Je, shetani yupo? Anaishi wapi?

Je, shetani yupo? Anaishi wapi?

Give a man a fish and he will eat for a day, teach a man to fish and he will eat for a lifetime, give a man religion and he will die praying for a fish
 
Ni lazima mtu awe muovu ndio awe shetani na huo uwovu ni lazima uwe unapingana na taratibu au muongozo wa Mungu.Na sikila muovu kwa mitazamo ya watu basi ni Shetani.
 
Yeah....they have a very long way to go,....

Kuna watu ambao ni ma antagonist huwa hatukubaliani na mambo kirahisi rahisi tu...tunasimama kwenye msimamo mmoja hata kama dunia nzima ingesimama agains bado unaendelea kujishika kwenye msimamo ule ule!
 
Vipi kuhusu Afro beliefs, nazo zililetwa na wazungu?

Africans beliefs was and still is, the spiritual way of living not a religion. Because European and the fake Arabs are not spiritual people by natural, they stole our legacy and Institutionalized into a thing called RELIGION for purpose of controlling the mass. They even copied the name of the African God "AMEN' at the end of the major global religions PRAYERS. They copied ANKH as a symbol of eternal Life to Across, they copied the story of good shepherd (Osiris) long time ago before jesus ever walk on earth, they copied story of creation when the heavens separated from the earth and they copied the story of Osis and Horus with Mary and Jesus............WHAT !!!!!!!!

Witness:

ANKH1.jpg
CROSS.jpg
Catholics Stolen Legacy.jpg
The good shepherd Osiris.jpg
Egyption 1.jpg
Mary and Jesus.jpg
Creation story.jpg
images.jpg
Their Jesus.jpg





Though we are underground, but we are running the SHOW.
 

Attachments

  • YOGA.jpg
    YOGA.jpg
    5.6 KB · Views: 57
Ukishaambiwa ni nini na wewe utaeleza kwamba ni nini? au ndo zilezile gear zako za kuingilia?
Hatuwezi kujadiliana kuhusu shetani kama hatujaelezea ni nini.

Vinginevyo tunaweza kujadiliana kuhusu vitu viwili tofauti.

Kabla ya mjadala, definitions ni muhimu. Huwezi kuanza kujadili kitu kabla ya kuki define.
 
Labda nikuulize swali mfano Leo umekuta mashua baharini half MTU akwambie hiyo mashua imejitengeneza yenyewe,utakubali? Lazima utabisha kwani lazima iwe imetengenezwa na MTU. The same applied na bahari ,mbingu ardhi,sayari ,jua mwezi na binadaamu anatokea kwwnye manii mpk mwili kamili ni nani aliumba hv vitu? Najua utajibu vimetokana na mazingira tunarudi Kule juu utakubali mashua inaweza kujitengeneza yenyewe? Tafakari
Unaweza fafanua pia huyo mtengeneza mashua yeye alitoka wapi??,kama hutaki kuamini mashua inaweza kujitengeneza iweje uamini mtengeneza mashua alijitengeneza
 
Hatuwezi kujadiliana kuhusu shetani kama hatujaelezea ni nini.

Vinginevyo tunaweza kujadiliana kuhusu vitu viwili tofauti.

Kabla ya mjadala, definitions ni muhimu. Huwezi kuanza kujadili kitu kabla ya kuki define.

Anza kutoa hio definion yako tuione.
 
Kwa hiyo ile mijitu anayotutumiaga kwa picha ndg Mzizi Mkavu ni imaginary? So, shetani hana physical form?
Shetani hana physical form,anaweza jitokeza kwa form yeyote ile.Zile picha za kumwonyesha ana mapembe ,anatisha ni kumwelezea tu ili tumwelewe ni mbaya.Ila anaweza kuja kama binti mzuri au kijana handsome.Shetani ni roho,anatumia watu kutenda kazi zake,hata hapa JF kuna watu wanatumiwa na shetani aidha wanajua au hawajijui kama wanatumiwa.
 
Shetani hana physical form,anaweza jitokeza kwa form yeyote ile.Zile picha za kumwonyesha ana mapembe ,anatisha ni kumwelezea tu ili tumwelewe ni mbaya.Ila anaweza kuja kama binti mzuri au kijana handsome.Shetani ni roho,anatumia watu kutenda kazi zake,hata hapa JF kuna watu wanatumiwa na shetani aidha wanajua au hawajijui kama wanatumiwa.
Ila anaweza kuja kama binti mzuri, au kijana handsome......je, utamuonaje na muonekano huu wakati umesema hana physical form? Je roho inaonekana?
 
Ila anaweza kuja kama binti mzuri, au kijana handsome......je, utamuonaje na muonekano huu wakati umesema hana physical form? Je roho inaonekana?
Roho ile ya uovu/shetani humwingia mtu na kumfanya mateka,hivyo atafanya vile inavyotaka .Hapo mtu huyo atakuwa ametumiwa.Shetani anatumia watu,so nilisema hivyo ili ujihadhari na watu unao waona si wote ni wema wengine wanatumiwa/ni ma agent wa shetani.Shetani anatumia watu na Mungu pia anatumia watu.Swali la kujiuliza wewe,unatumiwa na Mungu au shetani?
Yeye ni roho anahitaji sehemu ya kukaa,so akimkuta mtu hajakaa vizuri na Mungu anaweza akaa ndani yake na kumfanya atende mambo ya ajabu.
 
Back
Top Bottom