Je, shetani yupo? Anaishi wapi?

Je, shetani yupo? Anaishi wapi?

shetani anaumbo na anaakili kama wewe na anakaa katika watu kama hauna Mungu basi ujue unashetani ndani yako! anakaaje mtafute Mungu atakuonyesha shetani anakaaje ndani ya binadamu! huyo shetani makao yao ya kukutania au makao makuu ni kuzimu lakini makao ya kufanyia kazi ni duniani!
Katika uhalisia,Hakuna kitu kama shetani,shetani ni istilahi... Binadamu anapokwepa wajibu wake ndio anasingizia shetani, kama kuna shetani basi ni binadamu mwenyewe! Kwa sababu vitu vibaya vyote wanamsingizia shetani wakati vitu vyote vimetokana na Mungu sasa nafasi ya shetani ni ipi?
 
Sometimes hizi dhana zenu kama zna make sense. Kuna ktu nmewaza hapa duuuh
Ishu ya uwepo wa Mungu au kutokuwepo kwake ni swala la binafsi na la kiimani zaidi kwakuwa
1. Wewe unayeamini kwenye uwepo wa Mungu ukiambiwa thibitisha utakuja na maelezo mengi marefu yenye mikanganyiko mingi tuu
2. Na huyu asieamini katika Mungu ukimwambia thibitisha naye atakuja na maelezo marefu yenye kujichanganya mno bila ithibati kamili
Cha muhimu ni kusimama na imani yako kutokana na imani yako na kile unachofahamu, bila kulazimishwa kwakuwa mwisho wa siku wewe utabaki kuwa wewe na yeye atabaki kuwa yeye...two different identities
 
Kuna shetani yule tunayehubiriwa kwenye vitabu vya dini mwenye sura ya kutisha na matendo mabaya ya kuogofya sana
Kuna shetani wa maisha huyu yupo popote na anavutia mno....dhambi nyingi za kila siku hutokana na huyu
Kuna shetani mawazo, !ulikuwa huna nia ya kutenda uovu wala kukasirika wala kisasi Lakini anatokea mtu anakuudhi kwa kiasi kisichovumilika.halafu unatenda ubaya
Mshana huwa nakukubali sana ukiwa kwenye uwanja wako wa kujidai kama huu
 
Ishu ya uwepo wa Mungu au kutokuwepo kwake ni swala la binafsi na la kiimani zaidi kwakuwa
1. Wewe unayeamini kwenye uwepo wa Mungu ukiambiwa thibitisha utakuja na maelezo mengi marefu yenye mikanganyiko mingi tuu
2. Na huyu asieamini katika Mungu ukimwambia thibitisha naye atakuja na maelezo marefu yenye kujichanganya mno bila ithibati kamili
Cha muhimu ni kusimama na imani yako kutokana na imani yako na kile unachofahamu, bila kulazimishwa kwakuwa mwisho wa siku wewe utabaki kuwa wewe na yeye atabaki kuwa yeye...two different identities
Mkuu mi nakuelewa sana ila kuna ktu nimekfiria hapa kuhusiana na hii mada daaah labda nahc upeo wangu umeshndwa kufikir zaid
 
Ishu ya uwepo wa Mungu au kutokuwepo kwake ni swala la binafsi na la kiimani zaidi kwakuwa
1. Wewe unayeamini kwenye uwepo wa Mungu ukiambiwa thibitisha utakuja na maelezo mengi marefu yenye mikanganyiko mingi tuu
2. Na huyu asieamini katika Mungu ukimwambia thibitisha naye atakuja na maelezo marefu yenye kujichanganya mno bila ithibati kamili
Cha muhimu ni kusimama na imani yako kutokana na imani yako na kile unachofahamu, bila kulazimishwa kwakuwa mwisho wa siku wewe utabaki kuwa wewe na yeye atabaki kuwa yeye...two different identities
Hv Mkuu ibilisi n nan?
 
Sometimes hizi dhana zenu kama zna make sense. Kuna ktu nmewaza hapa duuuh
Kinachotuumiza sana sisi ni kuamini kila tunachoambiwa bila kujua lengo la yule anayetuambia kuwa ni nini. Ukitumia muda mwingi kutafakari juu ya hili suala la uwepo wa mungu, hakika utapata majibu. Tatizo letu tulio wengi tunaogopa kwenda in deep
 
Swali zuri ibilisi ni shetani...! Yani ni sawa na kuulizwa mtu ni nani
Kuna dhana inasema shetani ndio mshawishi Wa maovu hapa duniani. Nahii ni baada ya kumuac mungu kule mbinguni kwahyo mungu akamshusha duniani.
Na kuna baadhi ya vtabu vnasema shetani baada ya kufukuzwa mbinguni aliapa ata upoteza ulimwengu (binadam)

Kuna dhana inasema shetani mind kwa maana hata mtu anaweza kuwa shetani kulngana na matendo yake. Na jini pili anaweza kuwa shetani pia kulngana na matendo yake au akawa mchamungu kulinga na matendo yake

Sasa kati ya hz ipi dhana sahihi?
 
Kuna dhana inasema shetani ndio mshawishi Wa maovu hapa duniani. Nahii ni baada ya kumuac mungu kule mbinguni kwahyo mungu akamshusha duniani.
Na kuna baadhi ya vtabu vnasema shetani baada ya kufukuzwa mbinguni aliapa ata upoteza ulimwengu (binadam)

Kuna dhana inasema shetani mind kwa maana hata mtu anaweza kuwa shetani kulngana na matendo yake. Na jini pili anaweza kuwa shetani pia kulngana na matendo yake au akawa mchamungu kulinga na matendo yake

Sasa kati ya hz ipi dhana sahihi?
Zote ni sahihi kwakuwa shetani sio solid object/state bali shetani ni roho kwahiyo anaweza kucheza vyovyote atakavyo na kwa hali yoyote
 
Kinachotuumiza sana sisi ni kuamini kila tunachoambiwa bila kujua lengo la yule anayetuambia kuwa ni nini. Ukitumia muda mwingi kutafakari juu ya hili suala la uwepo wa mungu, hakika utapata majibu. Tatizo letu tulio wengi tunaogopa kwenda in deep
Ila nilchojfunza mm n kuwa mambo ya mungu hupimwa na iman na sio akil. Ndo maana ukiwa muumini kuna kipind inabd ulifuate jambo hata kama akil yako inapngana nalo. Ukitumia akili katka mambo yanayohusiana na mungu kuna sehemu utakwama tu
 
Ila nilchojfunza mm n kuwa mambo ya mungu hupimwa na iman na sio akil. Ndo maana ukiwa muumini kuna kipind inabd ulifuate jambo hata kama akil yako inapngana nalo. Ukitumia akili katka mambo yanayohusiana na mungu kuna sehemu utakwama tu
Tatizo sio imani mkuu au akili. Tatizo ni ukweli halisi juu ya kile mnachokiabudu. Mnaweza mkawa watumwa wa imani pasipo nyie kujijua. Kikubwa ambacho ningependa kukushauri. Uwe unatumia muda mwingi sana kujiuliza juu ya kile ulichoambiwa. Usiwe mvivu
 
shetani anaumbo na anaakili kama wewe na anakaa katika watu kama hauna Mungu basi ujue unashetani ndani yako! anakaaje mtafute Mungu atakuonyesha shetani anakaaje ndani ya binadamu! huyo shetani makao yao ya kukutania au makao makuu ni kuzimu lakini makao ya kufanyia kazi ni duniani!
The devil comes in many forms..
 
Tatizo sio imani mkuu au akili. Tatizo ni ukweli halisi juu ya kile mnachokiabudu. Mnaweza mkawa watumwa wa imani pasipo nyie kujijua. Kikubwa ambacho ningependa kukushauri. Uwe unatumia muda mwingi sana kujiuliza juu ya kile ulichoambiwa. Usiwe mvivu
Nahisi utakuwa hujanielewa soma tena kwa makini post yangu
 
Ishu ya uwepo wa Mungu au kutokuwepo kwake ni swala la binafsi na la kiimani zaidi kwakuwa
1. Wewe unayeamini kwenye uwepo wa Mungu ukiambiwa thibitisha utakuja na maelezo mengi marefu yenye mikanganyiko mingi tuu
2. Na huyu asieamini katika Mungu ukimwambia thibitisha naye atakuja na maelezo marefu yenye kujichanganya mno bila ithibati kamili
Cha muhimu ni kusimama na imani yako kutokana na imani yako na kile unachofahamu, bila kulazimishwa kwakuwa mwisho wa siku wewe utabaki kuwa wewe na yeye atabaki kuwa yeye...two different identities
Kikubwa tunachokitaka sisi ni kuokoa muda wa vizazi vyetu. Hakuna kitu kinapoteza wakati na kufanya watu masikini kama kuamini kuna kitu kinaitwa mungu. Walio masikini wengi wanaamini maisha mazuri watakuja kuishi mbinguni. Na wanaaminishwa kuwa maisha ya duniani hayana thamani. Hiki ndo kitu ambacho mm sikupendi. Lazima tuwaambie ukweli watu wetu ili tuwe na vizazi vyenye kujielewa
 
Tatizo sio imani mkuu au akili. Tatizo ni ukweli halisi juu ya kile mnachokiabudu. Mnaweza mkawa watumwa wa imani pasipo nyie kujijua. Kikubwa ambacho ningependa kukushauri. Uwe unatumia muda mwingi sana kujiuliza juu ya kile ulichoambiwa. Usiwe mvivu
Kwa hiyo unashauri hata pale tunapoandikiwa aina za dawa za kutumia na Doctor pia tutumie muda kujiuliza kwanza kama hizo dawa ndiyo sahihi?
 
Back
Top Bottom