Je, shahada ya sayansi katika Kemia ni ualimu?

Je, shahada ya sayansi katika Kemia ni ualimu?

Samahan pia wadau wangu mm pia nmechaguliwa vyuo viwili yaan 1;;; WATER INSTITUTE kozi ya water resources and irrigation engineering lakini pia 2! UDOM kozi ya Bachelor of science in chemistry...................naimani nitapata ushauri mzuri katika kozi ipi nisome naombeni ushauri ndugu zangu nataguliza shkrani saaana
kwa ushauri tu kijana piga irrigation hutojutia sana, ila hiyo chemistry asikudanganye mtu ni kisanga ukimaliza otherwise usome unaipenda tu au hauna haja ya ajira baadae...
 
kwa ushauri tu kijana piga irrigation hutojutia sana, ila hiyo chemistry asikudanganye mtu ni kisanga ukimaliza otherwise usome unaipenda tu au hauna haja ya ajira baadae...
Asanteh saana mkuuu
 
kwa ushauri tu kijana piga irrigation hutojutia sana, ila hiyo chemistry asikudanganye mtu ni kisanga ukimaliza otherwise usome unaipenda tu au hauna haja ya ajira baadae...
Ukiona Course yoyote inataja Somo bila education ujue ushapigwa maana inakua ishakupunguzia wigo wa ajira. Kama ni Physics/Chemistry with education akapige ila kama imestand alone aachane nayo.

Huo ukemia wanaousemea c ndo huo Wanausoma watu wa BLS pale SUA na MUST tena wale wananafasi kubwa zaidi. **** anapenda ukemia akapge Laboratory science with Biotechnology ipo SUA.
 
Je bachelor of science in physics yenyewe ajira zake zipoje?
Ndo yale yale Mkuu. Kama vp c uombe tu engineering zingine au education pure kabisa kama hujaipenga hiyo Water/Irrigation.
 
Ukiona Course yoyote inataja Somo bila education ujue ushapigwa maana inakua ishakupunguzia wigo wa ajira. Kama ni Physics/Chemistry with education akapige ila kama imestand alone aachane nayo.

Huo ukemia wanaousemea c ndo huo Wanausoma watu wa BLS pale SUA na MUST tena wale wananafasi kubwa zaidi. **** anapenda ukemia akapge Laboratory science with Biotechnology ipo SUA.
Shkran saaana bro nazidi kuelewa
 
Tafadhal hapa naomba nikurekebishe kdg,
Kuhusu mshahara wake ni kama Pharmacist, SI KWELI!

Degree kozi ya Pharmacy (Bpharm) ni 4 yrs + 1 yr internship, na koz ya Chemistry ni 3 yrs kama sijakosea, hapo pekee washatofautiana kwenye mshahara.

Then Bpharm ni ipo category ya Afya ktk ngaz ya mshahara hiyo ni nje ya afya, so tayar gap la mshahara hapo pia!

Ingawa zote zote zimejikita ktk chemistry lakin hazifanan ktk applications ni vitu viwili tofauti!
Mkemia hauna taarifa zake za kutosha nakusihi uzitafute
 
Tafadhal hapa naomba nikurekebishe kdg,
Kuhusu mshahara wake ni kama Pharmacist, SI KWELI!

Degree kozi ya Pharmacy (Bpharm) ni 4 yrs + 1 yr internship, na koz ya Chemistry ni 3 yrs kama sijakosea, hapo pekee washatofautiana kwenye mshahara.

Then Bpharm ni ipo category ya Afya ktk ngaz ya mshahara hiyo ni nje ya afya, so tayar gap la mshahara hapo pia!

Ingawa zote zote zimejikita ktk chemistry lakin hazifanan ktk applications ni vitu viwili tofauti!
Tatizo kubwa la Waswahili huwa mnatengeneza vitu kichwani na vijisababu vyenu visivyo na kichwa Wala miguu halafu mnaanza kuviamini kama dini.

Hicho ulichoandika hata ukiulizwa umekitoa kwenye mwongozo upi huna.
 

Attachments

  • Screenshot_2022-08-24-05-50-54-548_com.adobe.reader.png
    Screenshot_2022-08-24-05-50-54-548_com.adobe.reader.png
    51.8 KB · Views: 51
Tatizo kubwa la Waswahili huwa mnatengeneza vitu kichwani na vijisababu vyenu visivyo na kichwa Wala miguu halafu mnaanza kuviamini kama dini.

Hicho ulichoandika hata ukiulizwa umekitoa kwenye mwongozo upi huna.
Embu tupe ya manesi na madaktari.salary zao.
 
Mnaoipinga chemistry nahis hamuijui vizur

Soma bro ajira zipo ixo education zinatok kwa msimu
Screenshot_20220825-235020.jpg
Screenshot_20220825-235003.jpg
 
Mnaoipinga chemistry nahis hamuijui vizur

Soma bro ajira zipo ixo education zinatok kwa msimu View attachment 2335008View attachment 2335009
Apoooo kweli ujueee mara nying umuu ndan tunakatishwa tamaa na watu ambao unakuta anakupa ushauri kweny kitu ambachohata yy mwenyew hakjuii ataaaa hiii inakua sawa na jambo usilolijua ni sawa na usk wa giza...........ila kumbe ukikutana na watalam wanakupanua akili zaid
 
Apoooo kweli ujueee mara nying umuu ndan tunakatishwa tamaa na watu ambao unakuta anakupa ushauri kweny kitu ambachohata yy mwenyew hakjuii ataaaa hiii inakua sawa na jambo usilolijua ni sawa na usk wa giza...........ila kumbe ukikutana na watalam wanakupanua akili zaid
Usijichanganye ukapiga education utalia saiv walimu ni wengi mno....piga kitabu min gpa 3.8 ukosi ajira labd Kam mtu ana 2.6 kazi Kam iyo huwez pata
 
Usijichanganye ukapiga education utalia saiv walimu ni wengi mno....piga kitabu min gpa 3.8 ukosi ajira labd Kam mtu ana 2.6 kazi Kam iyo huwez pata
Nmechaguliwa iyo bachelor of science in chemistry udom
 
Sikuhizi tunasoma tuu aise, nyingi hapo juu ni porojo. Kuhusu kemia sina neno lolote la kukushauri kama utakuw na mentality ya kutaka kujiriwa ila kama wataka ujiajiri soma ni kozi nzuri sana kwa mtu anaejitambua sana sana na niraha kuisoma. Kuhusi hiyo koz ya maji sjui lolote kabisa ko sitachangia.

Nimalize kwa kusema ninarafiki kamaliza u dom hiyo koz ya kemia na kamaliza 2018 hana ajira mpka sasa. Nazan kama utahitaji namba yake ntakupatia umuulize yeye binafsi.

Note, humu tupo wengi na sio wote wanajua wanacho shauri ila kwa kusikia tu na kutaka kuongeza likes kwenye komet zao. Hivyo nakupongeza piah kwa kutaka kujua kabla hujasomea ila pia ntakupongeza kama hauta msikiliza kila mtu ila kwa kufanya research ndogo tuu. Ahsante

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom