Dhambi ni kutotii maangizo ya Mwenyezi Mungu. Maagizo hayo yako kwenye vitabu vitakatifu. Full stop.Dhambi ni nini kwani?
shetani anaumbo na anaakili kama wewe na anakaa katika watu kama hauna Mungu basi ujue unashetani ndani yako! anakaaje mtafute Mungu atakuonyesha shetani anakaaje ndani ya binadamu! huyo shetani makao yao ya kukutania au makao makuu ni kuzimu lakini makao ya kufanyia kazi ni duniani!Ni dhahiri asilimia kubwa ya wanaofanya makosa huyahusianisha na kitu kisichoonekana na kinachokinzana na Mungu kiitwacho shetani. Je, shetani kweli yupo? Anaishi mazingira yapi na kwa nini Mungu anashindwa kumdhibiti ili binadamu waishi kwa ustaarabu na kutotenda dhambi kabisa? Je, nani anaweza kuzithibitisha theologies za huyo shetani kiumbo, mtazamo, mnyumbuliko na kiakili bila kuhusianisha imani?
Learning has no boundaries......
Anaonekanaje physically. M_describe ili tupate mwangaNdio shetani wapo wanaishi hapahapa duniani wanapatikana milimani, kwenye magofu, sehemu za majalala na kwengineko ndio ameachwa Mungu km nimtihan kwa binaadamu.
Kudhibitisha bila vitabu vya dini ni ngumu kwa sababu ndo kwenye evidence tosha.
Kinyume na hapo utadanganywa karibu simba wanga, Tanga , kilwa migodini na pemba utapata jibu kwa kuwahisi, kuwaona na maskan zao utaskia njia flan usipite ikifika jion.
hiyo avatar am sure na wewe ni mmoja wao(shetani)Ndio shetani wapo wanaishi hapahapa duniani wanapatikana milimani, kwenye magofu, sehemu za majalala na kwengineko ndio ameachwa Mungu km nimtihan kwa binaadamu.
Kudhibitisha bila vitabu vya dini ni ngumu kwa sababu ndo kwenye evidence tosha.
Kinyume na hapo utadanganywa karibu simba wanga, Tanga , kilwa migodini na pemba utapata jibu kwa kuwahisi, kuwaona na maskan zao utaskia njia flan usipite ikifika jion.
Dhambi ni kufanya kinyume na matakwa ya amri kumi za MUNGU.shetani anaumbo na anaakili kama wewe na anakaa katika watu kama hauna Mungu basi ujue unashetani ndani yako! anakaaje mtafute Mungu atakuonyesha shetani anakaaje ndani ya binadamu! huyo shetani makao yao ya kukutania au makao makuu ni kuzimu lakini makao ya kufanyia kazi ni duniani!
Dhambi ni nini kwani?
Well saidSatan is the state of mind...ibilisi wa mtu ni mtu....
Kijana13 seems una ka elimu kapya, hebu funguka moreAnaishi baharini ndio makazi yake, Katikati ya Atlantic Ocean. According to clip nliyowahi kusikia ya mkenya mmoja alifikia huko chini akamwona.. Anazidi elezea kuwa kila akinyanyua mabawa zinatoka sauti za kila namna, kuna bendera za marekani, viwanda vya kila namna etc..
MkuuAnaishi baharini ndio makazi yake, Katikati ya Atlantic Ocean. According to clip nliyowahi kusikia ya mkenya mmoja alifikia huko chini akamwona.. Anazidi elezea kuwa kila akinyanyua mabawa zinatoka sauti za kila namna, kuna bendera za marekani, viwanda vya kila namna etc..
Mkuu Mshana JrSatan is the state of mind...ibilisi wa mtu ni mtu....
Satan has no solid formKwa hiyo ile mijitu anayotutumiaga kwa picha ndg Mzizi Mkavu ni imaginary? So, shetani hana physical form?