanamke .. inatakiwa lisafishwe na kuinuliwa likiwa kito cha thamani chenye kung'aaa dhahabu au almas ...

kwahiyo Mwanamke ndiyo mchambuzi wa Alkemia ya ngono.

15.Mwanadamu alitoka peponi kupitia Milango ya EDENI na EDENI ndiyo NGONO yenyewe.

16. Mlango wa Peponi ni NGONO.

17.Anaye taka kuingia EDENI ni lazima atafute mlango.

18. Mwanamke ni Mlango.

19.Watu wa Mashariki wanazungumzia juu ya Jambo hilohilo yaani kuamka kwa KUNDALINI.

19. Kundalini ni moto mtakatifu wa ROHO MTAKATIFU.

20.Kundali ni Moto wa Kipentekoste.

21.Kundalini ni Nyoka mwenye hasira na mwenye nguvu zetu za kichawi.

22.Kundalini ni Moto wenye nguvu sana.

23.Moto huo wenye nguvu sana umefungwa kwenye chakra ya Muladhara...root chakra

24. Muladhara chakra ndiyo kanisa la Coccygeal.

25. Chakra ya Muladhars ipo kwenye coccyx.

26. Chakra ya Muladhara ina petali nne zinazo unda msalaba.

27. Huo ndio Upanga Uwakao (moto).

28. Kwa upanga huu wa moto, mwanafunzi huamsha nguvu zake zote na kufanyika kuwa mfalme na kuhani wa Ulimwengu na kupata mamlaka jui ya dunia, maji, moto na hewa.

29. Kando ya Medulla ya Mgongo kuna mfereji unaoitwa SUSHUMNA upande wa mashariki.

30. Katika mfereji huo wa Medulla kuna njia nzuri ya neva ambayo kundalini hutumia kupanda.

31. Kundalini inapo inuka kupitia Medulla ya Mgongo, nguvu zetu zote za Uchawi huamka.

32. Siri ya kuamsha nguvu ya Kundalini ni kama ifuatavyo:

33.INGIZA UUME WAKO KATIKA UKE WA MWANAMKE NA ONDOA BILA KUMWAFA SHAHAWA.

34. Tamaa iliyo zuiliwa (kujizuia kufika kileleni) itasababisha kioevu chetu cha shahawa au majimaji ya shahawa kupanda juu kichwani.

35. Na hatimaye Kundalini yetu itaamka.

36. Hivi ndivyo wanafunzi wetu wanavyo weza kuwa Miungu. (Pia maelezo zaidi uta yapata katika nakala inayo itwa "Matibabu ya Alkemia ya Ngono")

37. Zoezi hili linafanyika polepole.

38. SIRI kwamba wakati unapokuwa KWENYE tendo la ndoa na mwanamke tumia mantra "DIS", "DAS" "DOS"

39.Mtu yeyote LAZIMA arefushe herufi hizi ...tamka kama ifuatavyo

40. DIIIIIIIIIIISSSSSSSSSSSSSDAAAAASSSSSSSSSSSDOOOOOOSSSSSSSSSSSS

42.Wakati WA zoezi hili, kerubi anayeitwa Hermaphrodite, ambaye ana uwezo wa kutufungulia chakra ZOTE na kutugeuza kuwa miungu, huundwa katika ANGA la kiroho

wakati wa zoezi hilo, Kerubi anaye fahamika kama Hermaphrodite, ambaye ana uwezo wa kutufungulia Chakras zote na kutubadilisha kuwa MIUNGU, huundwa katika anga la kiroho (astral plane).

Makerubi hao wanafanana na mmoja ni mwanamume na mwingine ni mwanamke.

Makerubi hao ni hermaphrodite kabisa kwasababu wana viungo vya ngono vya mwanamume na mwanamke.

👉Makerubi hao huundwa wakati wanandoa wameunganishwa kingono.

👉Makerubi hawa huzalishwa wakati wa maono ya uchawi wa kingono.

👉Makerubi hawa wana nguvu zote za EDEN

👉Makerubi hawa wana nguvu zote ambazo mwanamume na mwanamke walikuwa nazo kabla ya anguko lao.

👉Makerubi hawa wana Funguo za EDENI

👉Mwanaume na mwanamke walio unganika wakati wa maono ya uchawi wa ngono wanapaswa kwa pamoja kuwaamuru makerubi, na wakati huo huo kuamsha Nguvu yao ya Kundalini, na kufungua chakra zao zote pamoja na Jicho la tatu.

👉Mwanamume na mwanamke watatoa amri kwa Makerubi na Makerubi watatii na WATAFUNGUA NGUVU ZAO ZOTE ZA UCHAWI.

👉Wale wanaotaka kujigeuza kuwa MIUNGU kufanana na Mungu, hawapaswi kabwe, kumwaga tone moja la shahawa maishani mwao.

Kwa kumwaga tone moja pekee, inatosha kupelekea kushindwa kazi hii ya kufanana na Mungu

👉Uchawi wa kujamiiana unaweza kufanywa kati ya mume na mke tu na katika nyumba halali.

Kufungua nguvu ya kundali , au safari ya kundalini Ni kwaajili ya aachache. Tunapo sema wachache si kwamba ni siri tu, bali si kila mmoja anaweza kuwa tayari kutokana na ugumu wa maamuzi.

Ili kufungua kundalini MWANAUME HUTAKIWI KUMWAGA SHAHAWA ZAKO DAIMA HATA TONE MOJA.

Mwanamke , ili kufungua nguvu ta kundalini DEVI KUNDALINI, hutakiwi kufika kileleni daimaaa

Huu ndio ukweli mchungu, wengi wana mafundisho ya kutia moyo aijui wameyapata wapi? Wanafariji kwasababu uongo unafariji na kutia moyo. Lakini mwisho wake ni uharibifu. Kundali ili upate kuifungua kwanzia sasa sahau kufika kileleni au kumwaga shahawa. Ukilazimisha ..unajijua una mwaga mwaga mbegu zako alafu ukaanza kufanya michakato ya kufungua kundalinu

UTA PALALYZE, UTAPATA STROKE, UTAPATA MAUMIVU YA MGONGO MAKALI MPAKA MWISHO WA MAISHA YAKO NA KUNDALINI HAITO FUNGUKA

Nimekupeni ukweli mweupe najua ukweli huvunja na kuumiza lakini kama upo katika kweli hufariji.

Wengi wakisikia ukweli hukata tamaa kabisa, lakini ukweli ni ukweli hauwezi kubadilika. Ni mara nne sasa naongelea kutunza mbegu zako na kwamba ufunguzi wa kundali unawahitaji walio tunza mbegu zao.

Kundalini hufunguliwa kwa DIGRII au shahada ..hupanda taratibu kwa shahada au digrii. Ikifika digrii ya 20, alafu kwasababu zozote utakazo ziita bahati mbaya ..ukakosea ukamwaga mbegu .. huporomoka na kuanza upya na kunyanyua twna uya utaratibu huwa mgumu zaidi kuliko mwanzo.

Mtihani wetu hapa ni kujizuia kuto kumwaga shahawa majaribu yale ya hisia za raha zinazo shawishi kumwaga ni Demon au mapepo huko underworld kweny uke wa mwanamke. Unatakiwa kuishinda hiyo tamaa ...hapo utaweza kuwa kama Mungu utatawala juu ya wote. Na hutoweza kujirudia tena kuzaliwa kifizikia katika dimension ya 3D dimension.

wewe unaetaka kuvuna nishati za wanawake kuwaibia ngu zao, unatakiwa kujihusisha na Ngono za wanawake wengi lakini kila mwanamke unapo lala nae mpaka mwisho wa tendo hakikisha humwagi ukifanikiwa unakuwa tayari umemuibiwa au umevuna nishati yake .. VINGINEVYO UNAJIDANGANYA UTAPATA UKIMWI BURE
 
sisi waafrika hadi muda huu mutu amefikisha miaka 35 lakini inawezekana amejaza pipa ndio maana wengi wetu tunazeeka na kufa mapena na kutokuendelea.

Kuna kitabu nilisoma kinasema sex bila kumwaga inawezekana..

Je, kweli sisi Afrika ukidumbukiza tu utaweza ku control hisia?

Kuna faida nyingi sana kuliko kumwaga kutapanya
Hii inawezekana nami huwa naifanya sana tu kwa mtu wangu. Yeye akishafika kileleni anakuwqga hoi nami huitumia nafasi hiyo kutokuendelea. Ila hii hali ina muda na muda kuna siku pia huwa najiambia leo simwagi lakini baadae hisia zinanizidia na naamua kuendelea mpaka namwaga.
 
Hili swali ni kwa Me au Ke?

Maana kama ni Me kushusha shehena ndio raha yenyewe...

Kwa Ke sijui ila nadhani wao inawezekana maana hata hivyo wengi tunawaweka tu ila watakuambia "babe I enjoyed" wakati unaona kabisa huyu hakupanda hadi kileleni.
Kwangu mimi ni tofauti. Raha ni kuona muunganiko wangu na mwandani wangu i.e ile bond baina yetu na hasa ninapoona namna anavyogaragara kwa raha na utamu na starehe, anavyohangaika kwasababu ya chuma nachompa weeeeeh! hakuna kitu mwanaume anaskia raha kama hiyo.

Kumwaga ni ukamilisho tu wa hilo
 
Yes is possible , and there's a lot of benefits.

Inaitwa "semen retention" you can do sex without ejaculation .

Pia kikawaida -unapopata hisia za kufanya ngono unaweza kuzihamishia hizo hisia sehemu nyingine na ukazalisha kitu fulani kizuri na sio kuizuia hiyo nguvu bila kufikiria wapi unabidi kuielekeza.

Ukifanya hivyo ndo kuna ambao ujichua Sana na wengine hutawaliwa na lusting thoughts.
Mkuu ufafanuzi kidogo kuhusu hii ishu ya kuhamisha nyege katika jambo lingine, sijawahi kuelewa how maana nilisikia hata napoleon hill aliiongelea lakini sjaelewa vyema
 
Ki-roho ni hautakiwi kabisa kupiga mbupu mwanamke ambaye hujamuoa... ( Zinaa Ni maagano )
full stop.Umesema ukweli..tena aziniye na mwanamke hana akili anafanya jambo linalomuangamiza nafsi yake mwwnyewe kiroho
Dhambi nyingine zote hufanyuka ni nje ya mwili wake isipokuwa zinaa mtu hufanya dhambi juu ya mwili wake mwenyewe.
Usiwape wanawake nguvu zako(shahawa/mbegu zako)
Ila zinaa ni moja ya dhambi mbaya sana zinazoweza kukuharibia maisha yako hatima yako,hata mauti ,DHAMBI NI MAUTI.
Tusijisifu katika kutenda dhambi ,tuikimbie dhambi ya zinaa na dhambi nyingine zote.
 
full stop.Umesema ukweli..tena aziniye na mwanamke hana akili anafanya jambo linalomuangamiza mwwnyewe kiroho
Dhambi nyingine zote ni nje ya mwili wake isipokuwa zinaa mtu hufanya juu ya mwili wake mwenyewe.
Usiwape wanawake nguvu zako(shahawa/mbegu zako)
Ila zinaa ni moja ya dhambi mbaya sana zinazoweza kukuharibia maisha yako hatima yako ,DHAMBI NI MAUTI.
Tusijisifu katika kutenda dhambi ,tuikimbie dhambi ya zinaa na dhambi nyingine zote.
Wacha weee!
Kwa hiyo Baba yako ni mkosefu kwa kujamiiana na mama yako hata akakuzaa wewe.
 
Wacha weee!
Kwa hiyo Baba yako ni mkosefu kwa kujamiiana na mama yako hata akakuzaa wewe.
hapo nimequote comment iliyokuwa against ZINAA ,nami nime comment ku cement against zinaa ,hayo niliyoeleza ni baadhi ya consequnces za dhambi ya zinaa..na warnings tulizopewa wanadamu kutoka mafundisho ya biblia yanayotuasa against dhambi ya zinaa,kwamba tuikimbie mbio kabisa zinaa.

2),kuna tofauti kati ya tendo la ndoa na zinaa ,ni busara kuheshimu wazazi wetu na kiheshimu ndoa za wazazi wetu .
 
hapo nimequote comment iliyokuwa against ZINAA ,nami nime comment ku cement against zinaa ,hayo niliyoeleza ni baadhi ya consequnces za dhambi ya zinaa..na warnings tulizopewa wanadamu kutoka mafundisho ya biblia yanauotuasa against dhambi ya zinaa,tukikimbie...

2),kuna tofauti kati ya tendo la ndoa na zinaa ,ni busara kuheshimu wazazi wetu na kiheshimu ndoa za wazazi wetu .
Hapo sawa mkuu.
 
Back
Top Bottom