Hivi lengo la kusema mabasi yaende pale stendi ya Magufuli ni ili tu yakalipe ushuru? Mfano kama bus halina abiria yoyote anaepanda/shuka magufuli terminal, kwanini liende? Ushuru si wanaweza wakalipa hata kwa mpesa au wakaamua kulipia mabasi yao yote kwa mwezi shida iko wapi?Ukweli ni kuwa mtoa mada hajui alisemalo.
Basi zote lazima ziingie stendi ya Magufuli. Haijalishi imetoka Shekilango, kariakoo au magomeni.
Mapato ya serikali yapo pale pale.
Haya gari linapaki Mbagala.Wabongo tunapenda sana kuoneana huruma hili ni suala jema ila kwa upande mwingne ni upumbavu mkubwa
Stand imejengwa kwa mapesa meng tena ukute niya mkopo arafu wanatokea wajinga wachache wenye mabasi wanakataa kufuata utarabibu mtu akiongea km mtoa mada hapa anaonekana mnafiki ametumwa
Sawa stand iko mbal na Jiji sawa atukatai ila sasa vyanzo vya uchumi vimeongezeka sabu
**** mtu wa boda atapata
Taxi atapata. Na ata bajaji na daladala wote watapata pesa kwa kusogeza abiria stand mpya
wenye mabasi hayo ndio watunga sheria na wasimamizi wa sheria unategemea nini hapo,Zilipaswa kuwa ofisi tuu sasa wamezigeuza stand kabisa. Money talk my brother
Habar za ticket nimequote jamaa aliyezungumza kuhusu ticket, ungeelewa kwanza yaye alisemaje ndo ukaniambia hivyoMuwe mnasoma hoja vizuri, jamaa hazungumziii kukata tiketi, hoja ya msingi hapa na baadhi ya mabasi kutopitia kabisa Mbezi Bus Terminal, zinapandisha abiria hapo Urafiki na kupita juu kwa juu.
Yataje hayo mabasiMuwe mnasoma hoja vizuri, jamaa hazungumziii kukata tiketi, hoja ya msingi hapa na baadhi ya mabasi kutopitia kabisa Mbezi Bus Terminal, zinapandisha abiria hapo Urafiki na kupita juu kwa juu.
Daaah mbona hasira sana mzeeKakatwe mbeneki huko
Fanya researchYataje hayo mabasi
Shekilango International AirportAhlan wa sahlan
Naiomba serikali ifunge hizi ofisi uchwara zilizopo hapa maeneo ya shekilango na Urafiki. Mabasi ya mikoani yamekuwa hayaendi tena kupaki stendi ya Magufuli pale Mbezi badala yake yamekuwa yakijazana maeneo ya Shekilango na Urafiki nyakati za Alfajiri na Mchana. Najiuliza ile stendi ya mabilioni pale Mbezi imejengwa kwa ajili ya kina nani?
Wahusika mpo na mnalifumbia mamcho jambo hili.Stendi imekuwa ikikosa mapato ya getini kwa abiria wanaoingia ndani ya stendi kutokana na watu sasa kumiminika kwenda maeneo ya Urafiki na Shekilango.
Wito wangu kwa serikali ni kuhakikisha mnazifunga mara moja ofisi hizi uchwara za haya mabasi hapa Shekilango na urafiki kwani hawa jamaa wameshageuza eneo hili kuwa ni terminal
Moto ukitokea pale wataokota watu kama panyaHuyu mdau aliliona hili miaka 2 iliyopita , sasa hivi ndio watu wanastuka.
Ahlan wa sahlan
Naiomba serikali ifunge hizi ofisi uchwara zilizopo hapa maeneo ya shekilango na Urafiki. Mabasi ya mikoani yamekuwa hayaendi tena kupaki stendi ya Magufuli pale Mbezi badala yake yamekuwa yakijazana maeneo ya Shekilango na Urafiki nyakati za Alfajiri na Mchana. Najiuliza ile stendi ya mabilioni pale Mbezi imejengwa kwa ajili ya kina nani?
Wahusika mpo na mnalifumbia mamcho jambo hili.Stendi imekuwa ikikosa mapato ya getini kwa abiria wanaoingia ndani ya stendi kutokana na watu sasa kumiminika kwenda maeneo ya Urafiki na Shekilango.
Wito wangu kwa serikali ni kuhakikisha mnazifunga mara moja ofisi hizi uchwara za haya mabasi hapa Shekilango na urafiki kwani hawa jamaa wameshageuza eneo hili kuwa Binafsi naishukuru serikali kwa kurusu kuwe na stand ndogo kama mabasi yanavyotoa huduma kutokea sehemu mbalimbali urafiki shekilango mbagala chanika kigamboni nk uku ni kukua kwa huduma na ni kuondoa usumbufu kwa wananchi pata picha nakaa mkuranga nasafiri na watoto nikifika mbagala napata huduma ya usafiri kwa uhakika kuliko niende mbezi kwanza mbali pili ni changamoto kwa iyo wewe kama mwananchi wa kawaida upaswi kulalamika hata kidogo kwa sababu huduma ya usafiri imekuwa ila kama unamaslahi binafsi na stand ya magufuli tafuta plan B siyo unataka kurudisha ugumu wa uduma ya usafiri bila sababu