Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,076
- 2,457
Jana watoto wamembiwa leo ni sikukuu, ilipofika saa mbili mufti akasema mwezi haujaandama!!!Naomba kujua Faida na hasara (hasa Kijamii na Kiustawi) za Sherehe ambazo zinajulikana katika Kalenda na zile zinazotegemea Kuandama (Kuchomoza) kwa Mwezi Congo, Kigoma, Mombasa, Tanga, Zanzibar na Mtwara.
ajifunze kujuaHeshimu imani za watu Mkuu
Mada yako sio poa
Mie Mkristu hii si poa
Ujue faida na hasara ili iweje?
All Muslim Philosophers have been killed. Hakuna kuhoji hoji, kudadisi dadisi wala ku "philosophize" mambo haya.Naomba kujua Faida na hasara (hasa Kijamii na Kiustawi) za Sherehe ambazo zinajulikana katika Kalenda na zile zinazotegemea Kuandama (Kuchomoza) kwa Mwezi Congo, Kigoma, Mombasa, Tanga, Zanzibar na Mtwara.
Tuko hapa Kujifunza na pia Kutengeneza Mijadala yenye Tija ili tupate Ufahamu zaidi.Bado upo pale pale tu: Science vs Maagizo!
Kama nilivyosema, mafundisho yanasema “Fungeni kwa kuonekana mwezi na fungueni kwa kuonekana mwezi na kama hamjauona, kamilisheni siku 30"!
Mafundisho hayajataja mambo ya Saudi Arabia, Mecca, Madinna wala suala la "masaa" kuwa sawa! Kwani Mtume hakufahamu role ya Saudi Arabia kwenye masuala ya imani?
Na hata wanaotumia mwandamo wa Saudi Arabia, sijawahi kusikia wakitoa argument ya kufanana masaa! Watu watafuata ama mwandamo wa Saudi Arabia au mwandamo wa maeneo yao/na majirani!
Halafu soma hii Tweet:-
View attachment 1782827
Kama hoja ni mwezi mmoja, kwanini Surpreme Court iwatake Waislamu wa Saudi Arabia peke yake na isiwatake Waislmu kote duniani?!
Ukiitafakari hiyo kauli kwa makini, utagundua hata Saudi Arabia na wenyewe "...wanafunga na kufungua kwa kuuona mwezi kwenye eneo lao, au maeneo ya jirani (gulf) na sio kwingine kokote kule"
And be informed kwamba, Saudi Arabia wanategemea sana astronomical calculations kuliko kuuona mwezi kwa macho, na hivyo tayari wanakuwa na kalenda yao inayoitwa The Umm al-Qura Calendar.
Angalia hii kalenda yao hapa chini:-
View attachment 1783004
Hapo juu nilipozungushia RED, ndo tarehe ya leo kwa kutumia astronomical calculation wanazofanya!!
Hapo chini nilipozungushia blue, ni siku ya Eid mwaka 2029... yaani miaka 9 ijayo, kwamba, kwa kutumia mahesabu yao, mwaka 2029 Eid itakuwa February 14, 2029, kwa maana nyingine mwezi utaonekana February 13.
Watachofanya ni kwamba, ikifika February 12, 2029, wataanza kuutafuta mwezi kwa macho na kwa darubini! Wakiuona, hiyo tarehe itabadilika; wasipouona kwa macho wala darubini, wataendelea kutumia hiyo tarehe waliyoandika hapo!
Msema Kweli ni mpenzi wa Mungu! Nilishawahi kufanya kazi eneo lenye Waislamu wengi na walikuwa wanatumia hiyo The Umm al-Qura Calendar. Kwa miaka 4 niliyokuwa pale, Siku za Eid na kuanza kufunga ziliendana na kalenda ya Saudi Arabia!
But that is another case kwa sababu suala la The Umm al-Qura Calendar au fixed calendar halijatajwa popote kwenye Quran wala Hadith. Na ingawaje mataifa kadhaa ya Ghuba hutumia hiyo kalenda, kuna wengine hawakubaliani na hizo calculations!
Isitoshe, hata hao Saudia walianza kutumia huo mfumo kutokana na maendeleo ya unajimu, na sio kwamba tangu enzi hizo walikuwa wanatumia huo mfumo!
Ndugu nimecheka mno. Subiria tu waje.hivi ikitokea mbalamwezi ukahama kwenye mhimili wake, au ukageuka black hole je waislam watafunga kwa ishara gani
Tuko hapa Kujifunza na pia Kutengeneza Mijadala yenye Tija ili tupate Ufahamu zaidi.ajifunze kujua
Basi huko kutakuwa na Matatizo mengi.All Muslim Philosophers have been killed. Hakuna kuhoji hoji, kudadisi dadisi wala ku "philosophize" mambo haya.
Mbona IPO wazi kabisa,huwa wanaweka siku mbili za sikukuu ambazo hazijawahi kuwa tofauti na hizo.Naomba kujua Faida na hasara (hasa Kijamii na Kiustawi) za Sherehe ambazo zinajulikana katika Kalenda na zile zinazotegemea Kuandama (Kuchomoza) kwa Mwezi Congo, Kigoma, Mombasa, Tanga, Zanzibar na Mtwara.
Nikieleweka na Brainy JF Members wachache kama Wewe Ndugu hapa huwa nafarijika sana ila bahati Uzi umevamiwa na Morons wengi na kubaki Kuwapuuza tu.Jana watoto wamembiwa leo ni sikukuu, ilipofika saa mbili mufti akasema mwezi haujaandama!!!
Hii kitu inaathari kubwa kisaikolojia hasa kwa watoto..
Jibu atakalotoa hadi Ukoo wako wamo.Haji Manara ongea na mtoa mada huyu, eti watoa mada kama hawa ni kitu gani vile.
Fantasy ya ajabu. Kalenda inahesabiwa vipi mkuu?Waislamu huwa wanafunga kwa kuonekana kwa mwezi au kuhesabu siku 30.Mwezi ukitoweka(assumption ya kijinga)wewe utakuwa unalipwa mshahara vipi assuming kwamba umeajiriwa?Mwajiri wako atahesabu vipi siku ulizofanya kazi???🤐🤐🤐🤨🤣🤣🤣hivi ikitokea mbalamwezi ukahama kwenye mhimili wake, au ukageuka black hole je waislam watafunga kwa ishara gani
Dini/imani ya mtu ni swala nyeti hata serikali haifuatilii
Wewe nani hata uhoji
Unaweza kutueleza kuwa Mleta mada amekosea wapi?Heshimu imani za watu Mkuu
Mada yako sio poa
Mie Mkristu hii si poa
Ujue faida na hasara ili iweje?
KAFIRI wa kwanza ni Mtume Muhammad (S.A.W) unataka nikuthibitishie Ukafiri wake?kafiri mkubwa wewe
Ewe kijana wa Mwamedi mbona povu sana? Au ni shibe ya wali wa manjano??[emoji86]Haji Manara ongea na mtoa mada huyu, eti watoa mada kama hawa ni kitu gani vile.
Hahahahaha yaannunataka kufananisha na tukio la simba vs yangaNaomba kujua Faida na hasara (hasa Kijamii na Kiustawi) za Sherehe ambazo zinajulikana katika Kalenda na zile zinazotegemea Kuandama (Kuchomoza) kwa Mwezi Congo, Kigoma, Mombasa, Tanga, Zanzibar na Mtwara.