Je, sherehe zinazotegemea Muandamo wa Mwezi haziwezi kuharibu ratiba za watu na hata saikolojia yao pia?

Naomba kujua Faida na hasara (hasa Kijamii na Kiustawi) za Sherehe ambazo zinajulikana katika Kalenda na zile zinazotegemea Kuandama (Kuchomoza) kwa Mwezi Congo, Kigoma, Mombasa, Tanga, Zanzibar na Mtwara.
Jana watoto wamembiwa leo ni sikukuu, ilipofika saa mbili mufti akasema mwezi haujaandama!!!

Hii kitu inaathari kubwa kisaikolojia hasa kwa watoto..
 
Haji Manara ongea na mtoa mada huyu, eti watoa mada kama hawa ni kitu gani vile.
 
Naomba kujua Faida na hasara (hasa Kijamii na Kiustawi) za Sherehe ambazo zinajulikana katika Kalenda na zile zinazotegemea Kuandama (Kuchomoza) kwa Mwezi Congo, Kigoma, Mombasa, Tanga, Zanzibar na Mtwara.
All Muslim Philosophers have been killed. Hakuna kuhoji hoji, kudadisi dadisi wala ku "philosophize" mambo haya.
 
Tuko hapa Kujifunza na pia Kutengeneza Mijadala yenye Tija ili tupate Ufahamu zaidi.

Krav Maga sijaanzisha Mada hii kama Kuwakashifu Wahusika kama ambavyo damn Fool Wewe uwazavyo.

Hivi na wale ambao huwa wanaanzisha Mada hapa za Kuhoji yanayotendeka kwa Wakristo ( hasa Makanisani na Madhabahuni pia ) huwa wanakuwa na Chuki na wenye hiyo Imani?

Tatizo la baadhi yenu hapa mna Upumbavu wa Kurithishwa katika Koo zenu kiasi kwamba Mada ikianzishwa tu mnashindwa kutafuta Logic ndani yake na Kukimbilia katika Upuuzi wenu na kutaka kuleta Hisia za Chuki.

Wenye Akili kubwa na pana nina uhakika wataelewa dhana Kuu na Fikirishi juu ya nilichokihoji na sijaanzisha Mada hii ili kuwakera wenye Imani hiyo na atakayewaza hivyo nae atakuwa ni Juha kama Wewe.
 
ajifunze kujua
Tuko hapa Kujifunza na pia Kutengeneza Mijadala yenye Tija ili tupate Ufahamu zaidi.

Krav Maga sijaanzisha Mada hii kama Kuwakashifu Wahusika kama ambavyo damn Fool Wewe uwazavyo.

Hivi na wale ambao huwa wanaanzisha Mada hapa za Kuhoji yanayotendeka kwa Wakristo ( hasa Makanisani na Madhabahuni pia ) huwa wanakuwa na Chuki na wenye hiyo Imani?

Tatizo la baadhi yenu hapa mna Upumbavu wa Kurithishwa katika Koo zenu kiasi kwamba Mada ikianzishwa tu mnashindwa kutafuta Logic ndani yake na Kukimbilia katika Upuuzi wenu na kutaka kuleta Hisia za Chuki.

Wenye Akili kubwa na pana nina uhakika wataelewa dhana Kuu na Fikirishi juu ya nilichokihoji na sijaanzisha Mada hii ili kuwakera wenye Imani hiyo na atakayewaza hivyo nae atakuwa ni Juha kama Wewe.
 
Naomba kujua Faida na hasara (hasa Kijamii na Kiustawi) za Sherehe ambazo zinajulikana katika Kalenda na zile zinazotegemea Kuandama (Kuchomoza) kwa Mwezi Congo, Kigoma, Mombasa, Tanga, Zanzibar na Mtwara.
Mbona IPO wazi kabisa,huwa wanaweka siku mbili za sikukuu ambazo hazijawahi kuwa tofauti na hizo.
 
Jana watoto wamembiwa leo ni sikukuu, ilipofika saa mbili mufti akasema mwezi haujaandama!!!

Hii kitu inaathari kubwa kisaikolojia hasa kwa watoto..
Nikieleweka na Brainy JF Members wachache kama Wewe Ndugu hapa huwa nafarijika sana ila bahati Uzi umevamiwa na Morons wengi na kubaki Kuwapuuza tu.
 
hivi ikitokea mbalamwezi ukahama kwenye mhimili wake, au ukageuka black hole je waislam watafunga kwa ishara gani
Fantasy ya ajabu. Kalenda inahesabiwa vipi mkuu?Waislamu huwa wanafunga kwa kuonekana kwa mwezi au kuhesabu siku 30.Mwezi ukitoweka(assumption ya kijinga)wewe utakuwa unalipwa mshahara vipi assuming kwamba umeajiriwa?Mwajiri wako atahesabu vipi siku ulizofanya kazi???🤐🤐🤐🤨🤣🤣🤣
 
Haji Manara ongea na mtoa mada huyu, eti watoa mada kama hawa ni kitu gani vile.
Ewe kijana wa Mwamedi mbona povu sana? Au ni shibe ya wali wa manjano??[emoji86]
 
Naomba kujua Faida na hasara (hasa Kijamii na Kiustawi) za Sherehe ambazo zinajulikana katika Kalenda na zile zinazotegemea Kuandama (Kuchomoza) kwa Mwezi Congo, Kigoma, Mombasa, Tanga, Zanzibar na Mtwara.
Hahahahaha yaannunataka kufananisha na tukio la simba vs yanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…